amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mashambulizi ya Israel Lebanon: Maafisa wa Israel wafichua siri za sifa ya kutisha ya Mossad - Telegraph

    Chanzo cha picha, Getty Images Magazeti ya Uingereza na Kiarabu bado yametawaliwa kwa kiasi kikubwa na taarifa za milipuko ya vifaa vya mawasiliano vya 'pager' nchini Lebanon, huku yakijadili athari za mashambulizi haya kwa sura na sifa ya Hezbollah, na uwezo wa shirika la ujasusi la kigeni la...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Tathmini ya hotuba ya Rais Samia: “Kwenye msiba, huwezi kumpangia mtu alieje”

    Chanzo cha picha, Ikulu ya Tanzania Maelezo ya picha,Rais Samia Suluhu HassanMaelezo kuhusu taarifa Wachambuzi wa siasa wameonesha kushangazwa kwa kiasi fulani na ukosoaji wa Rais Samia Suluhu Hassan juu ya hisia za umma kuhusiana na tukio la kutekwa na kisha kuuawa kwa kiongozi mwandamizi wa...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mpox ni nini na hueneaje?

    Mpox ni nini na hueneaje? Aina mpya ya virusi vya mpox inaenea kwa haraka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, na wataalamu wanasema ni aina hatari zaidi waliyoishuhudia. Mpox, ambayo zamani iliitwa monkey pox, imeenea katika sehemu za magharibi na kati mwa Afrika na kesi zimekuwa...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Homa ya Nyani: Kwa nini Mpox inaenea kwa kasi Afrika Mashariki na Kati?

    Homa ya Nyani: Kwa nini Mpox inaenea kwa kasi Afrika Mashariki na Kati? Maelezo ya picha,Homa ya Nyani ilianza kwa wanyama kwenda kwa binadamu huko Afrika ya Kati na Magharibi, sasa inaenea kupitia wanadamu.Maelezo kuhusu taarifa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), imekumbwa na ongezeko la...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Homa ya Nyani: Watoto waathiriwa zaidi na mlipuko wa mpox

    Homa ya Nyani: Watoto waathiriwa zaidi na mlipuko wa mpox Maelezo ya picha,Watoto wote wa Nzigire Kanigo wameambukizwa mpox, akiwemo Ansima wa miaka miwiliMaelezo kuhusu taarifa Baada ya Homa ya Nyani ama mpox kutangazwa kuwa dharura ya afya ya umma na Shirika la Afya Duniani kutokana na...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Utafiti: baadhi ya vyakula husababisha ukomo wa hedhi mapema

    Maelezo ya picha,Utafiti umebaini ulaji wa tambi na wali kwa wingi husababisha ukomo wa hedhi mapema Vyakula vyenye wanga kwa wingi husababisha wanawake kukoma hedhi mapema, utafiti umeeleza. Ulaji wa tambi na wali kwa wingi kwa wanawake nchini Uingereza kunasababisha kuwahi kukoma kwa hedhi...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Vyakula visivyo vya wanga vinaweza kukupunguzia maisha kwa miaka minne

    Vyakula visivyo vya wanga vinaweza kukupunguzia maisha kwa miaka minne Maelezo ya picha,Vyakula vyenye kiwango kidogo cha wanga vina mafuta na protini nyingi Lishe yenye kiwango kidogo cha wanga inauwezo kupunguza kiwango cha maisha ya binadamu ya kuishi, Utafiti umebaini hilo. Lishe yenye...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Fenesi: Ulijua kuwa tunda hili linaweza kutibu aina tatu ya saratani na maradhi ya moyo?

    Fenesi: Ulijua kuwa tunda hili linaweza kutibu aina tatu ya saratani na maradhi ya moyo? Fenesi au kwa jina la kisayansi (Artocarpus heterophyllus) ni tunda la kitropiki ambalo hukua Asia, Afrika na Amerika Kusini na linajulikana kuwa tunda kubwa zaidi linaloweza kuliwa ulimwenguni. Mbegu na...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Tuliingia kwa urahisi, wasema wanajeshi wa Ukraine waliohusika katika uvamizi dhidi ya Urusi

    Chanzo cha picha,Reuters Ingawa "Z" inaweza kuwa ishara ya Urusi ya uvamizi wake, pembetatu inawakilisha jaribio la ujasiri zaidi la Ukraine la kuiondoa. Zimepachikwa au kupakwa rangi kando ya kila lori la usambazaji, tanki, au magari ya kubeba wanajeshi ambao wanaelekea mpaka wa Urusi katika...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Wako wapi hawa? Simulizi za waliopotea katika mazingira ya kutatanisha Tanzania

    Maelezo ya picha,Baadhi ya watu walipotea katika mfululizo wa matukio ya utekaji nchini Tanzania Maelezo kuhusu taarifa Author,Sammy Awami Nafasi,BBC Swahili Akiripoti kutokaTanzania Saa 3 zilizopita “Alinipigia kuniuliza mchana nimepika nini, nikamwambia nimepika ugali. Akasema atakuja muda...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mwanaume aliyeanza kupata hedhi akiwa mvulana mdogo

