Hatupaswi kulipa Uingereza kwa mkataba uliovunjwa - Rwanda
Rwanda imesema haitakiwi kuirudishia Uingereza pesa baada ya makubaliano ya mamilioni ya pauni ya wahamiaji kati ya nchi hizo mbili kufutiliwa mbali.
Waziri Mkuu mpya wa Uingereza na kiongozi wa Chama cha Leba Keir Starmer alitangaza...
Amesema katazo la kuoa wake wengi ni propaganda za wazungu ambapo wao wapo tayari wanaume waoane lakini sisi kuoa wake wengi waone kosa.
Ameongeza siku ya mwisho mwanaume mmoja atakuwa na wake saba.
Mwanangu ameniletea hiyo habari yeye anafanya kazi katika Meli za dubai zinapita hapo hapo bahari ya Yemeni Mungu amnusuru Mwanangu na hayo mabalaa amin yarabi. Mwanangu amenitumia katika What's App sasa hivi nina chat nae.
KILIMO CHA NYOKA
Achana na Matikiti, Kuku, Vitunguu, au Mayai ya Kwale.
Hili sasa ndio Suluhisho.
Kilimo cha Nyoka
Fikiria uwe na Cobra 10.
Cobra mmoja anataga mayai 60 Kwa mwezi anatotoa.
60 mara kumi ni 600.
600 x 12= 7200
Kwa hiyo kwa mwaka unakua na Cobra 7200
Cobra mmoja anatoa...
Maudhui ya mwaka huu kusherehekea utandawazi,kuhusishwa kwa albino kwenye mipango ,kulinda haki zao.
International Albinism Awareness Day is observed on 13 June every year to raise awareness about albinism, a rare, genetically inherited condition that causes a lack of pigmentation in the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.