Prosper Mnjari adaiwa kupotea baada ya kuchukuliwa Agosti 2 na watu waliojitambulisha TANESCO

mwanamwana

JF-Expert Member
Aug 1, 2011
1,243
4,656
Anaitwa Prosper Theonas Mnjari, anatafutwa alichukuliwa nyumbani kwake Chamazi Mbagala tarehe 2/8/2024 saa 5 asubuhi na watu waliojitambulisha Tanesco, toka walivyo mchukua simu ilizimwa haipatikani na hajaonekana, niwaombeni ukimuona au kuwa na Taarifa zozote kumuhusu tafadhali wasiliana na namba 0757677676/ 0719523522/ 0713990003/0766944200

Athanas.png

Pia soma > Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”

---
Kijana PROSPER THEONAS MNJARI Mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mbagala,Chamazi

Ni dereva wa bodaboda kwa application ya "FARASI " anapaki kituo cha Tandika, anaishi na mke na watoto wa wawili.

(Wakati anachuliwa mtoto wake mdogo wa kike alilia sana) watekaji wakawa wanambembeleza (usijali Baba atarudi)

Ametekwa kwa kufuatwa na kuchukuliwa akiwa nyumbani kwake Chamazi alipopanga na watu waliojitambulisha kuwa ni askari pamoja na Watumishi wa TANESCO.

Walio omba namba ya LUKU akawapa,risiti ya kununua umeme mara ya mwisho akawapa,mwisho walimuomba waende naye ofisi ya Jirani ya Tanesco,kwamba nyumba ina deni kubwa sana.

Aliwataarifu nyumba si ya kwake anaomba awaunganishe na Mwenyenyumba,wakamwambia asijali ni jambo la dakika 5 tu.

Siku ya tarehe 2 August 2024 majira ya saa 5 : 00 asubuhi.

Walipofanikiwa kumchukua na kuondoka naye muda huohuo simu zake zote zilizima na hazijawahi kupatikana hewani hadi leo.

Ndugu zake wamemtafuta vituo vyote vya Polisi na Hospitali katika vyumba vya kuhifadhia maiti hawajafanikiwa kumuona ndugu yao

Wamefungua jalada la uchunguzi kituo cha polisi Mbagala na kupewa RB namba MBR/RB/6306/2024.

Kama ukimuona mahali popote tafadhali wasiliana na ndugu zake kwa kutumia simu namba 0757677676 au 0719523522 au 0713990003 au 0766944200
 
Anaitwa Prosper Theonas Mnjari, anatafutwa alichukuliwa nyumbani kwake Chamazi Mbagala tarehe 2/8/2024 saa 5 asubuhi na watu waliojitambulisha Tanesco, toka walivyo mchukua simu ilizimwa haipatikani na hajaonekana, niwaombeni ukimuona au kuwa na Taarifa zozote kumuhusu tafadhali wasiliana na namba 0757677676/ 0719523522/ 0713990003/0766944200


Pia soma > Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”

---
Kijana PROSPER THEONAS MNJARI Mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mbagala,Chamazi

Ni dereva wa bodaboda kwa application ya "FARASI " anapaki kituo cha Tandika, anaishi na mke na watoto wa wawili.

(Wakati anachuliwa mtoto wake mdogo wa kike alilia sana) watekaji wakawa wanambembeleza (usijali Baba atarudi)

Ametekwa kwa kufuatwa na kuchukuliwa akiwa nyumbani kwake Chamazi alipopanga na watu waliojitambulisha kuwa ni askari pamoja na Watumishi wa TANESCO.

Walio omba namba ya LUKU akawapa,risiti ya kununua umeme mara ya mwisho akawapa,mwisho walimuomba waende naye ofisi ya Jirani ya Tanesco,kwamba nyumba ina deni kubwa sana.

Aliwataarifu nyumba si ya kwake anaomba awaunganishe na Mwenyenyumba,wakamwambia asijali ni jambo la dakika 5 tu.

Siku ya tarehe 2 August 2024 majira ya saa 5 : 00 asubuhi.

