Kabla hujafanya maamuzi ya kuwa na watoto /Familia fahamu hili..
Watoto wamekuwa ni hazina na faraja ya wanawake uzeeni lakini faraja ya kudumu ya mwanaume uzeeni imekuwa ni mali zake alizotafuta ujanani.
Wanaume tutafuteni pesa zitufariji baadae,waacheni wanawake washindane na akili zao...