ajali

Mozaffar Ajali (Persian: مظفر اجلی‎, born 30 December 1962) is an Iranian weightlifter. He competed in the 1992 Summer Olympics.

View More On Wikipedia.org
  1. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Watu 38 Wafariki dunia katika ajali mbaya ya mabasi Kilimanjaro

    Watu wasiopungua 38 wamefariki dunia na wengine 28 kujeruhiwa baada ya mabasi mawili kugongana uso kwa uso na kushika moto katika mkoa wa Kaskazini wa Kilimanjaro, Tanzania. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amesema ajali hiyo ilitokea jioni ya jana katika wilaya ya Same baada ya tairi...
  2. Brain Kingdom

    JamiiForums Tanzania Kama Serikali haitachutama kukaa kimya kuhusu Utekaji kwa moyo wa dhati hizi ajali ni Gharika ya Mungu kwa Taifa za wanasiasa zinafuata

    Sina mengi ya kusema Mungu ni Mkuu kuliko vyote, nawaombea marehemu wote Mungu wa mbinguni awape pumziko la milele, inauma sana sana nasikitika sana Taifa kupitia hali hii ya ajali mbaya zenye kuumiza mioyo yetu
  3. figganigga

    JamiiForums Tanzania Basi la SSB lapata ajali

    Basi hadi trafiki wanaliogopa. Hata taarifa ya Vifo hawatoi. Nimeambulia picha kwa mbali
  4. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Same: Watu 37 wafariki dunia kwa ajali, 29 wajeruhiwa. Mabasi yagongana na moto kulipuka

    Basi la Channel one na Costa Mwami yamegongana na kuwaka moto. Cheki Point wilayani Same, umbali wa kilomita tatu kutoka Same Mjini. Ajali hiyo ambayo imethibitishwa na Mkuu wa Wilaya ua Same,Kaslida Mgeni,imetokea saa 12 jioni. Aidha,inadaiwa watu kadhaa wamefariki dunia kwa kuungua na moto...
  5. mrangi

    JamiiForums Tanzania Hii ajali si mchezo

    Hii sijuwi ilitokea wapi? Naona vyuma vimeumana Ova Mshana Jr
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ajali ya puto la hewa (Hot Air Balloon) yaua watu wanane Nchini Brazil

    Watu trakibani wanane wamefariki dunia kutokana na ajali ya tufe la hewa (hot air balloon) katika eneo la kusini mwa Brazil, kwa mujibu wa Gavana wa jimbo la Santa Catarina, Jorginho Mello. Kupitia ukurasa wake wa X, Mello alisema kuwa kulikuwa na watu 21 ndani ya tufe hilo wakati lilipoanguka...
  7. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kuna siti ndani ya basi ukikaa uwezekano wa kufa ikitokea ajali ni mdogo sana. Makinika

    Hesabu hazidanganyi. Nenda mtandaoni angalia ajali mbalimbali, angalia ajali zinasababishwa na nini, na ajali zinazoua kwa wingi ni za namna gani. •Ajali za kugongana gari uso kwa uso wahanga ni dereva na abiria wa siti za mbele. •Ajali za dereva kukosa balance mara nyingi dereva huipindua...
  8. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Watu wanne wapoteza maisha katika ajali, Polisi Wasema walikuwa wanatoka kwenye zoezi la chanjo ya mifugo na utambuzi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu linapenda kutoa taarifa kwa umma kuwa mnamo tarehe 16.06.2025 majira ya saa 21.05hrs huko katika Kijiji cha Mwamishari, Kata ya Mwamishari, Tarafa ya Kimali, Wilaya ya Meatu, Mkoa wa Simiyu ilitokea ajali ambayo ilihusisha gari aina ya Scania ambalo lilikuwa...
  9. E

    JamiiForums Tanzania Simiyu: Lori laua wanne na kujeruhi 15, Rais Samia atoa pole

    Rais Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa wananchi wa Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu kwa vifo vya watu wanne kufuatia ajali ya lori aina ya Scania iliyotokea katika Kijiji cha Mwamishari Juni 16 saa 3 usiku, akisema watu hao walikuwa kwenye usafiri wa kwenda kwenye mkutano wake. Kabla ya kufika...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Muujiza wa Kiti 11A: Walionusurika Ajali Mbaya za Ndege Miongo Mbili Tofauti

    Katika tukio la kushangaza linalovuka miaka na kizazi, kiti cha ndege nambari 11A kimekuwa gumzo duniani kutokana na miujiza miwili ya walionusurika ajali mbaya za ndege. Mnamo mwaka 1998, mwimbaji maarufu wa Thailand, Ruangsak Loychusak, alinusurika ajali ya ndege iliyotikisa taifa hilo —...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Picha ya kusikitisha ajali Air India

