Miaka ya sitini katikati kulikuwa na mzee mmoja anauza genge pahala,
alikuwa ni maarufu sana,
Hivi majuzi nimekutana nae na cha jabu alikuwa amevaa shati lile lile maarufu, nikadhani labda ninaota...nikamuita fulani?? akaitika naam....nikamuuliza siku hizi upo wapi, akanijuza yu sehemu...