ajira

  1. kyagata

    Ulipataje connection yako iliyokupa ajira?

    Ebu kila mmoja leo ajaribu kushare namna alivyofanya mpaka kupata connection yake iliyompa ajira aliyonayo. Binafsi najitahidi sana kutafuta connection za ma hr wa kwenye mabank hasa nmb bank but siwapati. So hebu jaribuni kushare experiences zenu hapa please.
  2. The_Poxs

    Tupeane experience ya ajira yako uliipata mwaka gani na uliipata vipi?

    Kutokana na tatizo la ajira limekuwa kubwa sana nimeamua kuja na uzi huu kama kuwapa moyo vijana wanaohangaika huku na kule katika kutafuta ajira na kukutana na disappointments nyingi sana mpaka kupelekea kukata tamaa kabisa juu ya soko la ajira la Tanzania. [emoji1428] Nilipigiwa simu ilikuwa...
  3. I

    Nakusudia kuiburuza Sekretarieti ya Ajira (Utumishi) na Serikali Mahakamani

    Kama ilivyo kwa mataifa mengine duniani, Tanzania pia ilianzisha chombo cha kusimamia na kudhibiti taaluma ya uhasibu. Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) ni Taasisi inayosajili na kusimamia Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu na kudhibiti taaluma ya Uhasibu nchini. NBAA...
  4. D

    Wizara ya Ardhi yamwaga Ajira 1440+

    Ingien ajira.go.tz Land valuation, surveyors, cartographers, geographist,GIS, town planners and alike. Data recorder kwa Level ya degree.
  5. P

    Natafuta kazi yoyote ya halali

    Kijana wa kiume. Umri wa miaka 25. Smart, Uwezo wa kutumia computer, Elimu ya diploma ya kilimo, Dereva wa gari, pikipiki, leseni class D Kuongea na kuandika kiingereza fasaha. 0714173347
  6. tutafikatu

    Kituko Serikali ya Kongo DRC: Ina watumishi wenye umri wa miaka 100 ambao hawajastaafu

    Hapa Tanzania tunapiga kelele kuhusu ajira. Wengine tunataka umri wa kustaafu upunguzwe. Ukienda Congo DRC utaona vituko. Kuna watumishi wengi wa serikali wenye umri wa miaka 70 na zaidi waliopaswa kustaafu wakiwa na miaka 65. Cha kushangaza kuna zaidi ya watumishi 250 waliofikisha umri wa...
  7. Suley2019

    Ajira kwa watoto bado imetamalaki katika nchi nyingi za Kiafrika huku kilimo kikiongoza katika kuajiri watoto

    Ajira kwa Watoto ni kazi ambazo huwazuia watoto kuishi katika utoto wao, kuwavunjia utu na heshima yao pamoja na kuathiri ukuaji wao wa mwili na akili. Zaidi ya hayo Ajira kwa Watoto ni zile ambazo huingilia masomo yao kwa kuwanyima fursa ya kuhudhuria shule; kuwalazimisha kuacha shule kabla ya...
  8. K

    Ni kampuni au Taasisi ipi ni muajiri bora?

    Wanajamvi ni nani muajiri bora Tanzania iwe kampuni au Taasisi?
  9. Mshamba wa kusini

    Wahukumiwa kifungo cha nje miezi sita kwa kufanyiana usaili ulioratibiwa na Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma

    Mahakama ya Wilaya ya Dodoma imewatia hatiani waombaji kazi wawili Mabula Edward Kanga pamoja na Joel Johnson Kimatare baada ya kufanya udanganyifu wakati wa zoezi la usaili kwa nafasi za Uhandisi Ujenzi uliofanyika tarehe 08 Mei, 2021 katika Ukumbi Wa Chuo Kikuu cha UDOM. Kutokana na umakini...
  10. DustBin

    Udhalimu wa viongozi ndio Ajira ya Wanaharakati

    Viongozi na watawala wakijitahidi kufanya haki, uadilifu na usawa, wanaharakati watakosa kazi ya kufanya. Wanaharakati ajira yao kubwa inayowakalisha mjini ni udhalimu unaofanywa na viongozi au watawala. Ukiona hali ya hewa ipo kimya na wanaharakati hawana cha kusema, basi ujue viongozi...
  11. M

    Ajira zipo kweli au ni "scam"?