Walipofanikiwa kumchukua na kuondoka naye muda huohuo simu zake zote zilizima na hazijawahi kupatikana hewani hadi leo.

Ndugu zake wamemtafuta vituo vyote vya Polisi na Hospitali katika vyumba vya kuhifadhia maiti hawajafanikiwa kumuona ndugu yao

Wamefungua jalada la uchunguzi kituo cha polisi Mbagala na kupewa RB namba MBR/RB/6306/2024.

Kama ukimuona mahali popote tafadhali wasiliana na ndugu zake kwa kutumia simu namba 0757677676 au 0719523522 au 0713990003 au 0766944200
Shida ya haya mambo ni nini hasa?
 
Tuliambiwa awamu hii ya bibi chaudele hakutakua na matukio ya watu kupotea wala kutekwa lakini jambo la ajabu ndio yamekua mengi kupita kiasi, sasa hivi watu wakija waka jitambulisha ni polisi bila kuwepo mwenyekiti na mashahidi usikubali kuchukuliwa bora upigane hadi tone la mwisho ikiwezekana mgawane majengo ya serikali
 
Tanesco wanakuchua wanakupeleka wapi?, akili inatakiwa ifanye kazi chap! , unawaambia nafuata kitu ndani mara moja, hufungui mlango na unawajazia watu, unafanya chochote kile wasiondoke na wewe...Hii nchi ina use-nge sana.
 
Anaitwa Prosper Theonas Mnjari, anatafutwa alichukuliwa nyumbani kwake Chamazi Mbagala tarehe 2/8/2024 saa 5 asubuhi na watu waliojitambulisha Tanesco, toka walivyo mchukua simu ilizimwa haipatikani na hajaonekana, niwaombeni ukimuona au kuwa na Taarifa zozote kumuhusu tafadhali wasiliana na namba 0757677676/ 0719523522/ 0713990003/0766944200


Pia soma > Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”

---
Kijana PROSPER THEONAS MNJARI Mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mbagala,Chamazi

Ni dereva wa bodaboda kwa application ya "FARASI " anapaki kituo cha Tandika, anaishi na mke na watoto wa wawili.

(Wakati anachuliwa mtoto wake mdogo wa kike alilia sana) watekaji wakawa wanambembeleza (usijali Baba atarudi)

Ametekwa kwa kufuatwa na kuchukuliwa akiwa nyumbani kwake Chamazi alipopanga na watu waliojitambulisha kuwa ni askari pamoja na Watumishi wa TANESCO.

Walio omba namba ya LUKU akawapa,risiti ya kununua umeme mara ya mwisho akawapa,mwisho walimuomba waende naye ofisi ya Jirani ya Tanesco,kwamba nyumba ina deni kubwa sana.

Aliwataarifu nyumba si ya kwake anaomba awaunganishe na Mwenyenyumba,wakamwambia asijali ni jambo la dakika 5 tu.

Siku ya tarehe 2 August 2024 majira ya saa 5 : 00 asubuhi.

Walipofanikiwa kumchukua na kuondoka naye muda huohuo simu zake zote zilizima na hazijawahi kupatikana hewani hadi leo.

Ndugu zake wamemtafuta vituo vyote vya Polisi na Hospitali katika vyumba vya kuhifadhia maiti hawajafanikiwa kumuona ndugu yao

Wamefungua jalada la uchunguzi kituo cha polisi Mbagala na kupewa RB namba MBR/RB/6306/2024.

Kama ukimuona mahali popote tafadhali wasiliana na ndugu zake kwa kutumia simu namba 0757677676 au 0719523522 au 0713990003 au 0766944200
KATAVI KULE WAENDE CHAPU.
 
Mjiulize tu,huyo jamaa ni bodaboda hajishugulishi na siasa
 wala siyo mwanaharakati
kwanini atekwe...
je jamaa alikuwa ana shuguli nyingine ya ziada
je labda alikuwa anatembea na mke wa mtu
Je jamaa alikuwa mdhulumati

Hayo ndiyo maswali ya kuuliza

Ova
 
Back
Top Bottom