Jamani nia na madhumuni ya Uzi huu ni kupeana updates mbalimbali Kwa wale tulio omba ajira za jeshi la polisi 2024 kama Kuna yeyote anajua chochote kuhusiana na CCP akuje atupe mwanga, mbinu za kutoboa pamoja na life la huko
Asantni🙏
Jamani nauliza tu Kwa mwenye fununu kuhusu ajira *note Kwa motivation speakers na wenye akili nyingi jibuni swali msianze mambo ya mara ujiajiri mara acha uvivu
Hivi viwanda vipo Iringa na Njombe. Wanakata milingoti sana na wanaharibu mazingira. Wafanyakazi hatuna mikataba anakufukuza muda wowote kwa chochote.
Assume wazee wetu walipanda miti ili watoto tufaidike, anafaidika mchina.
Kwa siku kiwanda kimoja wanaweza kata miti zaidi ya 400 na viwanda...
Utangulizi
Katika moyo wa Afrika Mashariki, Tanzania inasimama katika njia panda kati ya mila na uvumbuzi. Ikiwa na idadi kubwa ya vijana, taifa lina hazina ya uwezo ambao bado haujatumika—wahitimu wakiwa wamejaa ujuzi na ndoto kubwa.
Hata hivyo, ahadi hii inafunikwa na ukweli mkali: ongezeko...
Nafasi ya kazi fundi mechanical na Fundi welding wanahitajika, sifa kubwa mbili mtu awenazo awe amesomea na awe na cheti na na pia awe na uzoefu wa kufanya kazi viwandani
Piga 0766320816 kwa maelewano na maelekezo zaidi
Hospitali ya rufaa kitete mkoa wa Tabora imetangaza ajira za mkataba 126 kwa wataalamu wa afya mbalimbali mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 25/06/2024.
Jamani Kuna mwanangu ana 4 ya 27, akasome kozi gani ambayo mbele zipo Ajira na kitu ambacho kazi rahisi kupata ata kujiajiri?
Matokeo yake yako hivi:
Math: F
History: D
Civics: D
Kiswahili: C
English: C
Bio: D
Geography
Eti, akasomee nini apate ajira?
Amesema mtazamo wake kuhusu katiba ni kuleta nafuu kwenye maisha ya kila siku mf.
Wanawake wasio na ajira wapewe mikopo bila riba mtu akifa maiti isidaiwe chochote na kijana akihitimu masomo na serikali haijampa ajira baada ya miaka mitano ianze kumlipa nusu mshahara mpaka atakapo pata ajira.
UTANGULIZI
Hapa nchini Tanzania kumekuwa na changamoto ya upatikanaji wa ajira kwa wasomi hasa wanaohitimu ngazi ya chuo ambapo wanategemea kuajiriwa kutokana na walichokisomea. Ofisi ya Takwimu Tanzania 2020/21 ilionesha kuwa jumla ya watu 675,899 (2.8% ya watu wenye ajira) ni waajiriwa...
Ili kuharibu taifa lolote, anza kwa kuharibu mfumo wake wa elimu. Mfumo wa elimu wa Tanzania kwa sasa unawaandaa vijana kuwa wafanyakazi wa serikali au taasisi binafsi, jambo ambalo limepelekea wengi wao kuishi maisha duni huku wakisubiri ajira kutoka serikalini na kwenye taasisi binafsi...
Kwanini watu wenye Certificate na Diploma wanapata ajira sana kuliko wenye Degree
Daaah!! Kwahiyo tunahukumiwa na elimu yetu kisa kusoma kwa bidii jamani
POSITION TITLE: VSLA Coordinator
REPORTS TO: Senior Project Manager
LOCATION: Iringa
JOB SUMMARY
VSLA coordinator is responsible to lead CARE’s VSLA model, support linkage to access to financial services to VSLA members. He is responsible for providing holistic support services to Village...
POSITION: Impact and Communication Coordinator
REPORTS TO: Senior Project Manager
LOCATION: Iringa
JOB SUMMARY
The communications and impact coordinator will be responsible for demonstrating and communicating the impact of the project activities. Including developing the project communications...
POSITION: Administration and Procurement Officer
REPORTS TO: Head of Finance and Operations
LOCATION: Iringa
JOB SUMMARY
The Administration and Procurement Officer is responsible for timely provision, coordination and management of logistics, procurement and administrative support services to...
POSITION: Grants and Finance Coordinator
REPORTS TO: Award and Sub-award Manager
LOCATION: Iringa
JOB SUMMARY
The role of Grant and Finance Coordinator will be responsible for the day-to-day management of the assigned projects at Iringa Sub office in line with CARE International policies and...
Position: Drivers (2)
Reports To: Administration and Logistics Officer
Location: Iringa
JOB SUMMARY
This position is responsible for carrying out duties as a driver, effectively and efficiently, observing all current CARE vehicle and motorcycle policies and procedures. The driver will also be...
Request For Expression Of Interest (EOI) Consultancy Services For Design And Supervision
SICPA Tanzania invites legally registered and experienced local consultants to submit their expression of interest for the ventilation and fire suppression systems detailed design, and supervision of...
Position: Investigations Junior Consultant
JOB PURPOSE
The Consultant will report to the Director, Office of Inspections and Investigations (OIGI) and/or his delegate as appointed by the Director of OIGI. The consultant will specifically deliver their work either individually or within a...
Pia soma: Feeder Table Operator
Job Purpose
The successful candidate will be responsible to operate the feed table station and carry out maintenance during scheduled stop, breakdown and off crop.
Specific Duties and Responsibilities:
Carries out maintenance and repair of all cane table...
Position: Safety, Health & Environment (SHE) Director
Job Purpose
The successful candidate will set direction and strategy for Occupational Safety, Health, Environment & Risk performance for the business through provision and assurance of policies, procedures, systems, applicable...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.