anatafutwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Uhakika Bro

    Mjasiriamali wa kuunda kutengeneza manati anatafutwa?

    Ukiwa Mbeya ni sifa ya nyongeza 🤝 lakini popote tutazungumza tu. Kuna malighafi ya kuundia manati mipira bora kabisa inatafuta mjasiriamali. Acha kutumia iliyotumika kwanza ni hatari kiafya. Hizi hapa tekenya zimeisha muda wake badala ya kuzichoma hebu tufanye upcycle.
  2. W

    Mmiliki wa Hoteli za Pilipili- Zanzibar anatafutwa kwa kosa la Udanyifu Poland

    Raia wa Poland, Wojciech Zabinski, mmiliki wa hoteli za Pili Pili Zanzibar, anadaiwa kutafutwa nchini Poland kwa kosa la udanganyifu. Inadaiwa aliendesha shughuli zake za ulaghai Zanzibar kwa kutoa ahadi za mapumziko ya kifahari kwa raia wa Poland, ambazo ni za uongo Mamlaka za ndani zimedai...
  3. D

    Msaada: Said Jamal Athumani anatafutwa

    Ndugu zangu: Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Huyu ndugu anayetafutwa asili yake ni Zanzibar, Baba yake mzazi alishafariki. Lakini amekulia Dar es salaam. Ana mjomba wake maeneo ya Kinondoni. Mjomba wake by 2020 alikuwa ni Dr. Hapo maeneo ya Kinondoni. Said Jamal ATHUMANI katika maisha...
  4. mwanamwana

    Prosper Mnjari adaiwa kupotea baada ya kuchukuliwa Agosti 2 na watu waliojitambulisha TANESCO

    Anaitwa Prosper Theonas Mnjari, anatafutwa alichukuliwa nyumbani kwake Chamazi Mbagala tarehe 2/8/2024 saa 5 asubuhi na watu waliojitambulisha Tanesco, toka walivyo mchukua simu ilizimwa haipatikani na hajaonekana, niwaombeni ukimuona au kuwa na Taarifa zozote kumuhusu tafadhali wasiliana na...
  5. kihongwe11

    Natafuta fundi computer aliyeko Mbagala

    Nahitaji fundi computer aje anisaidie kurepair window 10 maeneo ya mbagala sabasaba kwa mpili
  6. G

    Single Mother anatafutwa

    Wasaalam. Kutokana na pigo nililopigwa Leo! Nimebadilisha msimamo. Natafuta mwanamke angalu mwenye mtoto mmoja wasizidi wawili. Hope huyu atakuwa ashapigwa matukio ya kutosha! Na Mimi pia. Utakuwa ni mwanzo wa kupeana pole, Na kuyasahau ya nyuma. Single mothers karibu DM tuyajenge! Ukiwa...
  7. KikulachoChako

    Taarifa: Anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa wizi wa Carbon ya dhahabu

    Naomba msaada Huyu mtu kaiba mali ya kutosha Plant. Carbon zenye Dhahabu atakayemuona naomba tuwasiliane 0744419100 Kuna zawadi nono itatolewa. Sehem Carbon zimeibiwa na Majengo, sangambi chunya Mbeya. NB; NIMEIKUTA KWENYE MTANDAO WA X
  8. J

    Nahitaji mke mwenye vigezo hivi

    Rej:- Natafuta MKE. Vigezo/ Mwembamba kiasi/mrefu kiasi/rangi yoyote. Mkristo na awe ametokea familia ya kikristo. Elimu yoyote. Awe anafanya kazi. Umri/24-29 Kabila lolote. Asiwe na mtoto. Mimi sasa. Elimu/diploma Kazi/ nimeajiriwa Umri/30 Naishi/ Dar Dini/ mkristo Mungu awabariki wote.
  9. M

    Mfamasia anatafutwa, awe amesajiliwa na baraza la wafamasia

    Pharmacist anatafutwa. Requirements: Awe na cheti kilichosajiliwa na baraza la wafamasia Location: Dar es salaam Payment: 800,000Tsh Contact: 0782121208
  10. Pdidy

    Ikitokea ajali tunaambiwa dereva ametoroka na anatafutwa, kwanini mkiwapata hamtuambii?

    Yaan hizi taarifa nikisiaga nafungaga simu. Sijawahi sikia dreva anasababisha vifo amekamatwa. Nasikiaga tu dreva anatafutwa. Ushauri mkiwapata mtuoneshe pia amekamatwa hasa hawa wanaobeba wasomali na waethiopia, unasikia dreva amekimbia na watu waliokuwepo. Wakipatikana mtujuze basi.
  11. Majok majok

    Simba misimu 3 makocha 7 anatafutwa kocha wa 8, mna uhakika kuwa shida yenu ni makocha?

