PreGE2025 Wasomi wanaliangusha taifa kwa asilimia kubwa

PreGE2025 Wasomi wanaliangusha taifa kwa asilimia kubwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
5,092
Reaction score
11,888
Wasomi ni chanzo cha taifa la Tanzania kuwa jinsi lilivo kwa sasa kama lilivo.

Kipindi Kama hiki ndio kipindi wasomi wanapaswa kuwa mbele kwenye kuchukua fomu za ubunge na uongozi, badala yake utaona fomu zinachukuliwa na mbululazi na hopeless generation.

Utamsikia msomi anasema mimi sitaki siasa, my friend…. Siasa ndio inaamua mustakabali wa nchi, future ya maisha yako na kizazi chako, kwa kuwa wewe hupendi siasa…. Ngoja future yako , salary yako na future ya watoto zako ikaamuliwe na kina babu tale na kina mwijaku , kina salma kikwete bungeni.

Msichukulie poa hizi nafasi, hata Samia mzaha mzaha alitokea chini, leo ndio president wa URT…. na mnaona tofauti ni kubwa….. hi yote ni kwasababu wasomi watanzania mmekataa kukaa maeneo yenu, mnabaki kuwa inspiration writters kwenye social media na kingereza kingiiiii…….. but you are another hopeless generation kwenye taifa.

Imagine Babu tale, Msukuma , Salma and the likes… ndio wanawatungia nyie mustakabal wa taifa lenu…. What a hopeless life

Wasomi KACHUKUENI FOMU MKAE MAENEO YENU.
PERIOD

Dr Megalodon Mushi
Canada
 
Wasomi ni chanzo cha taifa la Tanzania kuwa jinsi lilivo kwa sasa kama lilivo.

Kipindi Kama hiki ndio kipindi wasomi wanapaswa kuwa mbele kwenye kuchukua fomu za ubunge na uongozi, badala yake utaona fomu zinachukuliwa na mbululazi na hopeless generation.

Utamsikia msomi anasema mimi sitaki siasa, my friend…. Siasa ndio inaamua mustakabali wa nchi, future ya maisha yako na kizazi chako, kwa kuwa wewe hupendi siasa…. Ngoja future yako , salary yako na future ya watoto zako ikaamuliwe na kina babu tale na kina mwijaku , kina salma kikwete bungeni.

Msichukulie poa hizi nafasi, hata Samia mzaha mzaha alitokea chini, leo ndio president wa URT…. na mnaona tofauti ni kubwa….. hi yote ni kwasababu wasomi watanzania mmekataa kukaa maeneo yenu, mnabaki kuwa inspiration writters kwenye social media na kingereza kingiiiii…….. but you are another hopeless generation kwenye taifa.

Imagine Babu tale, Msukuma , Salma and the likes… ndio wanawatungia nyie mustakabal wa taifa lenu…. What a hopeless life

Wasomi KACHUKUENI FOMU MKAE MAENEO YENU.
PERIOD

Dr Megalodon Mushi
Canada
Hata uwe umesoma vipi kama huna hela huwezi kupata hata udiwani achilia mbali ubunge. Unahitaji angalau milioni 500+ ili uweze kugombea na hao unaowaita hopeless akina Musukuma na Babu Tale kinachowabeba ni pesa na umaarufu. Na wamewekeza wekeza huko majimboni. Kadogosa, kwa mfano, ndiye amekuwa akifadhili mbina ya Bagika na Bagalū kule Simiyu kila tarehe 30 Mei ya kila mwaka. Milioni 20+. Anajulikana. Sasa wewe kurupuka na uprofesa wako eti unakwenda kugombea. Ukipona kuchukuliwa mazima kwenda kufichwa Gamboshi shukuru Mungu 😂

Rudi kutoka huko Canada na usomi wako kama huna hela na exposure kwa wapiga kura wako hata kura moja ya wajumbe hupati!

By the way, wasomi ndiyo wanalaumiwa kwa kuliangamiza taifa hili. Na mara nyingi imeonekana kuwa darasa la 7 wanaweza kuwa bora kuliko maprofesa na Ph.D holders (mf. Kishimba). Hapa usomi hautakiwi bali uwezo wako wa kuwa mnafiki, kufisadika na kusifia!

