ajira portal

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Wahitimu wa Degree ya Microfinance and Enterprises Development tunakuwa Auto-Rejected kwenye Ajira Portal

    Kuna Changamoto Ambayo Tunaipata Sisi Wahitimu wa Degree Ya Microfinance And Enterprises Development tunakuwa Auto Rejected kwenye Ajira Portal Wakati hata sisi kweye Core za Masomo yote tunatambulika kama watu wa Fedha (Finance) pia hata kwenye vigezo vya Ajira kabisa hata sisi tumo ila tunakua...
  2. Jamii Opportunities

    Call for Interview Utumishi 2025: Ajira Portal, PSRS August, 2025

    Called for Interview UTUMISHI – Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) August, 2025 Job recruitment Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) on behalf of various government institutions would like to inform all job applicants who applied for a job that the interview is expected to...
  3. hamza mahundu

    KARANI WA POSTA LEVEL YA KIDATO CHA 4 ANALIPWA BEI GANI? Na maswalj yapi ataukizwa inter view AJIRA PORTAL

    Naomba majibu
  4. At Calvary

    Ajira portal wana cha kujifunza kwenye mfumo wa maombi ya ajira wa magereza.

    Habari za asubuhi ndugu. Samahani nimewiwa kuandika kuhusiana na uzoefu wangu nikiwa nafanya maombi ya ajira za magereza. Mfumo kwenye kusomana uko vizuri haina haja ya kuhakiki vyeti tena, vyote vinaweza kuishia online kwa mbonyezo mmoja tu. Nawaasa ajira portal wafanye hima pia waweze...
  5. W

    Kwanini chuo cha kodi (ITA) haitambuliki ajira portal

    Kwanini Chuo cha kodi (cha serikali) hakitambuliki Ajira portal katika kazi za taxation? Hasahasa katika ngazi ya Bachelor Degree in customs and tax management? Mfano kuna kazi za Mkaguzi wa mahesabu daraja la 11 (Wanaitaji Bachelor of tax management ambapo ni moja wapo ya kigezo lakini...
  6. AbuuMaryam

    Msaada Ajira Portal NIOMBE IPI?

    Kwenye tangazo la kazi Serikalini, kuna nafasi 3 katika shirika moja, Marketing, customer service, sales, business development Kote huko nina vigezo vya kuomba, je ninaweza kuomba zote? Na nikiomba zote, ninaweza kutokea kwenye interview zote? Na je barua ya maombi IANDIKWE KWA MKONO AU...
  7. S

    Ajira portal issue

    Hivi jamanii wana wa forum Naomba niulize kitu kuhusu portal ya ajira maaana ni janga hili kwa vijana wengi,, kwanini mtu unakuwa na vigezo vyote lakn mfumo unagoma kuomba kazii? Utaweza kuta kozi yako ipo Kama kawa lkn haikubali kuapply.. Alafu pia kuna baadh ya kozi zinaingiliana mfano...
  8. Mwanakulipata

    MSAADA: Fani niliyosomea imegawanyika mara mbili AJIRA PORTAL

    Niende moja kwa moja, Nimesoma Ordinary Diploma in Laboratory science and Technology... Pale kwenye kuchagua kozi kuna Diploma in Laboratory science and technology na pia kuna Diploma in Laboratory technology Changamoto ni kuwa nimechagua Diploma In Science and Laboratory Technology...kazi...
  9. Jamii Opportunities

    Exploring Ajira Portal News, Portal Ajira, Ajira Portal Jobs in Tanzania, and Ajira Jobs Portal August, 2025

    The President’s Office Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) has announced several important updates on the Ajira Portal for job seekers and stakeholders. Job Vacancies Announcements The Ajira Portal is a centralized platform designed and managed by the Public Service Recruitment...
  10. N

    KERO Mfumo wa Ajira Portal upo kama Roboti, hauwezi ku-synchronize sifa katika qualifications za elimu

    Ajira portal na serikali yetu mfumo wa ajira ni mgumu sana kuutumia, yaani upo kama roboti hakuna integration na una kinda of conservative mind imagine. Kwa mfano 1. Mtu amesoma kuanzia Form 1 hadi 6 masomo ya biashara let say form 1 hadi 4 (business studies) then 5 na 6 (ECA) yaan Economics...
  11. A

    KERO Mfumo wa Ajira Portal unasababisha usumbufu katika uombaji wa ajira

    Salamu wandugu wa hili taifa takatifu ardhi ya mwl Huu mfumo wa kuomba ajira ambao upo chini wizara ya utumishi secretariat ya ajira Ajira portal Huu ni mfumo ambao umejaa ukandamizi mkubwa na wa wazi wazi hii inapelekea vijana wengi kukosa fursa za kuomba ajira ambazo zimekuwa zikitangazwa...
  12. A

    KERO UDOM rekebisheni uandishi wa Vyeti, mnatukosesha fursa kwenye Ajira Portal!

