๐—ฑ๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐˜ƒ๐—ฒ๐—ฟ๐˜†

Pierre Derivery (4 November 1925 โ€“ 24 November 2013) was a French sprint canoer who competed from the early 1950s to the early 1960s. Competing in two Summer Olympics, he earned his best finish of tenth in the K-1 10000 m event at Helsinki in 1952.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa dharura wa mawaziri wa ICGLR โ€“ PSC Framework wahimiza ushirikiano wa kikanda

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe ameiwakilisha Tanzania katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Jumuiya za Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) na Nchi Wanachama wa Mkataba wa Amani, Usalama na Ushirikiano kwa DRC na Eneo...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Serikali inatazama watoto wote kwa jicho la karibu

    Na Witness Masalu, WMJJWM-Dodoma Serikali yaendelea kusimamia na kuhakikisha kwamba watoto wote nchini hususani wanaoishi katika mazingira magumu wanafikiwa na kupatiwa huduma stahiki. Hayo yamebainishwa na Kamishna wa Ustawi wa Jamii kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na...
  3. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Haya ni mambo sita (06) ya kujifunza kabla hujaanza kuishi mwenyewe magetoni tafadhali

    1๏ธโƒฃ >Jua kwamba sasa umepata uhuru ambao ukiutumia vibaya basi maisha yako yanaenda kuharibika mara moja. Kuna wengine mmekuwa salama kwa sababu mlikuwa mkiishi kwa wazazi na walezi wenu hivyo sheria zao zimewalinda na mkawa salama . Sasa unaanza kuishi mwenyewe usalama wako ni jukumu lako...
  4. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo aongoza kikao cha wizara mbili za Tanzania na Balozi wa China

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Kombo (Mb.) amefanya kikao kazi na Balozi wa China nchini, Mhe. Chen Mingjian pamoja na Wizara ya Ujenzi na Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na ofisi ndogo za wizara jijini Dar es Salaam leo tarehe 6 Desemba 2025...
  5. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Balozi wa Tanzania nchini Malawi afanya ziara rasmi ya kikazi wilayani nyasa

    ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—ข๐—ญ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—” ๐—ก๐—–๐—›๐—œ๐—ก๐—œ ๐— ๐—”๐—Ÿ๐—”๐—ช๐—œ ๐—”๐—™๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” ๐—ญ๐—œ๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฅ๐—”๐—ฆ๐— ๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—œ๐—ž๐—”๐—ญ๐—œ ๐—ช๐—œ๐—Ÿ๐—”๐—ฌ๐—”๐—ก๐—œ ๐—ก๐—ฌ๐—”๐—ฆ๐—” ๐—ก๐—ฎ ๐—•๐˜†๐—ฎ๐—ฟ๐˜‚๐—ด๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ ๐—œ๐—ป๐—ป๐—ผ๐—ฐ๐—ฒ๐—ป๐˜, ๐—ก๐˜†๐—ฎ๐˜€๐—ฎ Balozi wa Tanzania nchini Malawi Mhe. Agnes Richard Kayola amefanya ziara rasmi ya Kikazi Wilayani Nyasa kwa lengo la kuona fursa za uwekezaji,raslimali zilizopo na kukiri kuwa iwapo...
  6. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi asisitiza umuhimu wa kulinda mazingira na muungano

    ๐—ง๐—”๐—”๐—ฅ๐—œ๐—™๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ฉ๐—ฌ๐—ข๐— ๐—•๐—ข ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—”๐—•๐—”๐—ฅ๐—œ ๐— ๐—”๐—ž๐—”๐— ๐—จ ๐—ช๐—” ๐—ฅ๐—”๐—œ๐—ฆ ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ง๐—œ๐—ญ๐—” ๐—จ๐— ๐—จ๐—›๐—œ๐— ๐—จ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ก๐——๐—” ๐— ๐—”๐—ญ๐—œ๐—ก๐—š๐—œ๐—ฅ๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—จ๐—จ๐—ก๐—š๐—”๐—ก๐—ข Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia...
  7. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Waziri MKuu Mwigulu: Vijana wabunifu ndiyo wenye hatma ya Tanzania

