Katika hii dunia, tunao watu wajinga sana wa aina mbili:
Wajinga wenye kaujanja fulani, wenye uwezo wa kupewa elimu na kuacha ujinga.
Wajinga wenye upumbavu wa kuwatotosha, uliowasahaulisha Mwenyezi Mungu na kuwafanya kujihisi kuwa na kauungu ndani yao.
Tusichoke kutoa elimu ili tulinusuru...