ajira

  1. Siachi hela

    Ajira Utendaji wa Kata

    Waziri wa tamisemi juzi alitangaza kuwa wako katika hatua za mwisho kuajiri watendaji wa kata zaidi ya 500. Naomba Kwa anaefahamu mchakato wa kuwapata hao watumishi ukoje? Maana sikuwahi kuona nafasi hizi zikitangazwa kama AJIRA zingine. Nishauri kama kijana ninaetamani, nami sikumoja...
  2. Makox

    Nilitengenezewa zengwe na mzazi wa mwanafunzi mpaka nikafukuzwa kazi

    Ninawasalimu kwa heshima za hadhi zote ndugu zangu wa JF. Kwa heshima kubwa ninawashukuru sana kwa mawazo yenu yote juu ya maada niliyoileta kwenu iliyosema "NILITENGENEZEWA ZENGWE NA MZAZI WA MWANAFUNZI MPAKA NIKAFUKUZWA KAZI". Nimeona nisikae tu kimya bila kuwafahamisha...
  3. BENEDICT ISEME

    INAUZWA iPhone Complete Fast Charger

    Fursa ya ajira Hata kama huna mtaji leta mteja kwa bei yako, cha juu ni cha kwako iPhone Original Chargers 25W Adapter USB C lighting cable Zipo pis 100 tu 16,000/= Rejareja 14,000/= Jumla (Kuanzia pis 10) Tabata Aroma 0653776099
  4. Cheology

    Changamoto kwenye maombi ya ajira Mfumo wa TAMISEMI upande wa Afya na Elimu

    Mfumo umefunguka vizuri. Ninaingiza taarifa vizuri. Kwa nini sehemu ya kuingiza namba ya NIDA nikibofya inazunguuka muda mrefu haiendeleei? Msaada wanaujua hili suala.
  5. engineerafrican

    Maoni yangu kwa utumishi (Secretariat ya ajira) especially kwa kujiongeza kufanya usaili wa ajira online

    Awali ya yote ningependa kuipongeza Secretariat ya ajira kwa hatua nzuri waliofikia ya kufanya interview online, ni kweli mfumo itakiwa na manufaa sana kwa kupunguza gharama za uendeshaji usaili kwa pande Zote mbili. Msailiwa na msaili.. kwa hlo naipongeza ssrekali kwa hapo walipo fikia, Ila...
  6. S

    Hakika changamoto ya ajira imekuwa kubwa na Maisha yanazidi kunibana

    Nipo katika kipindi kigumu cha Maisha kwa sasa ambapo changamoto zimekuwa kubwa sana na zinanibana. Nina degree ya utawala, pamoja na uzoefu na ujuzi katika mauzo, masoko, ukusanyaji wa data, na uandishi wa miradi. Aidha, nina ujuzi kompyuta, na uzoefu wa miaka 7 kwenye kazi na rekodi nzuri...
  7. G

    Wafanyabiashara ni wengi kuliko waajiriwa lakini watanzania wanaoishi angalau maisha standard waajiriwa ni wengi, Tuendelee kuponda ajira?

    Ni ukweli usiopingika kwamba wafanyabiashara wana pesa nyingi, hata ukiangalia top 20 ya matajiri hapa Tz utawakuta wafanyabiashara wamejaa wao hasa wahindi , wasarabu na wasomali, hata baada ya hapo kuna watanzania wenye asili zetu wanaofanya biasbara. Lakini katika kigezo cha idadi ya...
  8. R

    Mzee Stephen Masato Wassira wewe na watu wa umri wako msipostaafu unadhani vijana watapata wapi ajira?

    Mzee Wasira anashangazwa na taarifa za mainjinia kukosa ajira. Wakati huo yeye mwenyewe anawahi kujiajiri bali anaishi kwa kuajiriwa toka miaka ya 1970. Ukimuuliza kwanini amegonga kustaafu na kukaa pembeni anadai bado ana nguvu na anakubalika na watawala. Ukihoji kwa maisha yake yote ni kipi...
  9. Mwizukulu mgikuru

    Ajira za TAMISEMI za Ualimu na Afya zina ukweli ndani yake au ni siasa?

