ajira portal

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Red shadow

    Hii nchi ngumu kwaiyo saizi wakati wa kusoma na kupata Update za hizi ajira ndodo Ma - IT wanafanya maintainance?

    Nimeshangaa sana ila ebu nitulie msije ninyima kazi zenu bure
  2. o_2

    Tulioomba ajira za ualimu kupitia Ajira Portal, angalieni status zenu

    Habari, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Siku tatu zilizopita STATUS ilibadilika kutoka employer kuwa MDAs na LGAs hadi employer kuwa mkoa husika. Jana imebadilika status imebadilika tena na kurudi MDAs na LGAs. Hii inaashiria kitu gani? Tuendelee kuvuta subira.
  3. sanalii

    Solved: kama umejaza kila kitu Ajira portal lakini ukiomba application kwambia “Fail”, suluhisho liko hapa.

    So kuna watu wanalalamika kua profile zao ni 100% lakini wakiomba kazi, application inafaili na kuambiwa waangalie vigezo. Kama umekutana na tatizo hili basi mi nimepata suluhisho . Kifupi ni kua ili maombo yafanikiwe, basi ni lazima uwe ume meet “minimum requirements”. Swali, system...
  4. wakunyonya

    Msaada, nimeingia Ajira Portal inaniambia number ya NIDA ilishatumika

    Habar Wana JamiiForums nimejaribu kuingia ajira portal ili nianze kujisajiri upya ila nakumbuka zaman Sana nilishawahi kuingia hivo sikumbuki email Wala password niliyotumia kipindi hicho imeniambia nambari ya NIDA ilishatumika hapa nitafanyaje wakuu ili kujinasua katika huu mtihani. Soma Pia...
  5. wakunyonya

    Msaada: Kuweka CV Ajira Portal

    Habar wana JF, Naomba kuuliza hivi ukiwa una apply job kupitia ajira portal kuna haja ya kuattach CV au una preview tu details ulizojaza mwazo na kuattach.
  6. FK21

    Msaada: Kukosea taarifa za GPA kwenye Ajira Portal

    Naomba kufahamu kuhusu hili. Kuna ndugu yangu ali update kimakosa G.P.A yake ya chuo ajira portal akaandika 2.8 baada ya 3.5. Je, hapo kuna tatizo lolote na inawezekana ku update?
  7. Satisfy

    KERO Huu ujumbe wa Ajira Portal nawezaje kuupatia ufumbuzi?

    Wakuu kama ujumbe unavyosomeka hapo juu. Niliweka vyeti original kwenye academic qualification na nikawa naomba kazi bila shida na kuitwa kwenye interview bila shida yoyote. Ilifika kipindi ilikuwa siitwi kwenye interview na kutumiwa ujumbe unaosema niweke vyeti vilivo thibitishwa na...
  8. A

    KERO Ubovu na udhaifu wa mfumo wa Ajira Portal

    Habari, mfumo wa ajira portal umekua kero kwa watumiaji kwani endapo kuna kosa basi mfumo hauna optiona ya kufuta kosa hilo (hasa kipengele cha accademic qualification) pia ukiwapigia simu hawapokei unapata ujembe the caller is busy ama wanakuwekea vijinyimbo vya hovyo huku ukipoteza salio lako...
  9. S

    Naomba msaada wa kuomba kazi Ajira Portal

    Kuna mtu amemaliza degree mwaka huu ila bado hajapata cheti cha degree, ila anataka kuomba ajira kwa cheti chake cha diploma inagoma afanyeje?
  10. A

    KERO Mfumo wa Ajira Portal hautambui mabadiliko ya elimu, huwezi kuomba tofauti na Elimu uliyojaza awali

    Mfumo wa Ajira Portal wa Secretariat ya Ajira ambao unapatikana katika tovuti ya Public Service Recruitment Secretariat | PSRS una changamoto kadhaa ambazo zimekuwa kikwazo kwa sisi Watumiaji wengi. Mfumo huo hauruhusu kwa Watu wenye level ya elimu zaidi ya moja kujisajili na kuomba ajira...
  11. adeh1