    Mwanaume aliyeanza kupata hedhi akiwa mvulana mdogo Chanzo cha picha, Iryna Kuzemko Katika umri wa miaka 22, niligundua kuwa mimi ni mtu mwenye jinsia mbili. Tangu wakati huo maisha yangu yamekua ya furaha kuliko awali ,"anasema Iryna Kuzemko. Ni mmoja wa watu wengi ambao ''wana jinsia mpya''...
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha wazungu wakulima wa amerika wawauwa simba wa bara la afrika ukisikiliza video utasikia ni simba wa Tanzania

    Amazing: How Do American Hunters And Farmers Deal With Million Of Wild Boar And Lion By Guns. Baada ya Miaka 20 Tanzania kutakuwa hakuna Simba.Watalii Wakija sijuwi watakuja kuona kitu gani? hatari sana.
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Je, wajua kuosha mdomo ni dawa ya kisonono?

    Maelezo ya picha,Dawa inayotumiwa kuosha mdomo Kuosha mdomo kunasaidia kupunguza maambukizi ya kisonono,watafiti wanaamini. Utafiti wa hivi majuzi umeonyesha kwamba binaadamu wanaweza kubeba magonjwa ya zinaa katika koo zao kwa mda wa wiki moja ama hata miezi bila ya kupata dalili zozote. Na...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya chini ya ardhi ya Israel inayojiandaa kwa mashambulizi

    Chanzo cha picha,Reuters Maelezo kuhusu taarifa Ndani kabisa ya mji wa kaskazini mwa Israeli wa Haifa, kuna hospitali kubwa ya chini ya ardhi. Mamia ya vitanda vimepangwa ndani ya kuta zake za zege. Kuna vyumba vya upasuaji, wadi ya wajawazito, na vifaa vya matibabu vilivyowekwa kwenye kona...
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli mifuko ya plastiki inasababisha saratani?

    inasababisha saratani? Mara nyingi mifuko laini na miepesi ya nailoni au Rambo kama inavyojulikana na wengi Tanzania imekuwa ikitumiwa na baadhi ya wananchi katika kufungashia chakula na hasa vyakula vya haraka kama chips au wali kwa wale wenye migahawa midogo kabisa. Hata hivyo kuna baadhi ya...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Virusi vya HPV: Unaweza kupata virusi hivyo kupitia ngono salama

    Maelezo ya picha,"Nilidhani mpenzi wangu anaenda nje nilipouguzwa HPV" Utafiti mpya umebaini kuwa viwango vya juu vya ukosefu wa kujua pamoja na fedheha inayohusishwa na virusi vinavyosababisha magonjwa ya zinaa yaani HPV, huathiri 80% ya watu. Serikali ya Uingereza imezindua vipimo vya HPV...
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Magonjwa manne mapya ya zinaa yanawatoa jasho wataalamu

    Magonjwa mapya huibuka kila uchao, na magonjwa yaambukizwayo kwa ngono nayo ni miongoni mwao. Hawa ni bakteria wanne ambao husababisha magonjwa makali ya zinaa ambayo yanaweza kuleta tishio la afya ya jamii. 1. Neisseria meningitides Neisseria meningitidis, pia hufahamika kama meningococcus...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ni nini kinachosababisha shida ya mkojo kwa wanaume na jinsi ya kuitibu

    Katika miaka ya hivi karibuni, huduma ya afya inayolenga kudumisha hali nzuri ya afya ya uzazi imekuwa maarufu. Lakini suala hili sana sana linahusu afya ya wanawake wakati wa uja uzito, baada ya kujifungua na kuzeeka. Ukweli ni kwamba wanaume pia wanahitaji kuyapatia umuhimu masuala...
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Nigeria: Watu kadhaa wauawa kwa kupigwa risasi katika maandamano ya kulalamikia gharama ya maisha

    Nigeria: Watu kadhaa wauawa kwa kupigwa risasi katika maandamano ya kulalamikia gharama ya maisha Watu kadhaa wameuawa kwa kupigwa risasi nchini Nigeria katika mji wa Kano, kaskazini mwa Nigeria wakati wa maandamano ya kulalamikia gharama ya juu ya maisha.Baadhi ya waandamanaji walijeruhiwa...
  20. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Israel yathibitisha kumuua Mkuu wa Kijeshi wa Hamas mwezi Julai

    Jeshi la Israel leo limethibisha kuuawa kwa mkuu wa jeshi la Hamas bwana Mohammed Deif kilichotokea 13 July 2024. Hamas wamekaa kimya kuhusu kifo cha huyu kamanda wao Mkuu. --- Israel's military says it has confirmed that Hamas's military chief Mohammed Deif was killed in an Israeli air strike...
Back
Top Bottom