arsenal

An arsenal is a place where arms and ammunition are made, maintained and repaired, stored, or issued, in any combination, whether privately or publicly owned. Arsenal and armoury (British English) or armory (American English) are mostly regarded as synonyms, although subtle differences in usage exist.
A sub-armory is a place of temporary storage or carrying of weapons and ammunition, such as any temporary post or patrol vehicle that is only operational in certain times of the day.

View More On Wikipedia.org
  1. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Arsenal kusitisha uhusiano wake na 'Visit Rwanda' mwishoni mwa msimu wa 2026

    Baada ya miaka nane ya nembo ya Visit Rwanda kupamba bega la jezi za Arsenal, klabu hiyo litangaza kuwa itasitisha mkataba wa udhamini na Visit Rwanda ifikapo mwezi Juni 2026. Hata hivyo, ushirikiano huu haukupita bila changamoto. Makundi ya haki za binadamu yalieleza wasiwasi kuhusu kuhusishwa...
  2. Damaso

    JamiiForums Tanzania Vivienne sio Mtanzania: tuwe na tabia ya kuheshimu mipaka ya Utaifa na Jitihada za wengine

    Kumekuwa na wimbi jipya katika mitandao ya kijamii wiki hii, likimhusisha binti mahiri wa soka, Vivienne Theresa Upendo Lia, ambaye baadhi ya Watanzania wameanza kudai ni “Mtanzania” kwa sababu tu jina lake lina sauti ya Kiafrika ama kibantu. Lakini ukweli ni tofauti kabisa. Vivienne ni...
  3. Damaso

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mshambuliaji wa Chichester City, Billy Vigar, afariki dunia akiwa na umri wa miaka 21 baada ya kupata jeraha kubwa la ubongo

    Billy Vigar, a former Arsenal academy player, has tragically died aged 21. Vigar was placed into an induced coma after suffering a serious brain injury whilst playing for Chichester City last weekend. Our thoughts are with his friends and family at this time. RIP Champ 😔 =============...
  4. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania FT' Liverpool 1-0 Arsenal, Liverpool ya moto, Ushindi wa tatu mfululizo EPL

    Timu ya LiverpoolFC imeitandika Arsenal kwa Goli 1-0 katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya England (EPL) kwenye Uwanja wa Anfield, leo Agosti 31, 2025. Goli pekee likifungwa na Dominik Szoboszlai raia wa Hungary katika dakika ya 83. Hivyo, Liverpool imefikisha alama 9 baada ya kushinda mechi 3...
  5. PLOII

    JamiiForums Tanzania Kwa 100% bingwa wa EPL ni Arsenal NBC wana Lunyasi bado, MO ana Drama sana kasajili nini? Anavuna asipopanda na ngojera ya 87B

    Habari Wana Sports, Kiukweli mwaka huu Arsenal imefanya sajili Bora sana ingizo la striker Victor ndani ya Chama letu inatupa confidence ya kusepa na makombe mwaka huu. Imagine Victor yupo pale mbele left Kuna TEMINADO SAKA right MADUEKE. Declan Rice anakichafua Dimba la chini na juu pale...
  6. Nyanda Banka

    JamiiForums Tanzania Arsenal itaua watu

    🚨🔴⚪Shabiki wa Arsenal aitwaye "Marg" (au kwa jina jingine "Man"), ambaye aliapa mwaka wa 2015 kwamba hatanyoa ndevu zake hadi Arsenal itakaposhinda UEFA Champions League. Hadi kufikia August 05, 2025, bado ana ndevu za kuvutia, kama za simba, bado anaheshimu ahadi hiyo ya 2015-bila kujali ni...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Arsenal Kenya wafanya party kusherehekea usajili wa Viktor Gyökeres

    Wakuu! 😄 Mashabiki wa Arsenal kule Kenya wameamua kupiga party ya nguvu kusherehekea usajili wa mshambuliaji hatari Viktor Gyökeres!
  8. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Hivi Liverpool Manchester united na ipi timu kubwa yenye pesa na makombe mengi

    Hizi timu huwa zinanichanganya ipo kubwa yenye pesa. Na makombe mengi Sasa hivi wakuu
  9. The Humble Dreamer

    JamiiForums Tanzania Thomas Partey, Mchezaji wa zamani wa Arsenal akabiliwa na mashitaka ya ubakaji mara tano na shambulio moja la kingono

    Salaam Members! Thomas Partey, mchezaji wa zamani wa Arsenal, afunguliwa mashtaka ya ubakaji mara tano na shambulio la kingono moja, imetangazwa na Huduma ya Mashtaka ya Umma (Crown Prosecution Service). Kesi hii kubwa imeiacha klabu ya Ligi Kuu ya England (Premier League) ikikumbwa na...
  10. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa: Arsenal, Spurs zamtaka Eze

