act wazalendo

Alliance for Change and Transparency (ACT) (Swahili: Chama cha Wazalendo, lit. 'Party of Patriots') is a political party in Tanzania. It received its permanent registration in May 2014.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    GE2025 Aliyewahi kuwa Mkuu wa wilaya Meatu na Maswa achukua fomu ya Ubunge jimbo la Meatu kupitia Act Wazalendo

    Rosemary Kirigini ambaye aliwahi kuwa Mkuu wa wilaya za Meatu na Maswa mkoani Simiyu amechukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Meatu kupitia chama cha Act Wazalendo. Pia aliwahi kuwa Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Mara.Kabla ya kuibukia Act Wazalendo alikuwa Mwenyekiti wa BAWACHA Kanda ya...
  2. figganigga

    Inauma sana, Zitto Kabwe anamiliki Chama chake binafsi na Freeman Mbowe ni mtembea pote

    Zitto Kabwe(kushoto) na Freeman Mbowe wakiwa bungeni. Picha na Maktaba Dunia kweli duara. Leo hii Zitto Kabwe anamiliki chama chake hadi anamringishia Mbowe. Leo Freeman Mbowe hana chama kawa Mtembea pote🤣🤣🤣 Hakika dunia tambala bovu. Mbowe ndo alimuingiza kwenye siasa Zitto Kabwe🤣🤣...
  3. tonicimmobility

    GE2025 ACT ni kama Dorothy amenyang'anywa tonge mdomoni

    "Wakati tu mchakato umetangazwa, Kiongozi wetu wa Chama, ndugu Dorothy Semu alitangaza hadharani nia yake ya kugombea Urais na alifanya mahojiano na vyombo vya habari na aliendelea kufanya harakati zake za kuwatangazia umma kwamba wakati ukifika atagombea Urais. "Hadi juzi tumemaliza tulikuwa...
  4. Mindyou

    GE2025 Aliyejitokeza kupinga Mpina kuteuliwa kugombea Urais ACT Wazalendo afunguka. Kasema hajatumwa na mtu yeyote

    Wakuu. Mambo yanaendelea kuwa mazuri. Huyu hapa ni yule mdada aliyepinga Mpina kugombea Urais ACT Wazlendo. Anaitwa Ndala Monalisa. Leo akiwa kwenye interview Wasafi amejitokeza akisema kuwa hajatumwa na yeyote kupinga Mpina kugombea Urais ACT Wazalendo
  5. DuaZaMama

    GE2025 CHADEMA imeaminisha watu kuwa Act-Wazalendo ni CCM 'B'

    Akizungumza na kituo cha redio cha East Afrika leo Agosti 18, 2025, Isihaka Mchinjita, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Bara, amesema kuwa CHADEMA imefanya kazi kubwa sana katika kujaribu kuuaminisha umma kuwa ACT ni CCM ‘B’ jambo analosema si la kweli bali ni propaganda ya kisiasa. Chanzo...
  6. O

    Huenda Rais Samia akashinda uchaguzi kwa asilimia 97%. Watanzania walishachoka na Upinzani wa mchongo

    Nyie mnaojiita wapinzania chukueni hizi dondoo zitawasaidia sana. 1. LAZIMA MFAHAMU KWA KINA WATANZANIA SIO WAJINGA 2. MTAMBUE KABISA WATANZANIA SIO MBUMBUMBU KAMA MNAVYODHANI 3. MKUBALI KUWA WATANZANIA WALISHAWAKATAA KITAMBO 4. USHAURI WANGU, TAFUTENI KAZI ZA KUFANYA KAZI SIO LAZIMA SIASA TU...
  7. E

    GE2025 ACT Wazalendo wamjibu Monalisa Ndala

    Siku moja baada ya Katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam na Naibu Waziri Kivuli wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Monalisa Ndala kumwandikia barua katibu Mkuu wa chama hicho akipinga kuteuliwa kwa Luhaga mpina kuwa mgombea urais, chama hiccho nacho kimemjibu. Barua hiyo pia...
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Anayepinga Uteuzi wa Luhaga Mpina ACT-Wazalendo kuna viongozi na wanachama wako nyuma yake

    Anayepinga uteuzi wa Luhaga Mpina kama mgombea wa Urais kupitia ACT Wazalendo asema kuna viongozi na wanachama wako nyuma yake. Akiongea na The Chanzo leo Agosti 16, 2025, Monica Ndala, ambaye ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa ACT Wazalendo, ameeleza kuwa anategemea kuchukua hatua za ziada kama...
  9. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Rosemary Kirigini ahamia ACT-Wazalendo Kutoka CHADEMA na CCM

    Mwanasiasa mwandamizi aliyewahi kuwa Mbunge wa Viti Maalumu CCM mkoa wa Simiyu, Mkuu wa Wilaya ya Meatu na pia Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Kanda ya Serengeti, Rosemary Kirigini amejiunga na chama cha ACT Wazalendo. Kirigini amejiunga na Chama hicho na kutangazwa mbele...
  10. E

    GE2025 Mpina apingwa kugombea urais ACT Wazalendo

    Mgombea urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amepingwa kugombea urais baada ya Katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam na Naibu Waziri Kivuli wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Monalisa Joseph Ndala, kumwandikia barua Katibu Mkuu wa Chama hicho akipinga mchakato...
  11. USSR

