Forbes.com October, 9 Mwaka 2016 walionesha kuwa, idadi ya Walimu imefikia milioni 90
UNESCO walikadiria bado kutakuwa na hitaji la Walimu kati ya milioni 69 - 70 ili kufikia malengo ya Dunia "Sustainable Development Goals" SDG's ifikapo mwaka 2030.Hii inaonesha uhitaji wa Walimu utaendelea...