    Nina kero moja, ngoja niiweke hadharani leo, ni kuhusu Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kinafanya Watu wapate tabu saana kupata ajira kupitia Ajira Portal. Mfano hizi kazi za Walimu wa Economist au Mathematics, Mtu kasomea Pschology of Education in Mathematics and Economics, cheti kinaandikwa...
  13. AbuuMaryam

    Upatikanaji wa nafasi za kazi katika sekta binafsi na baadhi ya Ofisi za serikali, bila kujumuisha ajira portal

    Huwa wanaweka kigezo cha kazi ni fluent in english... na hilo wanalithibitisha kwenye interview... swali, huyu sijui alipitaj...!? ndio maana mtu asinambie omba kazi sijui... private sectors... huko mara nyingi ni connection tu... kazi inayotangazwa na vigezo kibao... inakuwa tayari na mtu...
  14. captain 21

    Changamoto ajira portal kushindwa kutuma maombi ajira za TPA

    Wakuu mambo vipi? Hii changamoto moto ni kwangu tu au kwa wote. Nimekua nikihangaika kutuma maombi ajira za TPA (Planning Officer II) kupitia AJIRA PORTAL, kila nikijaribu mfumo unaniambia sina sifa. Nimejaribu mpaka ku-edit baadhi ya vitu lkn wapi bado inazingua, naombeni msaada kwa yeyote...
  15. N

    Changamoto ya kubadili password ajira portal

    Nimekumbana na changamoto ya kubadili password yangu kwenye account yangu ya Ajira portal ambapo kila nikitaka kubadili kupitia ile njia ya forgot password inaniambia niingize email kisha na tarakimu za siri ila niki submit inaniandikia unable to change password nimejaribu kuwapigia wahusika...
  16. chakutu

    Wajuvi wa recruitment secretariat, ajira portal

    Wajuvi wa Mambo, Kwani secretarieti ya Ajira hawajui kuwa USTAWI WA JAMII kwa kimombo ni sawa na SOCIAL WORK ? Maana Mshikaji wangu ana sifa sawa na tangazo la ajira (AFISA MLEZI WA WATOTO DARAJA LA II) lakini akiingia kwenye mfumo , Mfumo unamkatalia, nikajua anakosea nikamwambia ngoja niweke...
  17. G

    KERO Msaada, napata changamoto kubadilisha taarifa ajira portal

    Msaada kwa anayejua namna ya kubadilisha taarifa kwenya account ya ajira portal. Mfano, Nilijiandikisha programu category ya Bachelor of arts (BED) education yaani somo moja. Badala ya Bachelor of arts with education (BAED) yaani masomo mawili kimakosa. Nawezaje kubadilisha taarifa maana...
  18. the ultimatum

    KERO Changamoto za mfumo wa Ajira Portal zinachochea Matapeli kuigeuza fursa!

    Ndugu wana jukwaa napenda kueleza kwa ufupi sana kusikitishwa kwangu na mfumo mbovu wa secretariat ya ajira yaani Ajira Portal. Ajira Portal wameweka utaratibu kwamba ili u qualify kuomba kazi ni lazima walau profile yako ya Ajira Portal, wenyewe wanaita dashboard ifikishe walau 70% na ili...
  19. D

    Mfumo wa ajira portal una shida

    Network ziko down...tatzo nn?
  20. K

    Natafuta gari ya hesabu kufanyia bolt na uber

    Mimi ni dereva wa tax mtandaoni maarufu kama bolt , na uber nina leseni yenye daraja c pia ninauzoefu na kazi hii. Ninatafuta gari ya hesabu. Ni dereva mwaminifu na mtunzaji wa gari. Gari ya mafuta hesabu 150000. Gari ya gesi hesabu 200000. Ninapatikana kwa namba hizi. 0628192114. 0786094712.
Back
Top Bottom