akili

Akili (Persian: اكيلي‎, also Romanized as Āḵīlī) is a village in Emamzadeh Seyyed Mahmud Rural District, Sardasht District, Dezful County, Khuzestan Province, Iran. At the 2006 census, its existence was noted, but its population was not reported.

View More On Wikipedia.org
  1. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Kama unaamini hivi vitu basi ujue una upungufu wa akili

    Haijalishi umesoma ama hujasoma ila kama unaamini hivi vitu ujue una mapungufu makubwa ya akili. 1. Uchawi, kama unaamini uchawi upo basi jua huna akili. Uchawi ni mambo ya kufikirika tu hayana uhalisia wowote. Karne hii ya 21 bado mtu watu wanaamini upumbavu wa kwamba uchawi upo kweli? Kama...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Nashauri kuwe na Siku Maalum ya Waafrika wote 'Kujiombea' kwa Mwenyezi Mungu Ili tuwe na Akili

    1. Mfano kuna Taifa Moja (siyo Rwanda) Wananchi wake kwa sasa wameanza Kuchagua Timu za Kushangilia katika Kombe la Dunia lijalo wakati Wao hata Kufuzu tu AFCON ni shida na hapo hapo tena kuna Timu imefuzu Kombe la 'Luzaz' lakini Wanashangilia utadhani Wametinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa...
  3. Execute

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anakuwa na akili pale tu anapokuwa hajazama kwenye mapenzi

    Mwanamke akishapenda huwa anasahau kila kitu na anaenda kwa hisia pekee. Yaani kuna mwanaharakati mmoja anaandika sana mitandaoni, lakini akija huku ni tofauti kabisa kwasababu amezama kwenye mapenzi. Ni dhahiri kwamba mwanamke ni mwaminifu kwa hisia zake tu.
  4. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Ninaposema Mwafrika kapunjwa akili na Mungu kwa makusudi kabisa muwe mnaelewa. Rejea ajali ya ndege Bukoba 06/11/2022

    Habari Mimi nitazungumzia vitu vichache tu kati ya vingi vilivyojitokeza jana ambavyo vinaonyesha ufinyu wa akili wa viongozi wetu ambao ndio wanawakilisha uhalisia wa wananchi. 1. Ziwa Victoria pamoja na ukubwa wake na umuhimu wake kiuchumi serikali haijaweka boti angalau 4 za dharura...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Shaffih Dauda, Prisca Kishamba na Yahya Njenge muombeni Edgar Kibwana 'awakopeshe' akili zake kubwa

    Mchambuzi Mnafiki Tanzania nzima Shaffih Dauda..... "Sijaona kosa lolote kwa Injinia Hersi Said Rais wa Yanga SC kwa kauli yake ya wala mihogo." Dauda Dhambi ya Njaa, Unafiki na Kujipendekeza kwa Viongozi wa Simba na Yanga inakutafuna na utaishia kubaya. Najua leo umejitolea kumtetea Injinia...
  6. Travis Walker

    JamiiForums Tanzania Hoja zinazofundua akili: Uwepo wa Mungu na dalili zake

    TUCHUKULIE KUWA HAKUNA MUNGU Ikiwa Mungu hayupo mimi, wewe na vinavyotuzunguka as a nature pia vingekuwa havipo kabisa. Na kwanini labda ninasema hivyo. Vizuri, nina hoja muhimu sana. Tuchukulie tunakubaliana na wanasayansi kuwa sisi tulikuwa nyani au sokwe kama ilivyo elezwa kwenye vitabu vyao...
  7. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hawa watu wa Reception Lodge muwe mnawapima akili. Wengine ni Wendawazimu

    " imagine Imenichukua wiki 3 niweze kupanga hizi games mbili za leo mpaka zika tick ilikuwa ngumu sana. Demu mmoja akiwa free mwingine yupo tight. Yule akiwa free huyu yupo period.. Hatimaye leo zote zikatick. Nikapanga ratiba vizuri ili match zisiingiliane sababu utatumika uwanja mmoja...
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna goigoi wa akili anawaza kabisa kuwa leo Yanga SC itafungwa na Geita Gold FC kule CCM Kirumba?

    Uzembe wetu na kufungwa kipumbavu na Azam FC juzi umeshatugharimu na leo ndiyo tunaenda rasmi kuachwa kwa alama (points) tatu (3) na Yanga SC. Na hata kesho kuna uwezekano Mtibwa Sugar FC naye akatudindia na gap likaendelea kuwa la alama (points) tano (5). Na ndiyo maana GENTAMYCINE kwa...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kitakachokufanya uone mambo ni rahisi ni "Imani" wakati "Akili" itakufanya uone mambo ni magumu