    ๐—ฉ๐—œ๐—๐—”๐—ก๐—” ๐—ช๐—”๐—•๐—จ๐—ก๐—œ๐—™๐—จ ๐—ก๐——๐—œ๐—ฌ๐—ข ๐—ช๐—˜๐—ก๐—ฌ๐—˜ ๐—›๐—”๐—ง๐— ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—”๐—ก๐—ญ๐—”๐—ก๐—œ๐—” - ๐—ช๐—”๐—ญ๐—œ๐—ฅ๐—œ ๐— ๐—ž๐—จ๐—จ WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Watanzania wanataka kuiona nchi yao ikifikisha lengo la uchumi wa kati wa dola za Marekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050 na watakaofanikisha jambo hilo ni sekta binafsi ikiwemo wenye wabunifu...
  8. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu akagua uharibifu wa Kituo cha Polisi Kikatiti

    ๐——๐—ž๐—ง. ๐— ๐—ช๐—œ๐—š๐—จ๐—Ÿ๐—จ ๐—”๐—ž๐—”๐—š๐—จ๐—” ๐—จ๐—›๐—”๐—ฅ๐—œ๐—•๐—œ๐—™๐—จ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—œ๐—ง๐—จ๐—ข ๐—–๐—›๐—” ๐—ฃ๐—ข๐—Ÿ๐—œ๐—ฆ๐—œ ๐—ž๐—œ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—ง๐—œ WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Polisi Kikatiti ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025, mkoani Arusha. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu...
  9. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania ๐—ฅ๐—˜๐—–๐—ข๐— ๐— ๐—˜๐—ก๐——๐—˜๐—— ๐—–๐—ข๐—ฅ๐—˜ ๐——๐—œ๐—ฉ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ข๐—ก๐—ฆ ๐—™๐—ข๐—ฅ ๐—ง๐—›๐—˜ ๐—ก๐—˜๐—ช๐—Ÿ๐—ฌ ๐— ๐—œ๐—ก๐—œ๐—ฆ๐—ง๐—ฅ๐—ฌ ๐—ข๐—™ ๐—ฌ๐—ข๐—จ๐—ง๐—› ๐—”๐—™๐—™๐—”๐—œ๐—ฅ๐—ฆ ๐—ง๐—ข ๐—•๐—˜ ๐—™๐—ข๐—ฅ๐— ๐—˜๐——

    ๐—ฅ๐—˜๐—–๐—ข๐— ๐— ๐—˜๐—ก๐——๐—˜๐—— ๐—–๐—ข๐—ฅ๐—˜ ๐——๐—œ๐—ฉ๐—œ๐—ฆ๐—œ๐—ข๐—ก๐—ฆ ๐—™๐—ข๐—ฅ ๐—ง๐—›๐—˜ ๐—ก๐—˜๐—ช๐—Ÿ๐—ฌ ๐— ๐—œ๐—ก๐—œ๐—ฆ๐—ง๐—ฅ๐—ฌ ๐—ข๐—™ ๐—ฌ๐—ข๐—จ๐—ง๐—› ๐—”๐—™๐—™๐—”๐—œ๐—ฅ๐—ฆ ๐—ง๐—ข ๐—•๐—˜ ๐—™๐—ข๐—ฅ๐— ๐—˜๐—— ๐—”๐—ฆ ๐—ฃ๐—ฅ๐—˜๐—ฆ๐—œ๐——๐—˜๐—ก๐—ง ๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐— ๐—œ๐—ฆ๐—˜๐——. 1) Division of Youth Development & Empowerment Core Mandate: Strengthening youth participation, leadership, civic engagement, and national values. Key Functions โ€ข Develop national policies...
  10. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Kulingana na waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), zifuatazo ni hekima

    ๐—ž๐˜‚๐—น๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ช๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—•๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—น๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ฎ๐˜€๐—ธ๐—ผ๐—ณ๐˜‚ ๐—ž๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ถ ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ, ๐˜‡๐—ถ๐—ณ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜‡๐—ผ ๐—ป๐—ถ ๐—ต๐—ฒ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐—ฎ ๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐˜‡๐—ผ ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ Moja, Kama ilivyoandikwa kwenye kitabu cha Mathayo 5:9 Mt 5:9 SUV Neno la Mungu linasema.. [9] Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu. Kama Kanisa ni muhimu kujua nafasi...
  11. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    ๐—•๐—”๐—ฅ๐—”๐—ญ๐—” ๐—Ÿ๐—” ๐— ๐—”๐—”๐—ฆ๐—ž๐—ข๐—™๐—จ (๐—ง๐—˜๐—–) ๐— ๐—ก๐—”๐—ง๐—จ๐—ž๐—ข๐—ฆ๐—˜๐—” ๐—ฆ๐—”๐—ก๐—” ๐—ช๐—”๐—ž๐—”๐—ง๐—ข๐—Ÿ๐—œ๐—ž๐—œ. Tumsifu Yesu Kristo. Jina langu ni Joseph Simon Mapunda, Muumini wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbinga Mkoani Ruvuma ambaye kwa mapenzi ya Mungu mwaka jana 2024 nilikuja Dar es Salaam kikazi na naishi Tegeta. Leo tarehe 15 Novemba, 2025...
  12. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania ๐—•๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ฏ๐—ฎ๐˜€๐—ถ ๐—ง๐—ฒ๐—ป๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—ธ๐˜„๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ฎ๐—ถ๐˜€๐—ฒ๐—ฒ๐—ต!!!