    Siku mbili tatu hivi Kuna tangazo limekuwa likitembea linalohusiana na ajira za ualimu na afya. Japo tangazo hili ukilitafuta kwenye website ya TAMISEMO halionekani, sasa nauliza Tangazo hili linaukweli ndani yake?
  10. Jamii Opportunities

    Child Protection Officer, (NO2) at UNICEF April, 2024

    Job no: 570629 Contract type: Temporary Appointment Duty Station: Kigoma Level: NO-2 Location: United Republic of Tanzania Categories: Child Protection Key functions/accountabilities: 1. Support to programme development and planning Conduct and update the situation analysis for the...
  11. Jamii Opportunities

    Irrigation Team Lead at Kilombero Sugar Company April, 2024

    Position: Irrigation Team Lead The Irrigation Team Lead is responsible for controlling and coordinating the quality of irrigation operations and assists management in the development of irrigation plans to ensure long-term growth development and sustainability as well as Implement the “Illovo...
  12. Jamii Opportunities

    PPS Operator at Kilombero Sugar Company April, 2024

    Position: PPS Operator The PPS Operator is responsible for operating Irrigation pumps for the purpose of supplying bulk water to the farms via the Underground Main System (UMS). Duties and Accountabilities: Ensure that all items included in the PPS check list are present and are in good...
  13. Jamii Opportunities

    Mtendaji wa III (Nafasi 2) Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Aprili, 2024

    POST MTENDAJI WA KIJIJI III - 2 POST EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali APPLICATION TIMELINE: 2024-04-02 2024-04-15 JOB SUMMARY NIL DUTIES AND RESPONSIBILITIES (i)Mtendaji Mkuu wa Serikali ya kijiji (ii)Katibu wa Kamati ya kijiji (iii)Mratibu wa utekelezaji wa Sera na Sheria...
  14. Jamii Opportunities

    Treasury Officer at Plan International April, 2024

    Position: Treasury Officer Location: Globally, Flexible Company: Plan International Type of Role: Permanent Reports to: Head of Treasury The Opportunity The Treasury Department is a small specialist team that utilizes technology to leverage its services to...
  15. Jamii Opportunities

    Finance Supervisor-Zanzibar at Expert Consultancy April, 2024

    Job Title: Finance Supervisor Department: Finance Department Report to: Finance Manager Salary: Competitive Salary Package Location: Zanzibar On behalf of our client we are currently searching for the qualified candidates to join our client team as Finance Supervisor to be based in Zanzibar...
  16. Jamii Opportunities

    Tangazo la Kazi za Muda TAMESA Aprili, 2024

    Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) ni Taasisi ya Umma iliyoanzishwa kwa Sheria ya Wakala wa Serikali Sura ya 245. Majukumu yake makubwa ni kutoa Huduma za Matengenezo ya Magari na Mitambo, Huduma za Umeme ikiwa ni pamoja na kufanya Matengenezo ya Taa za Barabarani, kufanya Matengenezo...
  17. Jamii Opportunities

    Associate Investment Officer/ Investment Officer at World Bank Group April, 2024

    Position: Associate Investment Officer/ Investment Officer Job #: req26888 Organization: IFC Sector: Agribusiness Grade: GF Term Duration: 3 years 0 months Recruitment Type: Local Recruitment Location: Egypt;Rabat,Morocco ;Dar Es Salaam,Tanzania Required Language(s): English Preferred...
  18. Jamii Opportunities

    Sales Executive at Lumac Limited April, 2024

    Position Tittle : Sales Executive Lumac Construction & General Supplies Co. LTD is a Tanzania incorporated company and locally owned that offers construction, project management and general supplies of building finishing materials such as balustrades, aluminium and all kinds of glass works in...
  19. Jamii Opportunities

    Business Development Officer at Lumac Limited April, 2024

    Position Tittle : Business Development Officer Lumac Construction & General Supplies Co. LTD is a Tanzania incorporated company and locally owned that offers construction, project management and general supplies of building finishing materials such as balustrades, aluminium and all kinds of...
  20. Pfizer

    Ridhiwani Kikwete: Mfumo wa usaili wa ajira sasa kufanyika online. Hakuna tena kwenda Dodoma kwa usaili

    Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema mfumo wa usaili kwa njia ya kidigitali utapunguza gharama kwa kiasi kikubwa kwa wasailiwa wa ajira tofauti na hapo awali ambapo watu walilazimika kusafiri hadi Jijini Dodoma kwa ajili wa...
Back
Top Bottom