ajira

  1. G

    Sera Za Rais Samia zilivoua ajira kwa wazawa , uchumi unakufa , wachina watamalaki

    Economic chain kaiua makusudi kabisa. Mchina ni machinga kariakoo na mbaya zaidi wenye viwanda china wanazalisha na kuleta direct wao wenyewe, kikubwa Wana kampuni zao za clearing and forwarding , Wana meli zao za kusafirisha mizigo hapo Samia kafeli. Nenda migodini chungwa, same , Singida ...
  2. R

    Tanzania siyo nchi ya viwanda, kila uchao serikali inanyanganya mashamba na kuyakata viwanja, kesho watu watalima wapi? ajira zao zitatoka wapi?

    Kuna hii trend inaota mizizi. Uhuni wa idara za ardhi kutangaza maeneo ya mashamba ya watu kama planned areas in the preparation for future dhuluma, na hivyo in the long run kuyakaya viwanja. Sisi ni nchi ambayo watu wengi by 80% and above wanategemea kilimo. Hakua ajira za viwandani and the...
  3. R

    Mnyukano ligi kuu ya TRA sio wa kitoto !! kama huna connection hakikisha nje ya uwezo wako umshikilie sana Mungu wako ama urudi kwa babu kujiongeza

    LIGI KUU YA KUWANIA AJIRA ZA TRA Academic officer II= 3/2375 - Atapita moja kwenye kundi la watu 791 Accountant = 2/712 - Atapita moja kwenye kundi la watu 356 Accounts officer II = 12/2894 - Atapita moja kwenye kundi la watu 241 Administrative officer II = 3/2045 - Atapita moja kwenye kundi...
  4. Inawezekana kubadili kituo cha kufanyia usaili kwenye hizi ajira za TRA?

    Mko salama wakuu? Nilikua nauliza, inawezekana kubadili kituo cha kufanyia usahili kwa hizi ajira za tra? Mfano nimepangiwa dar ila kwa sasa niko Mwanza.je inawezekana nikafanyia kituo kilichopo mwanza? Ni hatua gani za kufuata? Mwenye kujua anijuze tafadhali.
  5. Ajira portal mbona situmiwi message ya ku access email yangu?

    Mbona situmiwi message ya ku access email yangu? Shida iko wapi adimini..... 😭
  6. Ungekuwa mshauri wa Rais, ungemshauri nini kuhusu tatizo la Ajira kwa vijana ambalo linaonekana kuwa sugu ?

    Fikiria wewe ni Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania (United Republic of Tanzania 🇹🇿 ) au mshauri wa karibu sana na Mh Rais sasa na unataka kumaliza au walau kupunguza tatizo la Ajira kwa vijana ambalo linaonekana kuwa sugu. Ungefanyaje ? Toa zile practical approaches kabisa hapa walau tano tu.
  7. TRA Yatumia Consultant Kusaidia Kuajiri na Sio Utumishi

    Kulikuwa na Haja Gani TRA Kuajiri/Kutumia Consultant Kama Haiwezi Ku-Handle Zoezi La Ajira Yenyewe. Inamaana Huyo Consultant wao ni Mtenda Haki kwa Watanzania Maskini Kuliko Utumishi….! Pitia Screenshot ya Taarifa yao..
  8. TKZ2025: FURSA ZA AJIRA

    Kampuni ya TUKUZA (Tuenzi na Kutunza Rasilimali Zetu Adimu), inahusika na uchakataji na usambazaji wa bidhaa mbalimbali za chakula, vipodozi asili, na kuendesha MAFUNZO mbalimbali. Kampuni imefanya kazi hizi toka mwaka 2014 hapa nchini Tanzania. Bidhaa zetu zina ubora wa hali juu na zinafanya...
  9. Ushauri & mapendekezo: Ili kuboresha uchumi wa nchi kuongeza ajira kwa vijana, ufanisi na kuboresha maisha ya watanzania serikali ifanye haya

    Najua haiwezi kuwa Rahisi Hivyo ila ili Kuboresha uchumi wa nchi, kuongeza ajira, ufanisi, na maisha ya Watanzania kunahitaji mkakati mpana unaohusisha sekta mbalimbali. Hapa kuna ushauri na mapendekezo kwa serikali Ambao kwangu Nimeona Unafaa na Nitakuwa naweza na Fedha kwa Makadirio ya Chini...
  10. R

    Waajiriwa na mnaotafuta ajira hasa za serikalini, mna lipi la kuwaambia wanaosema ajira ni utumwa?

    Ajira ni Utumwa Hakuna Tajiri alieajiriwa Huwezi kurithisha watoto wa ajira
  11. Swali fupi : Ukiacha ualimu, ni taaluma gani huwezi kumruhusu mwanao asomee ?