    Walichokifanya China hii ni zaidi ya Mapinduzi ya Teknolojia kwenye huu Ulimwengu wa Dunia, Kampuni ya kutengeneza Maroboti Toka China XPENG Robotics imeunda roboti mwenye vinasaba vya binadamu. Angalia video yake ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ china kiboko aiseeh Binadamu basi Tena tumekwisha
  13. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nyomi ya Wananchi wa Mufindi (Nyororo) Kumlaki Mgombea Urais CCM, Samia Suluhu

    ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐— ๐—œ ๐—Ÿ๐—” ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—ก๐—–๐—›๐—œ ๐—ช๐—” ๐— ๐—จ๐—™๐—œ๐—ก๐——๐—œ (๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ฅ๐—ข๐—ฅ๐—ข) ๐—ž๐—จ๐— ๐—Ÿ๐—”๐—ž๐—œ ๐—ฅ๐—”๐—œ๐—ฆ ๐——๐—ž๐—ง. ๐—ฆ๐—”๐— ๐—œ๐—” ๐™’๐™–๐™ข๐™ช๐™๐™–๐™ ๐™ž๐™ ๐™ž๐™จ๐™๐™ž๐™– ๐™ ๐™ช๐™ฌ๐™– ๐™Š๐™ ๐™ฉ๐™ค๐™—๐™– 29 ๐™๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ ๐™ž๐™ฏ๐™ช๐™ž๐™ฏ๐™ž, ๐™ ๐™ช๐™ง๐™– ๐™ฏ๐™ค๐™ฉ๐™š ๐™ฏ๐™– ๐™ฃ๐™™๐™ž๐™ฎ๐™ค ๐™ฃ๐™ž ๐™ฏ๐™–๐™ ๐™š. Sehemu ya Wananchi wa Nyororo Wilayani Mufindi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 06...
  14. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania ๐—ง๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ต๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐—ถ๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐— ๐˜„๐—ฒ๐—ธ๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐˜‚ ๐˜€๐—ถ๐—ธ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—๐˜‚๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ถ๐—น๐—ถ

    Nchi ya Tanzania itaweza kushuhudia tukio adimu la kupatwa Kwa Mwezi nyakati za usiku Siku ya Jumapili wakati kabla jua kuchomoza. Dokta Jiwaji mhadhiri mkuu wa Fizikia na mtaalam wa unajimu katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), alielezea tukio hilo litaweza kutokea ambapo Mwezi utaweza...
  15. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania ๐—–๐—ฒ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐—ก๐—ผ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜‡๐—ถ ๐—ต๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ถ "๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ท๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—ธ๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ ๐—นakini tumepoteza

    ๐— ๐—ธ๐˜‚๐—ฟ๐˜‚๐—ด๐—ฒ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ก๐—ผ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜‡๐—ถ ๐—ต๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ถ "๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ท๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—ธ๐—ถ๐—ฏ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—ฝ๐—ผ๐˜๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ" Inawezekana ikawa story mbaya kwa wale wapenzi wa vifaa vya Nokia ulimwenguni baada ya Ceo kuongea maneno mazito yenye Huzuni kubwa kwenye Mkutano. Ilikua mwaka 2013, baada ya Nokia kutangazwa...
  16. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Dkt. Asha-Rse Migiro: Mwanamke wa kwanza kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi

    ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐— ๐—ž๐—˜ ๐—ช๐—” ๐—ž๐—ช๐—”๐—ก๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ช๐—” ๐—ž๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—จ ๐— ๐—ž๐—จ๐—จ ๐—ช๐—” ๐—–๐—›๐—”๐— ๐—” ๐—–๐—›๐—” ๐— ๐—”๐—ฃ๐—œ๐—ก๐——๐—จ๐—ญ๐—œ Uteuzi wa Dkt. Asha-Rose Mtengeti Migiro kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni historia mpya na ishara thabiti ya ushindi wa chama chetu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Kwa mara ya kwanza, chama kikubwa na kongwe...
  17. Ayoub Sads

