arsenal

An arsenal is a place where arms and ammunition are made, maintained and repaired, stored, or issued, in any combination, whether privately or publicly owned. Arsenal and armoury (British English) or armory (American English) are mostly regarded as synonyms, although subtle differences in usage exist.
A sub-armory is a place of temporary storage or carrying of weapons and ammunition, such as any temporary post or patrol vehicle that is only operational in certain times of the day.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Je, inawezekana Waziri pale Uingereza kusafiri na timu ya mpira kama Man UTD au Man City au ni hapa kwetu tu?

    Imenishangaza sana kuona waziri mzima wa michezo badala ya kuwa bize kushughulikia sera ili ziinue michezo kuhakikisha taifa letu linag'ara kimichezo badala yake anazurula na ndege hadi Algeria. Nadhani tuna tatizo kubwa sana linalopelekea tuwe na safari ndefu la kuinua michezo kama watungaji...
  2. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch 105m x 68m Owner: Stan Kroenke Chairman: Sir John Chippendale "Chips" Lindley Keswick Head...
  3. MAWEED

    Ban ya mwaka 1 kama Man City akifungwa na Arsenal leo

    Sina haja ya kusalimia, Kama Manchester City tukifungwa na Arsenal naomba nipigwe ban ya mwaka mmoja. WE ARE CITIZENS. Moderator Moderator Mkuu @Mexence Melo Active naomba mnizingatie.
  4. Teko Modise

    Man City Vs Arsenal | Mchezo utakaotoa taswira ya ubingwa

    Mabingwa watetezi wa EPL, Man City watakuwa nyumbani Etihad kuwakaribisha vinara wa ligi hiyo Arsenal. Arsenal amemuacha Man City kwa alama 5 huku akiwa amecheza mechi mbili zaidi ya City. Mara ya mwisho Arsenal kumfunga City katika ligi ni mwaka 2015. Utaona ni namna gani mchezo wa leo ulivyo...
  5. J

    Granit Xhaka ndio kuigharimu Arsenal mchezo wa leo, na ubingwa wa ligi

    Kwa wale ambao ni watazamaji wa mchezo wa mpira wa miguu wanajua kuna vitu vidogo sana ambavyo vinaweza kubadilisha mwelekeo wa mchezo na kubadili na matokeo moja kwa moja Kitu ambacho kimebadili mchezo wa leo wakati Arsenal ikiongoza 2-0 ni kitendo cha mchezaji wao Granit Xhaka kutaka kupigana...
  6. Teko Modise

    Ile safari ya Arsenal kutokuchukua ubingwa inaanza leo kwa kichapo pale Anfield

    wote tumekubaliana kuwa Arsenal hatobeba ndoo. Basi katika ile safari yake ya kutochukua ubingwa leo pale Anfield atachapika magoli 2-1. Kama unabisga subiria dakika 90.
  7. Izy_Name

    Saka kulipwa Sh123 milioni kwa siku Arsenal

    Mkataba huo mpya utakuwa na maboresho makubwa kwenye mshahara wa staa huyo, kutoka kiwango anacholipwa kwa sasa cha Pauni 70,000 kwa wiki na kuwa mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi kwenye kikosi hicho kinachonolewa na Mikel Arteta, Pauni 300,000 kwa wiki sawa na pesa ya Kitanzania Sh858...
  8. JanguKamaJangu

    Arsenal mbioni kuanza kumlipa Saka Tsh Bilioni 42 kwa Mwaka

    Arsenal ipo katika mazungumzo na Bukayo Saka kuhusu maboresho ya mkataba mpya ikidaiwa kuwa unaweza kumfanya apokee Pauni Milioni 15 (Tsh. Bilioni 43) kwa Mwaka ikiwa ni malipo ya mshahara na posho. Hilo likitimia atakuwa mchezaji anayelipwa vizuri zaidi klabuni hapo, mshahara kwa wiki...
  9. benzemah

    Europa: manchester united vs real betis, arsenal vs sporting

    Droo ya 16 bora ya EUROPA imepangwa ambapo ni kama ifuatavyo 🇩🇪 Union Berlin vs Union SG 🇧🇪 🇪🇸 Sevilla vs Fenerbahce 🇹🇷 🇮🇹 Juventus vs Freiburg 🇩🇪 🇩🇪 Leverkusen vs Ferencvárosi 🇭🇺 🇵🇹 Sporting CP vs Arsenal 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 MAN UTD vs. REAL BETIS 🇪🇸 🇮🇹 Roma vs Real Sociedad 🇪🇸 🇺🇦 Shakhtar Donetsk...
  10. Shujaa Mwendazake

    Itakuwa ni aibu na fedheha kwa wanasoka kama Arsenal hii itachukua ubingwa EPL

    Tangu kuongoza kwa ligi na matokeo waliokuwa wakiyapata, kuna kina sisi ambao tulikuwa tunaona ni dharau sana kwa haka katimu kukalia usukani. Anyway EPL ni mbio ndefu sana, tunategemea katakaa mahali panapostahili siku zote( Nafasi ya 3 ,4 au ya 5) Arsenal hii siyo ya kuchukua ubingwa na kama...
  11. mahindi hayaoti mjini

    Hatimaye Arsenal yashuka mpaka nafasi ya pili msimamo EPL

    Baada ya kipindi kireeeefuuuuu cha kukalia usukani hatimae Arsenal wameshushwa leo na Man City. Je, ndio basi tena au watarudi?
  12. Dr Rutagwerera Sr

    Hivi bado kuna mashabiki wa Arsenal wanaamini watapata ubingwa msimu huu?