    Kwema Wakuu! Leo sina mengi ya kuandika, Watoto wanaimani kuliko watu wazima. Sio ajabu wakaona mambo ni rahisi. Imani ndio kitu pekee kitakachokufanya uone maisha ni Rahisi. Ukiona unayaona maisha ni magumu basi elewa tayari ushaanza kukomaa kiakili. Hiyo ni ishara Namba moja ya mtu...
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wana Simba SC tumeshachoshwa na 'Press' zenu za 'Kutuzuga'

    Tumeshawachoka sasa, yaani kila Simba SC ikifanya vibaya (ikifungwa) ili kutuzuga wapenzi (mashabiki) haraka sana kesho yake (kama hii leo) mnakuja na Press Conference (Mkutano na Waandishi wa Habari). Kama kweli Simba SC huwa mnakuwa na taarifa (jambo) muhimu kwetu mashabiki ni kwanini huwa...
  11. KndNo1

    JamiiForums Tanzania Akili ya BMW kwenye Magari

    Hii kampuni ya Kijerumani yenye makao yake makuu katika jiji la Munich inatengeneza magari bora zaidi duniani.. Magari ambayo ukiendesha lazima upate furaha.. Gari huichoki.. Driver oriented.. Ultimate Driving Machine..! Kuweka battery nyuma ya gari. Gari nyingi battery zake zinakaa mbele...
  12. Ngungenge

    JamiiForums Tanzania Hicho kikundi chenu dhidi ya January Makamba hamtafika popote

    1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba 2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba 3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na...
  13. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Miafrika ndivyo tulivyo. Inashangaza sana akili hii ya Serikali

    Hata aibu hawaoni. Halafu kuna mtu anakuja anazungumzia mabeberu sijui na nini. Hebu soma hapa. Uliza hao wanaoenda Qatari ni wazungu? Kama ni waafrika waulize wanaenda kwa pesa zao? Unasoma unagundua wanametengewa bajeti na Serikali. Wanaenda Kombe la Dunia Qatar watu 327. Wanatumia kodi za...
  14. Mag3

    JamiiForums Tanzania Kwa wasomi wetu, kuwa na akili bila udadisi ni sawa na kutokwenda shule kabisa

    Akili ya binadamu ni utajiri wenye nguvu zaidi kuliko tunavyoongozwa kuamini katika elimu rasmi ya kitaaluma tunapokuwa shuleni au chuoni. Nachukia sana watu wanapochanganya akili na elimu. Unaweza kuwa na shahada na bado ukawa mjinga kwa kuamini unajua kila kitu! Elimu inakuwa na manufaa...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wanaofika mshindo mara mbili pekee huwa na afya ya mwili na akili kuliko wale wanaozidisha

    Mtaalam wa saikolojia ya mapenzi na kungonoka ambaye amefanya Exclusive Interview nami GENTAMYCINE amesema kuwa 99% ya wanaume ambao hupenda kubandua (kutia ) bao mbili tu, huwa na afya njema na akili zao kuwa kubwa kuliko ile mipopoma inayopenda kufanya goli tatu (hat-rick ) au zaidi, ambao kwa...
  16. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Msanii Diamond atoboa pua

    Hivi hii video hapo chini ni ya kweli au ni photoshop?
  17. Afrocentric view

    JamiiForums Tanzania Nani ana akili kuliko wote JF?

    Wajameni nina swali. Who is the smartest person on JF? Yani genius, akili mingi, great thinker..kuliko wote. Nataka nimjue kipanga wetu.
  18. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sasa hapa ndo utagundua Sisi Wapumbavu tupo wengi kuliko Werevu/Wenye Akili

    Trust me. Hili kama huamini pitia threads za humu ndani. Utagundua wenye akili ni wachache sana. Wengi ni vilaza. Sisi Vilaza ni Jeshi Kubwa. Mwenyewe akangalia threads zenye vichwa vya habari kama hivi. 1. Naombeni Ushauri.nimemfumania mke wangu mara tatu sasa nifanyeje 2. Nimempa Mimba...
  19. ERoni

    JamiiForums Tanzania Mamlaka, Jengeni maeneo ya watu kupumzika na kuhuisha akili zao

    Wakuu, Ni ajabu sana kuona miji midogo ndani ya majiji haina sehemu zenye utulivu kwa ajili ya watu kupumzika na kutembea, huku wakicheza na watoto wao, wakinywa soft drinks na bites, wakipiga picha na kupumzisha mafuvu yao. Mji mdogo kama Mbezi-Kimara, kutwa ni shughuli za kiuchumi...
  20. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Hawa Mabeberu tunawasingizia tu. Marais wa Afrika wengi hawana akili. Msome alichofanya Tsishekedi wa DRC ni aibu

    Huwa waafrika wengi ujinga na upuuzi wetu tunaufichia kwa Kuwalaumu Wazungu. Rais na akili zako unamchagua mtu awe Mkuu Jeshini ameshafariki Miaka 11 ago. Wewe una akili kweli? Utasema walikuingiza chaka. Bado huna akili. Kwa nafasi nyeti kama hiyo.
Back
Top Bottom