Kwa mujibu wa jarida la Nigeria AFRIMMA, Diamond ni msanii wa 4 kwa ubora Afrika 2019 na vile vile awa no 1 Boomplay kwa upande wa Tanzania 2019

joseph1989

JF-Expert Member
May 4, 2014
15,106
31,678
79188867_2766009866793240_6886365350544085279_n.jpg
79038099_461323128147819_4176460605286431496_n.jpg
 
Jamani ndo maana nawaita misukule. Nikisifia mnalalamika,nikipondea mnalalamika,nikikoment bila kueleweka mnalalamika.

Jiraniii jirani zangu eee nimewakosea nini jirani kila nikiwasifiaaaa jiranii eee wenzangu mnalalamika

Kila nikiwapondea jirani eee wenzangu mnaninuniaaa

Sasa niwaeleweje jiraniii ee sasa nifanye nini jiraniiiii ee

Mimi na nyie ni kitu kimojaaaaa

Haina maana oooh haina maana kununiana

Mimi na nyinyi ni majiraniiii oooh haina maana kugombana

Asalaleeeeeeee ally choki na twanga pepeta walitamba sana.
Leo umeshindwa kubisha kwasababu huna hoja......Hahahahahahahahah
 
Moja ya Nyimbo hizo ni Tetema kutoka kwa Rayvanny ft Diamond.
Screenshot_20191224-232445.png


 
Back
Top Bottom