KERO Router ya Voda imeandikwa 5G, panel yake inasoma 4G

KERO Router ya Voda imeandikwa 5G, panel yake inasoma 4G

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

OgaBoy

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
3,727
Reaction score
5,583
Router ya Voda imeandikwa 5G na niliichukua Vodashop. Lakini ajabu ni kwamba, panel yake inasoma 4G na spidi (Mbps) haifiki hata 25 kwa kifurushi cha Tsh. 110,000.

Hii imekaaje? Yaani unanunua router kwa Tsh. 138,000 na kuweka kifurushi cha Tsh. 110,000 alafu hupati hata 5G
20260803_081830.jpg


Hiki kifurushi kikiisha nitaitupa jalalani, niendelee kuunga vocha. Nilikuwa napata mtandao wa 5G vizuri tu kwenye simu, japo ni kwa gharama.
 
Router ya Voda imeandikwa 5G na nilichukua vodashop ajabu panel yake inasoma 4G na mbps sio 25 kwa kifurushi cha 110000 Tzs

Hii imelaaje router ya 138k na kifurushi cha 110k
Confirm kama eneo ulipo lina coverage ya 5G.

Kama coverage ipo basi check Setting hapo iwe Auto ili ishike 4G na 5G kutegemea ipi ipo strong.

Kuhusu Chini ya 25MBps hapo inabidi uende Makao makuu mkatest pamoja nao.
 
Coverage ya 5G bado haijaenea sehemu nyingi.

Hata hizi za Airtel sisi tumeanza kutumia tangu 2023 lakini 5G tumeanza kui-experience siku za hivi karibuni.

Kwa zamani Airtel waliweka na map kuonesha maeneo ambayo tayari yamefikiwa na hiyo coverage ya 5G.

Kama ni mtu wa maeneo ya nje ya mji basi hiyo 5G kuipata itachukua muda kidogo na kama ni wa mkoa basi hapo ndio balaa.

Kwenye Mbps unasema sio 25, ulitakiwa useme ni ngapi.

Lakini kuna muda hizi speed huwa zina shift, unaweza ku test ukapata 7Mbps za download halafu ukapata 20Mbps kwenye uploads.

Lakini hii huwa haitokei muda mrefu, sasa sijajua kwako hili tatizo lina muda gani.
 
Confirm kama eneo ulipo lina coverage ya 5G.

Kama coverage ipo basi check Setting hapo iwe Auto ili ishike 4G na 5G kutegemea ipi ipo strong.

Kuhusu Chini ya 25MBps hapo inabidi uende Makao makuu mkatest pamoja nao.
mkuu kwenye cpe kuna auto, 4g na 3g hakuna 5g niko mjini 1km kutoka kwenye majengo yao wenyewe
 
Kumbuka hiyo speed ni up to, je inafika ngapi ukitest? Ila kama ni 4g kuwa na speed nzuri ni uongo!

Nb: mi najua device huwa wanatoa bure, imekuwaje umeuziwa? Hizi device za 5g bei imesimama, kwa hiyo bei ya 138k inawezekana ni sawa kukupa hiyo 4g
 
Kumbuka hiyo speed ni up to, je inafika ngapi ukitest? Ila kama ni 4g kuwa na speed nzuri ni uongo!

Nb: mi najua device huwa wanatoa bure, imekuwaje umeuziwa? Hizi device za 5g bei imesimama, kwa hiyo bei ya 138k inawezekana ni sawa kukupa hiyo 4g
Hapo kalipa 250,000 ambayo ni bei ya router 5G ikiwa na kifurushi cha mwezi mmoja.
 
Router ya Voda imeandikwa 5G na nilichukua vodashop ajabu panel yake inasoma 4G na mbps sio 25 kwa kifurushi cha 110000 Tzs

Hii imelaaje router ya 138k na kifurushi cha 110kView attachment 3642271


kikiisha kifurushi naitupa jalalani niendelee na kuunga vocha nilikuwa napata 5g kwenye simu yangu japo kwa gharama
Hapa ilibidi ushtuke mapema sana, hizo ni takataka za kichina zimejaa kkoo
 
hawa ni wafanyakazi wa voda huwa naishiwa nguvu ukienda kwenye maduka yao ukitegemea kupata kitu cha maana unapewa cha ajabu nilikwepa mawakala wa mtaani jikidhani nikienda shop itakuwa poa badala yake device niliyouziwa bei hiyo hii hapa chiniView attachment 3642268
Hawajakupa warrant?
 
hawa ni wafanyakazi wa voda huwa naishiwa nguvu ukienda kwenye maduka yao ukitegemea kupata kitu cha maana unapewa cha ajabu nilikwepa mawakala wa mtaani jikidhani nikienda shop itakuwa poa badala yake device niliyouziwa bei hiyo hii hapa chiniView attachment 3642268
Click izo link afu tuma screenshot kwanza, voda kwenye reliability wako poa sana
 
hawa ni wafanyakazi wa voda huwa naishiwa nguvu ukienda kwenye maduka yao ukitegemea kupata kitu cha maana unapewa cha ajabu nilikwepa mawakala wa mtaani jikidhani nikienda shop itakuwa poa badala yake device niliyouziwa bei hiyo hii hapa chiniView attachment 3642268
hii 5G ni upande wa WiFi (ie: 5GHz)
upande wa cellular ni 4G
 
Back
Top Bottom