    Msaada: Nashindwa kubadilisha cheti Ajira Portal kuweka kilichokuwa certified

    Msaada jamani nashindwa Kubadilisha cheti ajira portal kuweka kilichokuwa certified. Kila nikojaribu naletewa hivi.
  12. ashomile

    Msaada wa haraka: Nahitaji kufuta academic qualifications zangu zilizopo Ajira Portal

    Wakubwa naombeni msaada wenu. Kaam kichwa chahabari kinavyojieleza, nimejaribu kuedit kwenye academic qualifications lakini naona vyeti vyangu bado viko vile vile, nimepiga simu huduma kwa wateja ile ya mkononi na ya mezani kwa AJIRA PORTAL ila hawapokei simu zangu zaidi yakumaliza dakika zangu...
  13. AfricaUnited

    Kufuta qualification/cheti Ajira Portal

    Habari wajuzi, Naomba msaada, mdogo wangu kapata shida ajira portal, ameattach qualification mara mbili kimakosa na anahitaji futa moja. Naomba msaada kwa anaejua namna ya kufuta.
  14. chamng'asi

    Nashindwa Kuapply Kazi ya Ualimu kupitia Ajira Portal

    Nina Bachelor degree of Education in Psychology, Lakini Masomo ya kufundishia nilisoma History na Kiswahili. Cha ajabu kila nikiomba kazi ya ualimu wa History mfumo Unaandika "Failed" Mwenye kujua suluhisho tafadhali naomba Msaada. Nataka kuomba hizi nafasi za ajira.
  15. Nyanda Banka

    Nafasi za kazi ajira portal ni kizungumkuti

    Yani huu mfumo unachanganya sana watu kwa mfano kwenye kujaza sehemu ya kujaza Professional qualifications kwa watu wa fani ya ualimu hususani Bachelor Degree Tunashida na ajira lakini mifumo yenyewe ya kuombea ajira ni changamoto sana Eeh Mungu baba tusaidie wanao wasaka tonge Tunakosa tena...
  16. E

    Msaada jinsi ya kupata password Ajira Portal

    Nilifungua account ajira portal mwaka 2020, ila nimesahau password lakni nikienda sehemu ya forget password wanatuma zile digits kwenye namba nilizosajilia account na mimi hizo namba sina na wala sikumbuki. Nimefanya kila mbinu niwezavyo nimeshindwa kuzipata hizo namba. Nikipiga simu kwa namba...
  17. L

    Changamoto ya account yangu ya ajira portal

    Habari za saa hizi wana jamvi , Nimejisajili na kufungua account ya ajira portal vizuri ila nlikosea kufanya usajili kwenye kipengele cha academic qualification nilikosea kujaza level ya education kwa sasa najaribu kufanya marekebisho kwenye hicho kipengele inakataa haikubali na nmejaribu...
  18. M

    Nataka kubadilisha cheti Ajira Portal

    Wakubwa tupeane elimu kidogo nataka kujua jinsi ya kudelete cheti nilicho pachika Ajira Portal. Nimeweka cheti ambacho hakiko certified. Sasa nikitaka kukitoa hakuna option ya dellete kuna option ya view na edit basi.
  19. A

    KERO Mfumo wa Ajira Portal unatutesa, mamlaka husika ifanyie kazi changamoto hii

    Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma iangalie vizuri mfumo wa Ajira Portal unatutesa tunashindwa kutuma maombi, kila ukijaza taarifa hazifiki asilimia 70 na pia hakuna mfumo wa kubadili vyeti ulivyoviweka ili kuweka vingine. Sijui inakuwaje na ajira zote zinatumwa huko. Pia soma ~...
  20. G

    Aliyewahi kuomba nafasi zifuatazo ajira portal naomba anipe nondo au hints

    Employer: Wakala wa Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) Job Post: TUTOR GRADE II (ENGLISH LANGUAGE Employer: Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) Job Post: CURRICULUM DEVELOPER II (FINE ART SUBJECT)
Back
Top Bottom