Habari,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Siku tatu zilizopita STATUS ilibadilika kutoka employer kuwa MDAs na LGAs hadi employer kuwa mkoa husika. Jana imebadilika status imebadilika tena na kurudi MDAs na LGAs.
Hii inaashiria kitu gani? Tuendelee kuvuta subira.
So kuna watu wanalalamika kua profile zao ni 100% lakini wakiomba kazi, application inafaili na kuambiwa waangalie vigezo.
Kama umekutana na tatizo hili basi mi nimepata suluhisho .
Kifupi ni kua ili maombo yafanikiwe, basi ni lazima uwe ume meet “minimum requirements”.
Swali, system...
Habar Wana JamiiForums nimejaribu kuingia ajira portal ili nianze kujisajiri upya ila nakumbuka zaman Sana nilishawahi kuingia hivo sikumbuki email Wala password niliyotumia kipindi hicho imeniambia nambari ya NIDA ilishatumika hapa nitafanyaje wakuu ili kujinasua katika huu mtihani.
Soma Pia...
Habar wana JF,
Naomba kuuliza hivi ukiwa una apply job kupitia ajira portal kuna haja ya kuattach CV au una preview tu details ulizojaza mwazo na kuattach.
Naomba kufahamu kuhusu hili. Kuna ndugu yangu ali update kimakosa G.P.A yake ya chuo ajira portal akaandika 2.8 baada ya 3.5.
Je, hapo kuna tatizo lolote na inawezekana ku update?
Wakuu kama ujumbe unavyosomeka hapo juu.
Niliweka vyeti original kwenye academic qualification na nikawa naomba kazi bila shida na kuitwa kwenye interview bila shida yoyote. Ilifika kipindi ilikuwa siitwi kwenye interview na kutumiwa ujumbe unaosema niweke vyeti vilivo thibitishwa na...
Habari, mfumo wa ajira portal umekua kero kwa watumiaji kwani endapo kuna kosa basi mfumo hauna optiona ya kufuta kosa hilo (hasa kipengele cha accademic qualification) pia ukiwapigia simu hawapokei unapata ujembe the caller is busy ama wanakuwekea vijinyimbo vya hovyo huku ukipoteza salio lako...
Mfumo wa Ajira Portal wa Secretariat ya Ajira ambao unapatikana katika tovuti ya Public Service Recruitment Secretariat | PSRS una changamoto kadhaa ambazo zimekuwa kikwazo kwa sisi Watumiaji wengi.
Mfumo huo hauruhusu kwa Watu wenye level ya elimu zaidi ya moja kujisajili na kuomba ajira...
Wakubwa naombeni msaada wenu.
Kaam kichwa chahabari kinavyojieleza, nimejaribu kuedit kwenye academic qualifications lakini naona vyeti vyangu bado viko vile vile, nimepiga simu huduma kwa wateja ile ya mkononi na ya mezani kwa AJIRA PORTAL ila hawapokei simu zangu zaidi yakumaliza dakika zangu...
Habari wajuzi,
Naomba msaada, mdogo wangu kapata shida ajira portal, ameattach qualification mara mbili kimakosa na anahitaji futa moja. Naomba msaada kwa anaejua namna ya kufuta.
Nina Bachelor degree of Education in Psychology, Lakini Masomo ya kufundishia nilisoma History na Kiswahili.
Cha ajabu kila nikiomba kazi ya ualimu wa History mfumo Unaandika "Failed"
Mwenye kujua suluhisho tafadhali naomba Msaada.
Nataka kuomba hizi nafasi za ajira.
Yani huu mfumo unachanganya sana watu kwa mfano kwenye kujaza sehemu ya kujaza Professional qualifications kwa watu wa fani ya ualimu hususani Bachelor Degree
Tunashida na ajira lakini mifumo yenyewe ya kuombea ajira ni changamoto sana
Eeh Mungu baba tusaidie wanao wasaka tonge
Tunakosa tena...
Nilifungua account ajira portal mwaka 2020, ila nimesahau password lakni nikienda sehemu ya forget password wanatuma zile digits kwenye namba nilizosajilia account na mimi hizo namba sina na wala sikumbuki.
Nimefanya kila mbinu niwezavyo nimeshindwa kuzipata hizo namba. Nikipiga simu kwa namba...
Habari za saa hizi wana jamvi ,
Nimejisajili na kufungua account ya ajira portal vizuri ila nlikosea kufanya usajili kwenye kipengele cha academic qualification nilikosea kujaza level ya education kwa sasa najaribu kufanya marekebisho kwenye hicho kipengele inakataa haikubali na nmejaribu...
Wakubwa tupeane elimu kidogo nataka kujua jinsi ya kudelete cheti nilicho pachika Ajira Portal. Nimeweka cheti ambacho hakiko certified.
Sasa nikitaka kukitoa hakuna option ya dellete kuna option ya view na edit basi.
Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma iangalie vizuri mfumo wa Ajira Portal unatutesa tunashindwa kutuma maombi, kila ukijaza taarifa hazifiki asilimia 70 na pia hakuna mfumo wa kubadili vyeti ulivyoviweka ili kuweka vingine.
Sijui inakuwaje na ajira zote zinatumwa huko.
Pia soma ~...
Anonymous
Thread
ajiraportal
changamoto
changamoto ajiraportal
mfumo wa ajira
usajili ajiraportal
utumishi portal
Employer: Wakala wa Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT)
Job Post: TUTOR GRADE II (ENGLISH LANGUAGE
Employer: Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE)
Job Post: CURRICULUM DEVELOPER II (FINE ART SUBJECT)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.