amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Isiwe Tabu Maiti Zingine huwa zinachukuliwa Msukule imebidi tupate ruhusa kwa vyombo vinavyo husika tumfukuwe Marehemu.

    Isiwe Tabu Maiti Zingine huwa zinachukuliwa Msukule imebidi tupate ruhusa kwa vyombo vinavyo husika tumfukuwe Marehemu Tuhakikishe Je Amekufa kweli ?au amechukuliwa Msukule?
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Zanzibar kisiwa chenye raha sana na historia ndefu

  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mchungaji anayesema ukweli Kuhusu Kupata Utajiri Makanisani na Mungu. Mzee Wa Upako

  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Israil Taifa Teule Lililobarikiwa na Mungu

  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Baadhi ya Nchi za Kiarabu Haziwaungi Mkono Wa-Palestina?

  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ajali ya bodaboda jijini Mwanza

    Ajali hiyo inaonesha kutokea katika barabara kuu ambapo dereva akiwa na abiria wake walipata ajali na kupelekea pikipiki kuwaka moto, abiria akiwa pembeni huku wasamaria wema wakijaribu kumnasua dereva katika moto.
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Waislamu wa Burundi walinunuwa Kanisa na kuufanya kuwa Msikiti

  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Afya ya mwanamke: Vitu vitano mwanamke anatakiwa kujua katika sehemu zake za siri

    kuna imani potofu kwenye mitandao ya kijamii kuhusu sehemu za siri za wanawake, mwanamke mmoja ameamua kujitoa kuelezea masuala hayo. Dr Jen Gunter amekua daktari wa kina mama huko Marekani na Canada kwa miaka 25. Ametoa kitabu hivi karibu kinachoitwa biblia ya sehemu za siri za wanawake...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Wachungaji wa Tanzania na Wachungaji wa Kenya

  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Wosia wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

    "...uwe na uwezo wa kuwaambia jamaa zako na marafiki zako, Ikulu ni mahali patakatifu, Mimi sikuchaguliwa na wananchi wa Watanzania kuja kupageuza kuwa pango la walanguzi.."
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Wale mnaotaka kuja Ulaya kufanya kazi na hamna elimu, kazi pekee mtakayopata ni kuzoa taka

  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Sababu ya maambukizi (infection) ya sikio kwa watoto

    MAAMBUKIZI au Infection ya masikio ni tatizo kubwa kwa watoto, sikio limejigawa sehemu kuu tatu ya ndani, nje na kati. Matatizo mara nyingi yanashambulia sehemu ya kati ya sikio (Otitis media) inashambulia watoto wachanga na watoto wadogo na nyingine ni sehemu ya ndani ya sikio (Otitis...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Bonde la Mkwajuni lafurika maji

    Serikali hili jambo imelifumbia macho halishughulikiwi kabisa Serikali ya CCM imelala usingizi mnono.............................
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mambo 17 yaliyosababisha kuuawa kwa Gadaffi

    MAMBO 17 YALIYOSABABISHA KUUAWA KWA GADAFFI 1. LIBYA kulikuwa hakuna bili ya umeme, means umeme ulikuwa bure kwa raia wote 2. Libya kulikuwa hakuna Riba kwenye mikopo, Benk zote Libya zilikuwa za Umma na mikopo ilitolewa kwa raia wote tena bila Riba. 3. Gadafi alisisitiza kwamba, wazazi wake...
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania President Erdogan welcomed President Hassan of Tanzania with an official ceremony

    https://www.youtube.com/watch?v=1Ite7nd1omc&ab_channel=HaberL%C3%BCtfen
  16. U

    JamiiForums Tanzania Iran yaishambulia Israel kwa makombora

    #LIVE UPDATES: SHAMBULIZI LA IRAN DHIDI YA ISRAEL Jumanne April 16, 2024 Jeshi la anga la Israel linakamilisha maandalizi ya mwisho Ili kuivamia Iran Israel yaitaarifu Marekani kuwa italipiza kisasi dhidi ya Iran Waziri Mkuu wa Uingereza Sunak kuzungumza na Waziri Mkuu Benjamin Netanyau...
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Hongera Mjukuu wangu (Mwarabu Mwenye Viatu vyekundu) Mr Abdul Hemed Ghafoor kwa kushinda pambano la ngumi....................

  18. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mbona majanga kila Mahali? Arusha nayo yakumbwa na mafuriko, magari yasombwa

    Hii ndio Taarifa mpya ya Usiku huu, kwamba Jiji la Arusha limekumbwa na mafuriko makubwa sana, huko Kisongo hali ni mbaya zaidi, unaambiwa magari na nguzo za umeme zinasombwa kirahisi tu. Sasa sijui tuendelee kuiombea Nchi hii au tumwachie tu Mungu? Mafuriko Arusha hadi maji yanakatiza mjini...
  19. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Nimesikitishwa, huzunishwa na kufadhaishwa na uongo wa Kamati ya PAC! Escrow sio fedha za umma!

    Wanabodi, Kwa waliosoma fasihi, kitabu cha "An Enemy of the People" by Henrik Ibsen mnaweza kuniita mimi Paskali kuwa ni "an enemy of the people!", Ibsen anasema, the strongest man on earth is the man who can stand alone!", hivyo na mimi, katika jambo ambalo nina uhakika nalo na ninaamini ni...
  20. maroon7

    JamiiForums Tanzania Uvumi unaendelea kuhusu unga kutiwa vitu vya kupunguza nguvu za kiume na kuchochea ushoga

    Kuna uzushi umeenea sana kwenye magroup ya WhatsApp kuhusu unga wa mahindi kama inavyoonekana kwenye picha. Mwanzoni nilipuuzia ila kila group naikuta. Kimsingi wabongo elimu ya fortification (uongezaji virutubishi kwenye unga kwa ajili ya kupunguza utapiamlo na udumavu bado hawajaielewa. Kuna...
Back
Top Bottom