Waziri wa tamisemi juzi alitangaza kuwa wako katika hatua za mwisho kuajiri watendaji wa kata zaidi ya 500.
Naomba Kwa anaefahamu mchakato wa kuwapata hao watumishi ukoje?
Maana sikuwahi kuona nafasi hizi zikitangazwa kama AJIRA zingine.
Nishauri kama kijana ninaetamani, nami sikumoja...
Ninawasalimu kwa heshima za hadhi zote ndugu zangu wa JF.
Kwa heshima kubwa ninawashukuru sana kwa mawazo yenu yote juu ya maada niliyoileta kwenu iliyosema "NILITENGENEZEWA ZENGWE NA MZAZI WA MWANAFUNZI MPAKA NIKAFUKUZWA KAZI".
Nimeona nisikae tu kimya bila kuwafahamisha...
Fursa ya ajira
Hata kama huna mtaji leta mteja kwa bei yako, cha juu ni cha kwako
iPhone Original Chargers
25W Adapter
USB C lighting cable
Zipo pis 100 tu
16,000/= Rejareja
14,000/= Jumla (Kuanzia pis 10)
Tabata Aroma
0653776099
Mfumo umefunguka vizuri. Ninaingiza taarifa vizuri. Kwa nini sehemu ya kuingiza namba ya NIDA nikibofya inazunguuka muda mrefu haiendeleei?
Msaada wanaujua hili suala.
Awali ya yote ningependa kuipongeza Secretariat ya ajira kwa hatua nzuri waliofikia ya kufanya interview online, ni kweli mfumo itakiwa na manufaa sana kwa kupunguza gharama za uendeshaji usaili kwa pande Zote mbili.
Msailiwa na msaili.. kwa hlo naipongeza ssrekali kwa hapo walipo fikia,
Ila...
Nipo katika kipindi kigumu cha Maisha kwa sasa ambapo changamoto zimekuwa kubwa sana na zinanibana. Nina degree ya utawala, pamoja na uzoefu na ujuzi katika mauzo, masoko, ukusanyaji wa data, na uandishi wa miradi. Aidha, nina ujuzi kompyuta, na uzoefu wa miaka 7 kwenye kazi na rekodi nzuri...
Ni ukweli usiopingika kwamba wafanyabiashara wana pesa nyingi, hata ukiangalia top 20 ya matajiri hapa Tz utawakuta wafanyabiashara wamejaa wao hasa wahindi , wasarabu na wasomali, hata baada ya hapo kuna watanzania wenye asili zetu wanaofanya biasbara.
Lakini katika kigezo cha idadi ya...
Mzee Wasira anashangazwa na taarifa za mainjinia kukosa ajira. Wakati huo yeye mwenyewe anawahi kujiajiri bali anaishi kwa kuajiriwa toka miaka ya 1970.
Ukimuuliza kwanini amegonga kustaafu na kukaa pembeni anadai bado ana nguvu na anakubalika na watawala. Ukihoji kwa maisha yake yote ni kipi...
Siku mbili tatu hivi Kuna tangazo limekuwa likitembea linalohusiana na ajira za ualimu na afya.
Japo tangazo hili ukilitafuta kwenye website ya TAMISEMO halionekani, sasa nauliza Tangazo hili linaukweli ndani yake?
Job no: 570629
Contract type: Temporary Appointment
Duty Station: Kigoma
Level: NO-2
Location: United Republic of Tanzania
Categories: Child Protection
Key functions/accountabilities:
1. Support to programme development and planning
Conduct and update the situation analysis for the...
Position: Irrigation Team Lead
The Irrigation Team Lead is responsible for controlling and coordinating the quality of irrigation operations and assists management in the development of irrigation plans to ensure long-term growth development and sustainability as well as Implement the “Illovo...
Position: PPS Operator
The PPS Operator is responsible for operating Irrigation pumps for the purpose of supplying bulk water to the farms via the Underground Main System (UMS).
Duties and Accountabilities:
Ensure that all items included in the PPS check list are present and are in good...
POST
MTENDAJI WA KIJIJI III - 2 POST
EMPLOYER
Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali
APPLICATION TIMELINE:
2024-04-02 2024-04-15
JOB SUMMARY
NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
(i)Mtendaji Mkuu wa Serikali ya kijiji
(ii)Katibu wa Kamati ya kijiji
(iii)Mratibu wa utekelezaji wa Sera na Sheria...
Position: Treasury Officer
Location: Globally, Flexible
Company: Plan International
Type of Role: Permanent
Reports to: Head of Treasury
The Opportunity
The Treasury Department is a small specialist team that utilizes technology to leverage its services to...
Job Title: Finance Supervisor
Department: Finance Department
Report to: Finance Manager
Salary: Competitive Salary Package
Location: Zanzibar
On behalf of our client we are currently searching for the qualified candidates to join our client team as Finance Supervisor to be based in Zanzibar...
Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) ni Taasisi ya Umma iliyoanzishwa kwa Sheria ya Wakala wa Serikali Sura ya 245. Majukumu yake makubwa ni kutoa Huduma za Matengenezo ya Magari na Mitambo, Huduma za Umeme ikiwa ni pamoja na kufanya Matengenezo ya Taa za Barabarani, kufanya Matengenezo...
Position Tittle : Sales Executive
Lumac Construction & General Supplies Co. LTD is a Tanzania incorporated company and locally owned that offers construction, project management and general supplies of building finishing materials such as balustrades, aluminium and all kinds of glass works in...
Position Tittle : Business Development Officer
Lumac Construction & General Supplies Co. LTD is a Tanzania incorporated company and locally owned that offers construction, project management and general supplies of building finishing materials such as balustrades, aluminium and all kinds of...
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema mfumo wa usaili kwa njia ya kidigitali utapunguza gharama kwa kiasi kikubwa kwa wasailiwa wa ajira tofauti na hapo awali ambapo watu walilazimika kusafiri hadi Jijini Dodoma kwa ajili wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.