Wakuu habarini za wakati huu, ninahitaji router ya Airtel, kuna nyingi nimeona zinauzwa 110,000.
naomba mnijuze mambo yafuatayo.
je, hiyo 110,000 ni bei ya router(device) au ni ya vifurushi?
japo sina uhakika, nimesikia eti kuna hizo routers ambazo vifurushi vyake ni 70,000/= kwa mwezi...