Amina68
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 298
- 545
Kweli kuna tatizo la AJIRA, NAFASI 2 zagombaniwa na watu 890+
Kuna nafasi zilitangazwa kwenye magazeti ya Serikali TSN , aisee...
Ktk nafasi ya accountant II ,wameomba watu 7600, interview wameitwa 900+.
Nafasi zipo mbili ,wazazi tunajambo la kufanya kwa Watoto wetu.
Kuna nafasi zilitangazwa kwenye magazeti ya Serikali TSN , aisee...
Ktk nafasi ya accountant II ,wameomba watu 7600, interview wameitwa 900+.
Nafasi zipo mbili ,wazazi tunajambo la kufanya kwa Watoto wetu.