    Kwa mwenendo wa checheme huu kweli kuna mashabiki wanaamini timu yao itachukua ubingwa? Kesho wanadondosha point mbele ya Manchester City. Nina uhakika kwa asilimia 100 akijitahidi ni kupata sare. Timu langu Liverpool hali ni mbaya, nikawa natamani sana Arsenal iuchukue ubingwa badala ya kwenda...
  13. Execute

    Arsenal kufunga zaidi ya goli tatu dhidi ya Manchester City mchezo wa Februari 15

    Baada ya kupitia breathing kidogo sasa vijana wa Mikel Arteta watarejea katika ubora wao hapo kesho kwa kuifunga Man City zaidi ya magoli matatu kwenye mchezo wa ligi kuu ya uingereza.
  14. reyzzap

    Mimi kama Shabiki wa Arsenal natamani Man City ashinde Kesi yake

    Muombee adui yako aishi maisha Mengi ili unapofanikiwa ajionee mwenyewe. Hatutaki visingizio mwisho mwa msimu, Kuna Gap la points 5, na mechi mkononi ambayo najua ni +3, maana msimu huu tunapita kila mtaa kama mwenge.. Tulimpa nafasi ya kupunguza juzi, kashindwa, Sasa si tufanyeje???? Man U...
  15. Teko Modise

    Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

    Baada ya kutolewa kwenye FA Cup, Carabao, nimekaa nikawaza nikaona ni kombe gani Arsenal anaweza kutwaa nimeshindwa kuona. Arsenal kabaki kwenye michuano ya Europa League na EPL. Europa hawezi kutoboa akijitahidi sana robo fainali. EPL ndio kabisa hawezi kutwaa akijitahidi sana nafasi ya...
  16. Lady Whistledown

    Uganda: Mashabiki wa Arsenal waliokamatwa kwa kuandamana, waachiwa huru

    Mashabiki wa Arsenal waliokamatwa Jijini Jinja wakisherehekea ushindi wa klabu hiyo dhidi ya #ManchesterUnited katika mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza Januari 22, 2023 wameachiliwa huru Mashabiki hao waliokuwa wamebeba Kombe la 'Mfano' walikamatwa baada ya Polisi kudai kuwa hawakuwa na kibali...
  17. Execute

    Arsenal itafunga zaidi ya magoli sita kwenye mchezo wa Jumapili dhidi ya Man United

    Matokeo ya mchezo huo wa tarehe 22 January 2023 utapeleka msiba mzito kwa Manchester United. Magoli watakayofungwa yatakuwa zaidi ya sita. Saka, Martinelli, Odegaard na Nketiah.
  18. M

    Anayefikiri kuwa moto wa Arsenal ni wa mabua, ni kama fisi anayemnyatia mtu akidhani mkono wake utadondoka apate kitoweo

    Tunavyozungumza Arsenal anamnyanyasa Tottenham kwa goli mbili kwa sifuri hadi mapumziko!! Anaongoza ligi kwa pointi 8. Moto aliouwasha hauna dalili ya kuzimika, sana sana unazidi makali!! Ni kweli ligi bado sana lakini dalili za mvua ni mawingu!! Musimu huu Liverpool na Chelsea ni choka...
  19. Greatest Of All Time

    Napata wasiwasi, Arsenal anaweza akatwaa EPL kiutani utani

    Wakuu wa jukwaa heri ya mwaka mpya. Mnauonaje mwendo wa Arsenal kwenye mbio za ubingwa pale EPL. Arsenal kama utani, anakimbiza mwizi kimya kimya, ligi ilivyoanza tukasema hafiki krisimasi atakuwa kashatoka kileleni. Krisimasi pamoja na mwaka mpya umefika, naona kasi yao inazidi...
  20. MalcolM XII

    Ujumbe kwa mashabiki wenzangu wa Arsenal

    Ningependa kuwakumbusha mashabiki wenzangu wa Arsenal ya kuwa, kwa sasa tupo kwenye hatari zaidi ya kudhuriwa na mashabiki wa timu zengine kuliko vipindi vyote. Yani amani imepungua. Yote ni kwa sababu tupo juu ya msimamo wa ligi kwa sasa na vile vile tupo kwenye kiwango bora, jambo ambalo...
Back
Top Bottom