    GE2025 Mpina awekewa pingamizi na mwanachama mwenza kugombea urais kupitia ACT WAZALENDO

    Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo, Monalisa Ndala amepinga uamuzi wa chama hicho, kumteua Luhaga Mpina kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, akidai amekosa sifa. Kada huyo amedai kanuni za chama hicho, zimekiukwa katika uteuzi wa Mpina, kinyume na taratibu na sheria...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    GE2025 Luhaga Mpina Kwenda ACT ni Kosa la Kiufundi ambalo mtu Smart asingeweza kulifanya. Hapa ndipo Ngosha wanapozidiwa ujanja na Wenzao

    Hamjambo wote! Sijajua Watani zangu, Ngoshaz kwa nini wanapotezaga umakini hasa wakiwa katika nafasi ya kufunga. Yaani karibu na Goli kabisa. Nitakupa Mfano kupitia JPM. JPM aliamua kutangaza vita ambayo kwa kweli alikuwa mstari wa mbele kukabiliana na adui zake. Ambao kwa sisi wanasaikolojia...
  13. R

    GE2025 Mpina: Taarifa za Jina langu kukatwa kugombea Ubunge Jimbo la Kisesa zilianza kutangzwa miaka 2 iliyopita na baadhi ya Viongozi wa CCM

    Akizungumza Wahariri wa Vyombo vya Habari katika Jengo la Maalim Seif, Dar es Salaam, Mgombea nafasin ya Urais chama cha ACT Wazalendo Luhaga Mpina ameeleza kuwa taarifa za kukatwa jina lake kugombea ubunge Jimbo la Kisesa zilianza kutangazwa miaka miwili iliyopita na baadhi ya viongozi wa CCM...
  14. tonicimmobility

    Mpina ataja sababu za kuhama CCM

    Aliyekuwa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupiti tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina ameeleza sababu zilizomfanya kuondoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuhamia ACT Wazalendo. Soma pia: Bwege: Mpina siyo katoka...
  15. Tlaatlaah

    GE2025 Kwa mtazamo wako, kati ya mgombea urais Luhaga Mpina wa (ACT Wazalendo) na Salum Mwalimu wa (CHAUMMA), nani mkali zaidi na mwenye haiba ya urais?

    Ni yupi ana ushawishi zaidi na angalau mtaji wa kura za kumzidi mwingine? Kumbuka Luhaga Mpina anatoka mkoa Simiyu, huku Salumu Mwalimu akiwa anatoka Unguja, Zanzibar. Salum Mwalimu ana uzoefu wa kua naibu katibu mkuu wa chadema Taifa huko nyuma, na pia aliwahi kua mgombea mwenza wa urais...
  16. Waufukweni

    GE2025 Zitto ambwaga Nondo kura za maoni ubunge Kigoma Mjini

    Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameibuka kidedea katika mchakato wa kura za maoni za kuwania Jimbo la Kigoma Mjini uliofanyika jana Jumanne Agosti 12, 2025. Katika mchakato huo uliofanyika mkoani Kigoma, Zitto ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya ACT Wazalendo, alipata kura 228...
  17. DuaZaMama

    GE2025 Leo Agosti 14, 2025 mgombea urais wa ACT Wazalendo Luhaga Mpina na Mgombea mwenza Fatma watazungumza na wahariri wa vyombo vya habari

    Leo Agosti 14, 2025 Mgombea Urais wa Tanzania wa ACT Wazalendo Ndg Luhaga Mpina na Mgombea Mwenza, Ndg Fatma Fereji watazungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari. Mahala Jengo la Maalim Seif Magomeni DSM Muda: 4:00 Asubuhi.
  18. Nipe Maji

    GE2025 Dkt. Saga Saga kugombea ubunge jimbo la Ludewa kupitia ACT Wazalendo

    Katibu wa Siasa na Unezi wa Chama cha ACT Wazalendo Mkoani Njombe ndugu Ally Nathan Mhagama ( Dk Saga Saga) Agosti 10,2025 amekutana wananchi wa Vijiji vya Ugera na Mkongobaki wilayani Ludewa Mkoani Njombe kwa niaba ya wananchi wa wilaya hiyo na kuomba ridha ya kugombea nafasi ya Ubunge...
  19. Waufukweni

    GE2025 Luhaga Mpina awajia juu wanaosema kuwa ACT Wazalendo inafanya maigizo

    Mgombea urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, ameapa kuendeleza mapambano dhidi ya ufisadi nchini, akisisitiza kuwa hatapumzika hadi Watanzania wote wanufaike na rasilimali za taifa, na chama hicho kipo makini katika kutatua changamoto za Watanzania. Akizungumza Agosti 9, 2025...
  20. M

    GE2025 Maalim kaondoka na ACT WAZALENDO YAKE

    Maalim kaondoka na ACT wazalendo yake. Hivi sasa ACT kwa upande wa Zanzibar imesinyaa haswa haswa. Viongozi wa sasa hawana mvuto wa kisiasa. 90% Dkt Mwinyi atashinda. Kwa mujibu wa taarifa mbali mbali huko Zanzibar Ktk mapokezi ya leo bara bara tupu tofauti na enzi za Maalim Katika enzi za...
Back
Top Bottom