20250627_143844.jpg

Screenshot_20250620-203619_1.jpg
 
Msomi ni nini?
Msomi ni mtu aliyepata elimu ya juu, ambaye amebobea au ana ujuzi mkubwa katika fani fulani.

Kwa maneno mengine, msomi ni mtu anayejulikana kwa kusoma sana, kuchambua mambo kwa kina, na mara nyingi huchukuliwa kuwa na maarifa ya kitaalamu au taaluma maalum.

Mambo muhimu yanayomtambulisha msomi:

Amehitimu ngazi za juu za masomo (mfano: chuo kikuu).

Ana uelewa mpana na wa kina katika eneo fulani la maarifa.

Hutumia ujuzi wake kuchunguza, kufundisha, au kutatua matatizo.

Huandika au kutoa mawazo yanayoleta mchango wa kiakili katika jamii.

Hii ni AI ndio imeleta hilo jibu😅😅
 
Wasomi ni chanzo cha taifa la Tanzania kuwa jinsi lilivo kwa sasa kama lilivo.

wasomi watanzania mmekataa kukaa maeneo yenu, mnabaki kuwa inspiration writters kwenye social media na kingereza kingiiiii…….. but you are another hopeless generation kwenye taifa.

Wasomi KACHUKUENI FOMU MKAE MAENEO YENU.
PERIOD

Dr Megalodon Mushi
Canada
Naunga mkono hoja
P
 
Hata uwe umesoma vipi kama huna hela huwezi kupata hata udiwani achilia mbali ubunge. Unahitaji angalau milioni 500+ ili uweze kugombea na hao unaowaita hopeless akina Musukuma na Babu Tale kinachowabeba ni pesa na umaarufu.

Rudi kutoka huko Canada na usomi wako kama huna hela hata kura moja ya wajumbe hupati!

By the way, wasomi ndiyo wanalaumiwa kwa kuliangamiza taifa hili. Na mara nyingi imeonekana kuwa darasa la 7 wanaweza kuwa bora kuliko maprofesa na Ph.D holders. Hapa usomi hautakiwi bali uwezo wako wa kuwa mnafiki, kufisadika na kusifia!

View attachment 3386560
Mtego
 
Wasomi ni chanzo cha taifa la Tanzania kuwa jinsi lilivo kwa sasa kama lilivo.

Kipindi Kama hiki ndio kipindi wasomi wanapaswa kuwa mbele kwenye kuchukua fomu za ubunge na uongozi, badala yake utaona fomu zinachukuliwa na mbululazi na hopeless generation.

Utamsikia msomi anasema mimi sitaki siasa, my friend…. Siasa ndio inaamua mustakabali wa nchi, future ya maisha yako na kizazi chako, kwa kuwa wewe hupendi siasa…. Ngoja future yako , salary yako na future ya watoto zako ikaamuliwe na kina babu tale na kina mwijaku , kina salma kikwete bungeni.

Msichukulie poa hizi nafasi, hata Samia mzaha mzaha alitokea chini, leo ndio president wa URT…. na mnaona tofauti ni kubwa….. hi yote ni kwasababu wasomi watanzania mmekataa kukaa maeneo yenu, mnabaki kuwa inspiration writters kwenye social media na kingereza kingiiiii…….. but you are another hopeless generation kwenye taifa.

Imagine Babu tale, Msukuma , Salma and the likes… ndio wanawatungia nyie mustakabal wa taifa lenu…. What a hopeless life

Wasomi KACHUKUENI FOMU MKAE MAENEO YENU.
PERIOD

Dr Megalodon Mushi
Canada
Wewe unagombea wapi?
 
Wasomi ndio waliopinga ujenzi wa bwawa la umeme la Mwl Nyerere wakidai ni uchafuzi wa mazingira.

Hakuna darasa la saba hata mmoja aliyepinga ujenzi wa bwawa, maana yake ni vizuri kuwasikiliza darasa la saba .
 
Wasomi ni chanzo cha taifa la Tanzania kuwa jinsi lilivo kwa sasa kama lilivo.

Kipindi Kama hiki ndio kipindi wasomi wanapaswa kuwa mbele kwenye kuchukua fomu za ubunge na uongozi, badala yake utaona fomu zinachukuliwa na mbululazi na hopeless generation.