    Arsenal inapigana vikumbo na wapinzani wao wa Kaskazini mwa London, Tottenham katika mbioz za kumsajili kiungo wa Crystal Palace na England, Eberechi Eze, 26, ambaye anatajwa kuwa na thamani ya pauni milioni 68 (Sun). Washika bunduki 'The Gunners' wanamsaka Eze ambaye ni mbadala wa mshambuliaji...
  11. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Tanzania inazidi kuwavutia mastar wakubwa Duniani, sasa ni zamu ya David Raya wa Arsenal

    Kipa namba Moja wa Arsenal David Raya na Mpenzi wake wapo Nchini kwa sasa wakifurahia mapumziko yao baada ya Msimu kutamatika Ligi Kuu ya England. Sasa inaonekana Mastar wengi wanavutiwa na kuja Tanzania kwenye vivutio mbalimbali kuenjoy mapumziko yao baada ya Zlatan kuonekana Serengeti, Pedri...
  12. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Wakati ligi yetu ikiwa haijaisha, EPL watoa ratiba ya msimu mpya, Man Utd Vs Arsenal wiki ya kwanza

    Sisi tunaishi katika dunia yetu. Mpaka leo ligi haijaisha😂 Wenzetu waliopo mbele ya muda wanaendelea na mambo yao. EPL washatoa ratiba ya msimu mpya wa ligi, August 15 ligi inaanza. Weekend hiyo Man Utd na Arsenal watakuwa pale OT kumenyana. Sisi kuna sehemu tunakosea pakubwa sana, au ndio...
  13. Mwl Philemon

    JamiiForums Tanzania Mashabiki wa Arsenal: Mafanikio ya Klabu Hayaji Kwa Bahati

    Tuwe Wakwelii... Luis Enrique ametumia karibu kiasi sawa cha pesa ndani ya miaka miwili pale PSG kama ambavyo Mikel Arteta ametumia katika kipindi cha miaka sita pale Arsenal. Lakini kuna tofauti kubwa sana kati ya mazingira yao wawili: Enrique alirithi kikosi kilichojaa wachezaji nyota...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Full Time: Arsenal 0 - 1 PSG | UEFA Champions League | Nusu Fainali | Aprili 29, 2024

    Arsenal 0 - 1 PSG | UEFA CHAMPIONS LEAGUE | Aprili 29, 2024 Dakika 16, PSG bado yupo mbele
  15. Stability

    JamiiForums Tanzania Mi ningekuwa shabiki wa arsenal hata nisingehangaika kuangalia maana hakuna mahala wanakwenda

    ,🤣 Active nipigwe ban ya mwezi kama asenyo akienda fainali
  16. BONNIE GOLD

    JamiiForums Tanzania Real Madrid come back vs Arsenal

    Wameshinda lakini hawana furaha. Tafsiri ya kauli hii ipo mioyoni mwa mashabiki wa Arsenal. Wakati tunajiandaa na come back kabambe dhidi ya Hawa watoto (Arsenal), nawatembeza chini ya barabara nyembamba ya kumbu kumbu, ili Hawa vijana wa Arsenal wajue ni dudu gani wanaenda kukutana nalo hapo...
  17. UMUGHAKA

    JamiiForums Tanzania Hii Dunia Ina vituko sana,Kuna watu wanasema Real Madrid anamtoa Arsenal

    Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane! Yaani Kuna Vichaa wanywa komoni kutoka pale Bitaraguru na Wanywa Ulanzi kutoka pale Kilolo wanapanua na kukenua Kwa bashasha wakiamini kabisa ya kwamba Arsenal (The Gunners )anakwenda kutolewa na timu ya Wazee Vijana (Real Madrid). Huwa kila siku...
  18. W

    JamiiForums Tanzania Mikel Arteta na mchakato wa Arsenal

    Tangu Mikel Arteta achukue nafasi ya ukocha Arsenal mwezi Desemba 2019,Safari imekuwa na hisia Kali kwa mashabiki na wapenda soka kwa ujumla.Kwa upande wa mashabiki wamelazimika kuendana na matokeo ya kushangaza yanayo ikuta timu yao. Lakini mchakato huu imekuwa na vipengele vikuu vinne...
  19. Top Gun

    JamiiForums Tanzania Arsenal akimshinda Madrid leo basi mods wanilime ban ya mwezi. Sioni hawa watoto wa mama wakifanya lolote leo

  20. Mchochezi

    JamiiForums Tanzania Hivi Arsenal ana kikosi cha kumfunga Real Madrid leo?

    Leo ni usiku wa ulaya. Kazi ni moja tu, kutazama mechi mbili kabambe za robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya. Kuna Bayern Vs Inter. Afu kuna Arsenal Vs Real Madrid. Kabla ya kupoteza usingizi huko kwenye mabanda ya mpira, nauliza Arsenal ana kikosi kweli cha kumzuia Real Madrid?
Back
Top Bottom