WATU PORI - USINICHUKIE
Afande sele.( Verse)..
"inshallah kama umenisamehe
Kama bado basi Ewallah
Yote namuachia Allah
Kwani tulipo , Tupo kwa vile ametaka Tuwepo/
Anatupenda Sawa sawa kabisa/
Wote anatupa Mvua,misikiti na makanisa/
Na wote anawapa jua masikini na Wenye pesa/
Kama kuvuta...