    Binafsi kwa TANZANIA hii ya Sasa mtoto wangu akisema anasomea ualim namfukuza kwangu saa hiyo 😂🙏😂. Aende akaish kwenye ofisi za CCM huko.
  12. TAMISEMI wanataka kuwauwa vijana kwa umasikini kupitia ajira zao za mchongo

    # Wanatangaza Ajira 14 elfu. # Wanafanyisha interview. # Wanafauru vijana kwa kadri wanavyoweza. Kisha. TAMISEMI INAANZA KUTOA MAJINA 40 KILA SIKU kanakwamba hizo Ajira walilazimishwa kuzitangaza vijana wameacha kujihusisha na shughuri za kiuzalishaji fully toka January mpaka Leo huo mchakato...
  13. Nimepata ajira kwenye kampuni fulani

    Habari wakuu Naomba ushauri na mwongozo Mimi ni kijana umri 25_27 nimepata ajira kwenye kampuni flani hapa bongo ya kisafirisha mizigo nikiwa kama BM wa mkoa flani mshahara ni mnono kiasi fulani nilipo anza kazi feb mwaka huu allowance ilikua inatoka kila wiki lakini kwa sasa...
  14. Nahitaji ajira ya udereva

    Habari za usiku wapendwa me kijana wa miaka 26 Nmesoma mambo ya udereva Nina class A, A2, B, D, E Elim yangu Kidato Cha 4 Uzoefu wa miaka 5 Pia nmefanya kazi kampuni tofaut tofaut pia vyeti vya utumish ninavyo Nahitaji kampunii au taasisi au kiongozi kikubwa mkono uende kinywanii napatikana...
  15. T

    Shida ya ukosefu wa ajira sio mfumo wa elimu tu, watanzania wengi hawaajiriki, ni wavivu na wezi

    Majaliwa ametaja njia moja wapo ya kukabiliana na ukosefu wa ajira ni kwenda Veta, yawezekana ila shida kubwa iko kwenye sisi wananchi wenyewe. Visa vingi sana vimeletwa humu ndani kuhusu namna waajiriwa walivyo rudishwa nyuma kwa wizi. MImi binafsi nina mifano mingi sana. Lakini pia...
  16. Naomba kuisaidia serikali kuwapa wazo ambalo litasaidia kuondoa kupunguza tatizo la ajira kama sio kuliondoa kabisa.

    Habari wakuu. Mimi nipo na wazo ambalo naamini litapunguza tatizo la ajira Kama sio kuliondoa. Naomba Kama kuna kiongozi umu ndani tuwasiliane PM.
  17. Kama una miaka chini ya 40, pambana ufike Japan

    Japani kuna fursa nyingi za ajira (zisizo rasmi) ila zenye kipato kikubwa ukilinganisha na Tanzania. Maisha ya Japani hayana gharama kubwa ukilinganisha na nchi nyingine zilizo endelea Japani hali ya ubaguzi kwa Waafrika sio kubwa ukilinganisha na mataifa mwngine. Visa ya Kufika Japani ni...
  18. Mshuhudie Mwanamke wa shoka, baada ya kuhitimu Chuo Kikuu, alikosa Ajira, akajiongeza kwa kusoma VETA

    Wanabodi, Ule mjadala wa wasomi wa Chuo Kikuu, kusoma VETA, unaendelea, Mshuhudie Mwanamke wa Shoka, Baada ya Kuhitimu Chuo Kikuu, Alikosa Ajira, Akajiongeza kwa Kusoma VETA, Sii Mwingine ni Paulina Chuma, Fundi Chuma! https://youtu.be/hrFHfkk06Wk Utafiti wangu mdogo, umebaini, hawa wasomi...
  19. Serikali ifanye yafuatayo kukabilian na tatizo la ajira

    Zifuatazo ni mbinu za kupunguza tatizo la ajira nchini Kuondoa VAT Wafanyakazi wa idara ya serikali ukitoa udaktari na unesi ajira zao ziwe ni za mfupi kuanzia miaka 5 mpaka 7 ili kila mtu afaidi keki ya taifa Mikopo ya bank za biashara isizidi iwe kati ya asilimia 4 mpaka 6
  20. AJIRA: MWALIMU GEOGRAPHY-HISTORY

    Urgent anahitajika Mwalimu WA masomo ya Geography na History ngazi ya Shahada. Shule IPO Mbeya Mjini. Mwalimu awe mahiri na mwenye uwezo wa kufundisha na kutoa Matokeo mazuri. Mshahara ngazi ya serikali na Kuna marupurupu ya ziada. Mawasiliano: 0655087675 Ni vizuri Mwalimu akiwa jirani na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…