amavubi gfsonwin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mambo 5 ya kujua kuhusu nimonia

    Mambo 5 ya kujua kuhusu nimonia Pneumonia ni maambukizi kwenye mapafu. Mara nyingi husababishwa na bakteria au virusi. Ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kupumua. Watoto lakini pia watu wazima wanaweza kuugua ugonjwa huu. Kwa mujibu wa shirika la afya duniani, Watoto 740,000 walio na umri wa chini...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kando na pipi za pamba, unajua ni bidhaa gani nyingine zinazoweza kusababisha saratani?

    Kando na pipi za pamba, unajua ni bidhaa gani nyingine zinazoweza kusababisha saratani? Maelezo ya picha, Uuzaji wa pipi za pamba umepigwa marufuku katika jimbo moja huko India Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Idara ya Usalama wa Chakula katika jimbo la Tamil Nadu nchini India, umebaini...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kwanini onyo la Putin linachukuliwa kuwa hatari baada ya kauli ya Macron?

    Kwa nini onyo la Putin linachukuliwa kuwa hatari baada ya kauli ya Macron? Maelezo ya picha, Vradimir Putin Mvutano kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na NATO unaonekana kuongezeka kwa mara nyingine tena huku Putin akiwa tayari amesema iwapo NATO itatuma wanajeshi kuisaidia Ukraine, hatari...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Uvimbe katika Mayai Ya Mwanamke (Ovarian Cyst)

    FAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CYST ) Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana kama ovarian cyst...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Fibroids, uvimbe kwenye kizazi unaowatesa wanawake wengi Duniani

    FIBROIDS:UVIMBE KATIKA KIZAZI UNAOWATESA WANAWAKE Katika siku za hivi karibuni,wanawake nchini wamekuwa wakilalamika kuwa kila wanapokwenda kujifungua basi hukutwa na uvimbe katika nyumba ya uzazi. Uvimbe huo,ambao si saratani, umekuwa ni tishio kwa maelfu ya wanawake nchini jambo...
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Usimchezee Mamba, atakutafuna

  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazı wa ndani awanywesha mkojo mabosi wake, wamkamata

  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa Rais Samia; Mwalimu Mkuu wa Kitinku awafukuza shule watoto wa Mzee Salum kwa sababu wanakwenda kuswali siku ya ijumaa

    Je Sheria ya nchi inasemaje ? soma hapo chini 👇 ASalam Alaykum, Hongera nyingi sana kwa ndugu yetu wa imani ya kiislamu kwa jihad kubwa aliejitolea wa ujasiri mkubwa kuongea hayo bila oga na hatimaye natija yake ameamsha usingizi hisiya ya siyo ya viongozi na Mashekh wetu tuu bali hata...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Wachawi wanavyokujia usiku ukiwa umelala usingizi Wanakuchezea mwili wako wanavyotaka

  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania STDs: Aina za magonjwa ya zinaa, dalili zake na ni hatari kiasi gani?

    STDs: Aina za magonjwa ya zinaa, dalili zake na ni hatari kiasi gani? Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), zaidi ya watu milioni moja duniani kote wanaambukizwa magonjwa ya zinaa kila siku. Magonjwa kutosikia matibabu ni tatizo kubwa la magonjwa ya zinaa (STDs) au (maambukizi ya zinaa)...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Umejifunza kitu gani kwa kupitia hii Video yangu?

  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Rais wa Korea ya Kaskazini Kim Jong Un akikaguwa shamba la mpunga

    Je Kuna Kiongozi wowote wa Bara la Afrika anaweza kufanya kama alivyofanya huyu Mtemi wa Korea ya Kaskazini? Thubutu yake Hakuna kiongozi wa Bara la Afrika anayeweza kufanya hivi
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Huyu Mzee atakuwa hatari kweli Usaliti wa ndoa

  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Chui huja kila usiku kukutana na ng'ombe na ng'ombe huramba kichwa chake

    Chui huja kila usiku kukutana na ng'ombe na ng'ombe huramba kichwa chake. Mwanaume huyo alizungumza na mmiliki wa awali wa ng’ombe huyo na kugundua kuwa mama chui alifariki akiwa na umri wa siku ishirini tu na tangu wakati huo ng’ombe alimlisha chui huyo kwa maziwa yake. Kwa hivyo, chui...
  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kuna mlima ambao huwa unateremsha maji huko China, lakini unakua mkavu daima hautoi maji. Ila ukisomewa Aya za Qurani ndipo maji yanaanza kutoka

    Kuna mlima ambao huwa unateremsha maji huko China, lakini unakua mkavu daima hautoi maji. Ila ukisomewa Aya za Qurani ndipo maji yanaanza kutoka, wanayatumia watu halafu unarudi kuwa kama Mwanzo. Subhana Allah wa Bihamdih Subhana Allah Aladheem
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Kwa CCM hii umasikini nchi hii tutadumu nao!

    KWA CCM HII UMASIKINI NCHI HII TUTADUMU NAO. VIONGOZI WENGI WA CCM NI WAPIGAJI WANAMUANGUSHA MAMA SAMIA HAKUNA HATA MMOJA MZURI.
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Asalalee mzungu kala mafenesi ajali haina kinga

  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Huyu mama wa kikongo anameza sio kula ugali

  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ajali haina kinga kweli hatari sana

  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Nay Wa Mitego Ujumbe Wako umefika Kwa Wahusika

Back
Top Bottom