Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,069
Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji
Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji
Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.