Utamsikia msomi anasema mimi sitaki siasa, my friend…. Siasa ndio inaamua mustakabali wa nchi, future ya maisha yako na kizazi chako, kwa kuwa wewe hupendi siasa…. Ngoja future yako , salary yako na future ya watoto zako ikaamuliwe na kina babu tale na kina mwijaku , kina salma kikwete bungeni.

Msichukulie poa hizi nafasi, hata Samia mzaha mzaha alitokea chini, leo ndio president wa URT…. na mnaona tofauti ni kubwa….. hi yote ni kwasababu wasomi watanzania mmekataa kukaa maeneo yenu, mnabaki kuwa inspiration writters kwenye social media na kingereza kingiiiii…….. but you are another hopeless generation kwenye taifa.

Imagine Babu tale, Msukuma , Salma and the likes… ndio wanawatungia nyie mustakabal wa taifa lenu…. What a hopeless life

Wasomi KACHUKUENI FOMU MKAE MAENEO YENU.
PERIOD

Dr Megalodon Mushi
Canada
Tuma picha ukichukua form haraka.
 
Hata uwe umesoma vipi kama huna hela huwezi kupata hata udiwani achilia mbali ubunge. Unahitaji angalau milioni 500+ ili uweze kugombea na hao unaowaita hopeless akina Musukuma na Babu Tale kinachowabeba ni pesa na umaarufu.

Rudi kutoka huko Canada na usomi wako kama huna hela hata kura moja ya wajumbe hupati!

By the way, wasomi ndiyo wanalaumiwa kwa kuliangamiza taifa hili. Na mara nyingi imeonekana kuwa darasa la 7 wanaweza kuwa bora kuliko maprofesa na Ph.D holders. Hapa usomi hautakiwi bali uwezo wako wa kuwa mnafiki, kufisadika na kusifia!

View attachment 3386560
Usipende kujiwekea Limitations.

KWANINI confidence ipo kwa wasiosoma kama kina ibwe, shafii mchekeshaji ndio wanaamin they can be , na wala hawana hela…..wewe msomi upo hapo unatoa excuses nyingi sana….. ni aibu

NENDA KACHUKUE FOMU
 
Wasomi ndio waliopinga ujenzi wa bwawa la umeme la Mwl Nyerere wakidai ni uchafuzi wa mazingira.

Hakuna darasa la saba hata mmoja aliyepinga ujenzi wa bwawa, maana yake ni vizuri kuwasikiliza darasa la saba .
Imagine tungekuwa na wasomi aina ya lisu walioingia bungeni, prety sure katiba ya warioba ingekuwa live now

NENDA KACHUKUE FOMU
ACHA EXCUSES
 
Wasomi wengi hawana hela, na siasa za Africa kama hauna hela ya kuonga hata uwe na sera na maono mazuri huwezi pata kura za kutosha ili ushinde maana wapiga kura wengi ni wajinga na wameendekeza njaa ya siku moja au mbili kuliko maendeleo yao ya miaka mitano,
Africa ililaaniwa labda tuombe sana Mungu atubadilishe akili,ndo maana hata hao wasomi wamekuwa chawa sababu ni Njaa kali mfukoni,
 
Wasomi wengi hawana hela, na siasa za Africa kama hauna hela ya kuonga hata uwe na sera na maono mazuri huwezi pata kura za kutosha ili ushinde maana wapiga kura wengi ni wajinga na wameendekeza njaa ya siku moja au mbili kuliko maendeleo yao ya miaka mitano,
Africa ililaaniwa labda tuombe sana Mungu atubadilishe akili,ndo maana hata hao wasomi wamekuwa chawa sababu ni Njaa kali mfukoni,
STOP EXCUSES KACHUKUE FOMU

IBWE ANA HELA ?
 
Msomi, Mama, Phd. EGH, CPA, CJ, CIC, AFCP, CCM Chair, CSEE Failure Candidate Dr. Samia Suluhu Hassan anatosha kutuwakilisha wasomi.
 
Usipende kujiwekea Limitations.

KWANINI confidence ipo kwa wasiosoma kama kina ibwe, shafii mchekeshaji ndio wanaamin they can be , na wala hawana hela…..wewe msomi upo hapo unatoa excuses nyingi sana….. ni aibu

NENDA KACHUKUE FOMU
Wewe enjoy baridi la Toronto tu mkuu. Ya huku Misungwi yaache tu kama yalivyo 😂😂😂
 
Back
Top Bottom