Ni wazi kwamba serikali inajitahidi kujenga miundombinu kama stendi. Kinachokera ni hili kundi la wapigadebe.
Mfano pale stedi mpya ya Nyamhongolo Mwanza, yaani ukishuka tu kwenye Hiace zinazotoka mjini, unaweza kupokelewa na wapigadebe hata 10 wakikuuliza Musoma, Tarime, Sirari, Bariadi n.k...