Rais Daktari, profesa, al hajat, ustaadha, field marshal, generali, mtukufu, muadhamana nk nk nk Samia Suluhu Hassan asiposhinda urais kura ya wiki hii nitashangaa.
Kwanza, anagombea na chawa na si binadamu.
Pili, ni mtenda maajabu na miujiza kama kuweza kufuga na kuishi na machawa asikonde...