    Hii sio afya kwa mafanikio ya wenzetu mbumbumbu, muda mwingine inabidi kuwapa ushauri tu ambao mnaweza kuchukua ama kuuacha ikiwapendeza kwa maana akuna Yanga Bora bila Simba imara na akuna Simba Bora bila yanga imara! Aiwezekani makocha ndio wawe mbuzi wa kafara Kila mara pindi mambo...
  12. M

    Pharmacist anatafutwa, awe na cheti kilichosajiliwa na Baraza la Wafamasia

    Natafuta Pharmacist Requirement: awe na cheti kilichosajiliwa na baraza la wafamasia Location: Dar es salaam Payment: 600,000Tsh Contact: 0782121208
  13. M

    Pharmacist anatafutwa

    pharmacist anatafutwa Requirements: awe na cheti kilichosajiliwa na baraza la wafamasia Location: Dar es salaam Payment: 600,000Tsh Contact: 0782121208
  14. neggirl

    Anatafutwa Binti wa kuuza duka (tarehe ya Mwisho 12/4/2024)

    Anatafutwa Binti wa kuuza duka (tarehe ya Mwisho 12/4/2024) 🔹 Awe amemaliza kidato cha 4 au zaidi. 🔸ANAEJUA HESABU. 🔹Umri miaka 25 au zaidi. 🔸AWE ANAISHI MADALE, WAZO, KULANGWA, TEGETA au maeneo mengine jirani. MWENYE UZOEFU ATAPEWA KIPAUMBELE...
  15. S

    Mke anatafutwa, awe anajiheshimu

    Natafuta dada au mama yeyote awe na watoto au la. Awe anajiheshimu na kujua majukumu ya kumtunza mme. Umri wowote mpaka miaka 35. Awe anajiweza kiuchumi sitaki wakuja kulialia bila kuchangia maendeleo ya maisha Yetu. Asiwe mshirikina, awe nahofu ya Mungu. Mimi ni kati ya .wafanya biashara...
  16. Abtali Mwerevu

    Anatafutwa Mwalimu wa Tuition

    Anatatafutwa mwalimu kwa ajili ya kufundisha katika 'Tuition Centre'. Sifa 1. Elimu kuanzia kidato cha sita na kuendelea. 2. Kidato cha sita awe amesoma PCM na atafundisha masomo ya Physics, Mathematics na Chemistry. 3. Mwalimu awe mkazi wa Dar es Salaam, kwa sababu Centre ipo maeneo ya...
  17. Kipenzi Changu

    Bashe anatafutwa ajae kwenye mfumo, sijui kama atafika Pasaka

    Nakupa dokezo. Yote yaliyotokea wiki jana na yanayoendelea huku mkuu akiwa kimya, ni kwamba anayetafutwa ni Bashe. Makonda hatoi matamko dhidi ya Bashe kwa bahati mbaya. Kuna ligi ya siasa na magomvi yanayoendelea kule kwao. January walijaribu kumtafuta kwenye vikao vya kamati, ikashindikana...
  18. ejorisa

    Rafiki wa kuchat anatafutwa

    Habari zenu,naitwa epi Niko dar umri miaka 30 natafuta marafiki wa kuchat nao na kurelax akili yangu.angalizo naitaji marafiki tafadhali na cyo wapenzii ......Asante
  19. Mganguzi

    Natafuta mke awe Msukuma au Mhaya

    Wandugu baada ya miaka mingi ya kuzurula au niseme kuhama kambi moja kwenda nyingine, rasmi nimeamua kuoa. Nimeamua kuoa serious kabisa na sina utani hata kidogo! Makabila yote nayajua ila nimeamua kuchagua Msukuma. Kwa sasa sioi kwa sababu ya ngono, ila naoa kwa sababu ya maisha. Mwanamke...
  20. Mr Why

    Anatafutwa binti mfanyakazi wa ndani

    Familia ya Dar es Salaam yenye kuthamini utu inatafuta mfanyakazi wa ndani wa kike mwenyewe umri mwisho miaka 22 kwaajili ya kazi za ndani. Mfanyakazi ataishi vizuri na dada mwenye nyumba kwani anathamini utu. Mfanyakazi azingatie haya awe mchamungu. Mawasiliano: WhatsApp 0623745875
Back
Top Bottom