    Huwa naingia majukwaa mbalimbali yanayotangaza ajira nadhani mara nyingi huwa naona kama changa la macho hakuna ukweli wowote juu ya uwepo wa ajira zilizotangazwa. Ikitokea kama kweli zipo basi kuna watu wameshapata hizo nafasi, na sie wengine tunaona machapisho tu mtandaoni lakini wenye kazi...
  12. B

    Katibu wa Sekretariati ya Ajira simamia haya

    ASALAAM, KATIBU MKUU aliyekuwa secretariate ya ajira tunaomba ayangalie haya kipindi cha daudi yalisimama vizuri sana. Tunamuomba ayasimamie haya: 1. Usaili unapangwa zigzag tu mwanzoni tulikuwa tunfanya usaili kwa siku tatu mfululizo mfano tar 10,11,12 ili hata kama mtu umechukua loji uweze...
  13. M

    Wenye uzoefu na Ajira za serikalini kupitia Utumishi

    Habari zenu waheshimiwa.Leo nimeona tangazo la kuitwa watu kwenye usaili NHC & TPC kupitia utumishi kama ilivyo kwenye document niliyo attachment hapo chini , MimiBinafsi niliomba nafasi ya Systems Administrator shirika la NHC ila kwenye kuitwa kwenye sahili Systems Administrator haipo...
  14. K

    Kwa Takwimu hizi, nalazimika kuamini Zanzibar hawana tatizo la Ajira

    Poleni na majukumu wakuu na hope mko na afya njema, wanaosumbulia na maradhi namuomba mwenyezi MUNGU awaponye na warudi kwenye hali zao za kawaida. Basi bhana! Wazo la kuandika uzi huu limekuja baada ya kuingia huko ajira portal nikiwa ninadhumuni la kuangalia matokeo ya written interview ya...
  15. L

    Ajira Mpya 2100 TRA- 12 March, 2022

    Habari waheshimiwa, nimeona kwenye gazeti la jana la mwananchi kuwa Rais ametoa ajira nyingine 2100 zaTRA. Nimeambatanisha vielelezo ikiwa ni pamoja na screenshot kutoka kwenye page ya millardayo post za jana gazeti la tarehe 12/02/2022.
  16. J

    Dkt. Ndugulile: Kutoza kodi Mapema kwenye Biashara za mitandaoni kutaua ajira za Vijana wengi na kudumaza e-Commerce

    Mbunge wa Kigamboni, Dr Faustine Ndugulile ni kama amepingana na mbunge wa viti maalumu Neema Rugangira anayetaka biashara za mitandaoni zitozwe kodi. Dkt. Ndugulile aliyewahi kuwa waziri wa Mitandao amesema kutoza kodi mapema kwenye biashara za mitandaoni kutauwa AJIRA za Vijana wengi na...
  17. I

    Vijana 60,000 wanapowania nafasi 1,000 za ajira

    Nina imani hao niwachache tu waliojitokeza kwani bado huku mitaani tumebaki wengi ambao hatuku apply nafasi hizo za TRA,hii ni hatari!ajira sasa ni kama bomu la nyuklia Hapa cha kushauriKwanza, serikali kupitia Wizara za kazi,fedha na ofisi ya waziri mkuu kuangalia namna ya kutengeneza ajira...
  18. Fbn

    Ajira sio ngumu ila watu wanafanya ajira ziwe ngumu

    Sikatai kuna tatizo la ajira lakini ukirudi nyuma tatizo la ajira linakuja kwa upande fulani watu kufanya ajira kukosekana kwa mambo haya. Mchango mkubwa ajira hupo kwenye sekta binafsi na watu binafsi. Hizi sehemu sio kwamba zinashindwa kupanua wigo mkubwa ajira bali ni kutokana na changamoto...
  19. N

    Ujumbe wangu kwa Waziri Bashungwa na Rais; Ajira za Tamisemi zimejaa Urasimu na viashiria vya rushwa

    Ajira za Serikali ya awamu ya sita chini ya TAMISEMi zimejaa urasimu wa kutisha, ninapowaambia hapa kuna watu wa kada za uwalimu na Afya wanaendelea kuripoti kwenye vituo vya kazi kimya kimya bila ajira kutangazwa kwa , huu ni ufisadi na mianya ya rushwa bora niongee tu ijulikane. Mimi nina...
Back
Top Bottom