Nipo mikoa yanda za juu kusini, nafanya study ya bei ya vyakula kwa mwaka huu nikilinganisha na bei ya vyakula mashambani kwa mwaka jana , bei zinanitisha sana , mfano kwa mkoa wa mbeya, sehemu inayolima mahindi mwaka Jana bei ilikuwa 6000, mwaka huu ni 12 to 16000 , songwe - mbozi mwaka Jana...