mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,243
- 4,656
Anaitwa Prosper Theonas Mnjari, anatafutwa alichukuliwa nyumbani kwake Chamazi Mbagala tarehe 2/8/2024 saa 5 asubuhi na watu waliojitambulisha Tanesco, toka walivyo mchukua simu ilizimwa haipatikani na hajaonekana, niwaombeni ukimuona au kuwa na Taarifa zozote kumuhusu tafadhali wasiliana na namba 0757677676/ 0719523522/ 0713990003/0766944200
Pia soma > Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”
---
Kijana PROSPER THEONAS MNJARI Mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mbagala,Chamazi
Ni dereva wa bodaboda kwa application ya "FARASI " anapaki kituo cha Tandika, anaishi na mke na watoto wa wawili.
(Wakati anachuliwa mtoto wake mdogo wa kike alilia sana) watekaji wakawa wanambembeleza (usijali Baba atarudi)
Ametekwa kwa kufuatwa na kuchukuliwa akiwa nyumbani kwake Chamazi alipopanga na watu waliojitambulisha kuwa ni askari pamoja na Watumishi wa TANESCO.
Walio omba namba ya LUKU akawapa,risiti ya kununua umeme mara ya mwisho akawapa,mwisho walimuomba waende naye ofisi ya Jirani ya Tanesco,kwamba nyumba ina deni kubwa sana.
Aliwataarifu nyumba si ya kwake anaomba awaunganishe na Mwenyenyumba,wakamwambia asijali ni jambo la dakika 5 tu.
Siku ya tarehe 2 August 2024 majira ya saa 5 : 00 asubuhi.
Walipofanikiwa kumchukua na kuondoka naye muda huohuo simu zake zote zilizima na hazijawahi kupatikana hewani hadi leo.
Ndugu zake wamemtafuta vituo vyote vya Polisi na Hospitali katika vyumba vya kuhifadhia maiti hawajafanikiwa kumuona ndugu yao
Wamefungua jalada la uchunguzi kituo cha polisi Mbagala na kupewa RB namba MBR/RB/6306/2024.
Kama ukimuona mahali popote tafadhali wasiliana na ndugu zake kwa kutumia simu namba 0757677676 au 0719523522 au 0713990003 au 0766944200
Pia soma > Special Thread: Taarifa za Watu waliopotea au kuchukuliwa na “Watu Wasiojulikana”
---
Kijana PROSPER THEONAS MNJARI Mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mbagala,Chamazi
Ni dereva wa bodaboda kwa application ya "FARASI " anapaki kituo cha Tandika, anaishi na mke na watoto wa wawili.
(Wakati anachuliwa mtoto wake mdogo wa kike alilia sana) watekaji wakawa wanambembeleza (usijali Baba atarudi)
Ametekwa kwa kufuatwa na kuchukuliwa akiwa nyumbani kwake Chamazi alipopanga na watu waliojitambulisha kuwa ni askari pamoja na Watumishi wa TANESCO.
Walio omba namba ya LUKU akawapa,risiti ya kununua umeme mara ya mwisho akawapa,mwisho walimuomba waende naye ofisi ya Jirani ya Tanesco,kwamba nyumba ina deni kubwa sana.
Aliwataarifu nyumba si ya kwake anaomba awaunganishe na Mwenyenyumba,wakamwambia asijali ni jambo la dakika 5 tu.
Siku ya tarehe 2 August 2024 majira ya saa 5 : 00 asubuhi.
Walipofanikiwa kumchukua na kuondoka naye muda huohuo simu zake zote zilizima na hazijawahi kupatikana hewani hadi leo.
Ndugu zake wamemtafuta vituo vyote vya Polisi na Hospitali katika vyumba vya kuhifadhia maiti hawajafanikiwa kumuona ndugu yao
Wamefungua jalada la uchunguzi kituo cha polisi Mbagala na kupewa RB namba MBR/RB/6306/2024.
Kama ukimuona mahali popote tafadhali wasiliana na ndugu zake kwa kutumia simu namba 0757677676 au 0719523522 au 0713990003 au 0766944200