Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

Nani kubeba Ubingwa wa UEFA 2026?🏆


  • Total voters
    105
  • Poll closed .

Blessed Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2023
Posts
257
Reaction score
764
1780091036793.jpeg

FB_IMG_1780090187917.jpg

Arsenal akishinda nipewe ban ya siku 3, nimechoka kelele zao😵‍💫'

Aloooo hawa watu wana keleleee sanaaaaaaà, unawanaonea huruma wana miaka ya mtu mzima bila kombe ila wakishinda hatunywi maji!

PSG nao wana kiu ya kushinda na usongo wa kupata ushindi kwa mara ya pili, mechi otakuwa motooo, ila sitaki Aseno aashinde ili tupumue.

Mods mfanye kazi yenu vizuri muda ukifika!

Updates
Dakika 44, Arsenal bado yupo mbele kwa goli moja.

Mechi ipo on fireee

Dakika 45 zimekamilika kibabe kabisa

Screenshot_20260530_200740_Chrome.jpg

Dakika 45 za kipindi cha pili zimeanza PSG wapo makini kutaka kusawazisha

Arsenal wamebana lakini wameachiaa ngoma bado mbichi

Kwa mara nyingine #Arsenal imepoteza taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya (#UEFAChampionsLeague) kwa kukubali kichapo cha penati 4-3 baada ya matokeo ya goli 1-1 katika dakika 120 kutoka kwa Paris Saint-Germain (#PSG) katika Fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Puskas Arena, Mei 30, 2026.

Arsenal haijawahi kushinda taji hilo, hivyo inakuwa imepoteza fainali yake ya pili baada ya ile ya Mwaka 2006 dhidi ya Barcelona, pia imekwama kuweka rekodi ya kutwaa kwa pamoja UEFA pamoja na Premier League ambalo wamebeba Msimu wa huu
 
Back
Top Bottom