joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,106
- 31,678
🤣🤣🤣 .Yule msanii wa kariakoo Africa yuko namba ngapi?? Kibongo bongo hadi Jux kamfunika mmmmmmhhhh
Sent from my iPhone using JamiiForums
Shukrani kwa mganga na wachawi wote wa Diamond
🤣🤣 Boomplay wanamfanyia figisu.Kiba huwa hapendi ShowOff.
Bila kusahau maji ya mto Lutale_Kibirizi_Kigoma.Shukrani kwa mganga na wachawi wote wa Diamond
Leo umeshindwa kubisha kwasababu huna hoja......HahahahahahahahahBaasii Misu viroho kwatuuuuView attachment 1302775
Leo umeshindwa kubisha kwasababu huna hoja......Hahahahahahahahah
Wewew jamaa hivi huwa unapata muda wa kula kweli. Maana naona umekuwa msukule wa domo hasaaaaaaaaaaa.
Muda wa kula na ujua mimi na mke wangu au unataka unipikie?NISHAKUZOEA wewe 277.Wewew jamaa hivi huwa unapata muda wa kula kweli. Maana naona umekuwa msukule wa domo hasaaaaaaaaaaa.
wewe Chinga One na Innocent Boniphace mpaka mnatia huruma aisee. Huuu siyo ushabiki.