    Pamoja na matukio mengi ya kusikitisha katika ajali ya ndege ya Air India nambari 171 iliyotokea jana Juni 12 mara baada ya kupaa katika uwanja wa ndege wa Ahmedabad, picha ya kusikitisha ni ya Pratik Joshi na familia yake yaani mke na watoto watatu wakiwa ndani ya ndege muda mfupi kabla...
  12. figganigga

    JamiiForums Tanzania Ajali: Bus la Hai Express limeshaua Watu. Polisi wanaitwa wakaokoe

    Ajali Nyingine: Bus la Hai Express limeshaua Watu. Kwenye Video Polisi wanaitwa wakaokoe
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania CCM Mbeya yatoa Rambirambi kwa Familia 28 zilizopoteza wapendwa katika Ajali ya Barabarani

    Chama Cha Mapinduzi CCM mkoa wa Mbeya kimetoa rambirambi yake kwa familia 28 zilizoondokewa na ndugu kufuatia ajali ya magari iliyotokea siku ya Jumamosi usiku. Soma: Watu 28 wafariki kwenye mteremko wa Mbalizi, mkoani Mbeya, wengine 9 wajeruhiwa Akiongea na wafiwa kwa niaba ya Mwenyekiti wa...
  14. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Kuna ajali halafu Kuna ajali za aibu

    Imagine unapata ajali ukiwa unatoka au unaenda kununua Malaya Imagine unapata ajali kwasababu ulikuwa unafata umbea wa jambo Fulani. Imagine unapata ajali ukiwa unaenda sehemu ambayo haikuhusu tena unaenda kwa kuvizia ulikatazwa. Imagine unapata ajali ukiwa umetoka kumcheat mme au mke wako...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Ndio tulipofikia .? Hata ajali kubwa namna hii serikali inakaa kuepuka isilete aibu ya kisiasa

    Ndio tulipofika Sijaona serikali ikiongoelea lolote kuhusu ajali iliyotokea jana usiku na kuondoka na watu takribani 30. Zaid ya mkuu wa mkoa kudhuru eneo la tukio jana usiku baada ya ajali, hata pole kwa ndugu na familia. Je ni kwamba serikali hii inaogopa kutangaza majango kuepuka aibu ya...
  16. figganigga

    JamiiForums Tanzania Balaa: Kuna ajali kubwa huko Iwambi

    Kulikoni? Naambiwa Huko Iwambi Mbeya kuna ajali kubwa. Pigia simu ndugu na jamaa.. Sijajua zaidi hadi sasa sababu ni taharuki tupu.. Tusubiri Polisi waseme ===== UPDATES: 1200HRS ===== Watu 28 wamefariki dunia na wengine wanane kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari matatu ikiwamo...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Dereva wa gari la CHADEMA adakwa kwa kusababisha ajali Morogoro

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata dereva Yahaya Bakari Idd (43) mkazi wa Gongo la Mboto Mkoa wa Dar es salaam baada kusababisha ajali iliyotokea Juni 5, 2025 katika eneo la Mataa ya Tumbaku kata ya Mafisa Manispaa ya Morogoro. Taarifa ya leo Juni 6, 2025 iliyotolewa na Kamanda wa...
  18. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Ajali, Magari matatu yagongana kwenye Flyover Ubungo

    Magari matatu yamegongana kwenye flyover ya Ubungo muda mfupi uliopita, na kusababisha taharuki kwa watumiaji wa barabara hiyo. Hadi sasa, hakuna taarifa za kifo zilizoripotiwa, ingawa uharibifu wa magari na msongamano mkubwa wa magari umetokea eneo hilo. Chanzo Cha ajali hiyo bado...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Gari ya muziki ya CHADEMA yapata ajali mmoja ajeruhiwa

    Gari la mziki iliyokuwa kwenye msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chama, John Heche imepata ajali alfajiri ya leo Juni 5,2025 katika eneo la Msamvu Morogoro, ikiwa inaelekea Kivukoni - Ulanga, Igima - Mlimba, Ifakara Mjini - Kilombero kuanza operesheni NoReforms No Election Kanda ya Kati. Gari...
  20. U

    JamiiForums Tanzania Mwana CCM na mkewe akitoka kwenye mkutano wa halmashauri kuu yao apata ajali na kufariki hapohapo eneo la mji wa Mitumba - Dodoma

    Bila shaka alikuwa mmoja wa wajumbe wa mkutano wa Halmshauri kuu ya CCM ambako mwenyekiti wao Bi Chura Kiziwi alitoa kauli tata kuhusu Gwajima na blindly polisi wakiwa - facilitate "wasiojulikana" wameanza kufanya vitu vyao Wameanza kufyatuka mmoja mmoja. Kama una mfahamu, wajulishe ndugu zake...
Back
Top Bottom