Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,542
- 3,451
Forbes.com October, 9 Mwaka 2016 walionesha kuwa, idadi ya Walimu imefikia milioni 90
UNESCO walikadiria bado kutakuwa na hitaji la Walimu kati ya milioni 69 - 70 ili kufikia malengo ya Dunia "Sustainable Development Goals" SDG's ifikapo mwaka 2030.Hii inaonesha uhitaji wa Walimu utaendelea kuongezeka.
Lakini tayari kuna uhaba mkubwa wa Walimu Uingereza,Canada.
Kenya wanamchoma Mwalimu mwenzetu kisa shule hujapata matokeo mazuri. Ndiyo maana kwenye kiitikio cha wimbo wa Afrika kuna maneno "Mungu ibariki Afrika na watu wake".
UNESCO walikadiria bado kutakuwa na hitaji la Walimu kati ya milioni 69 - 70 ili kufikia malengo ya Dunia "Sustainable Development Goals" SDG's ifikapo mwaka 2030.Hii inaonesha uhitaji wa Walimu utaendelea kuongezeka.
Lakini tayari kuna uhaba mkubwa wa Walimu Uingereza,Canada.
Kenya wanamchoma Mwalimu mwenzetu kisa shule hujapata matokeo mazuri. Ndiyo maana kwenye kiitikio cha wimbo wa Afrika kuna maneno "Mungu ibariki Afrika na watu wake".