    JamiiForums Tanzania ๐™ˆ๐™–๐™ฉ๐™ช๐™ข๐™ž๐™ฏ๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™จ๐™ค๐™ก๐™–๐™ง

    ๐™ƒ๐™–๐™—๐™–๐™ง๐™ž ๐™ฃ๐™™๐™ช๐™œ๐™ช ๐™Ÿ๐™–๐™ข๐™ž๐™ž ๐™›๐™ค๐™ง๐™ช๐™ข, ๐™ฃ๐™ž๐™ข๐™š๐™ก๐™š๐™ฉ๐™š๐™ฌ๐™– ๐™ฃ๐™– ๐™ฃ๐™™๐™ช๐™œ๐™ช ๐™ฎ๐™–๐™ฃ๐™œ๐™ช ๐™๐™–๐™ฅ๐™– ๐™จ๐™ค๐™ก๐™–๐™ง ๐™ฅ๐™–๐™ฃ๐™š๐™ก ๐™ฌ10 ๐™—๐™–๐™ฉ๐™ง๐™ž 12๐™ซ ๐™๐™ž๐™ซ๐™ž ๐™ž๐™ฃ๐™–๐™ฌ๐™š๐™ฏ๐™– ๐™ ๐™ช๐™ฌ๐™–๐™จ๐™๐™– ๐™ฉ๐™–๐™– ๐™ฃ๐™œ๐™–๐™ฅ๐™ž... ๐™ˆ๐™–๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ข๐™›๐™ช๐™ข๐™ค ๐™ฌ๐™–๐™ ๐™š ๐™จ๐™ž๐™Ÿ๐™–๐™š๐™ก๐™š๐™ฌ๐™– ๐™–๐™ช ๐™ฃ๐™ž ๐™—๐™–๐™ฉ๐™ง๐™ž ๐™ฃ๐™™๐™ž๐™ค ๐™๐™–๐™ž๐™จ๐™–๐™ฅ๐™ค๐™ฉ๐™ž ๐™ ๐™ช๐™ฌ๐™–๐™จ๐™๐™– ๐™ฉ๐™–๐™– ๐™ฏ๐™–๐™ž๐™™ ๐™ฎ๐™– ๐™ข๐™ค๐™Ÿ๐™–
  18. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi wa wiki ya huduma za ustawi wa Jamii

    ๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ก๐——๐—จ๐—ญ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—ช๐—œ๐—ž๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—›๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—” ๐—ญ๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—ง๐—”๐—ช๐—œ ๐—ช๐—” ๐—๐—”๐— ๐—œ๐—œ KAULIMBIU: Pata Msaada wa Kisaikolojia; Imarisha Afya ya Akili Mazoezi huchochea homoni ya furaha, Tembea, kimbia, au fanya mazoezi mara kwa mara. ๐Ÿ“… 25 - 30 Agosti, 2025 ๐Ÿ“ Chuo cha Ustawi wa Jamii - Kijitonyama, Dar es Salaam Kwa mawasiliano...
  19. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia Suluhu Hassan: Kiongozi sahihi kuendeleza safari ya maendeleo

    ๐‘ต๐’‚๐’‚๐’๐’…๐’Š๐’Œ๐’‚ ๐‘น๐’‚๐’”๐’‰๐’…๐’‚ Kesho, Rais Samia Suluhu Hassan atachukua fomu ya kugombea urais katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu โ€” tukio muhimu linaloashiria mwendelezo wa uongozi wenye dira na matokeo. Kwa kipindi cha uongozi wake, Rais Samia ameonesha uthubutu, uadilifu na ufanisi katika kusukuma mbele...
  20. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania ๐— ๐—ถ๐—ฐ๐—ฟ๐—ผ๐˜€๐—ผ๐—ณ๐˜ ๐—ถ๐—น๐—ถ๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐—ป๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚๐—ฟ๐—ถ ๐—น๐—ฎ ๐—”๐—ฝ๐—ฝ๐—น๐—ฒ ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐—ฏ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ ๐—ต๐—ถ๐˜€๐˜๐—ผ๐—ฟ๐—ถ๐—ฎ

    Moja kati ya tukio la kushangaza lilitokea mwaka 2010 ni Microsoft iliweza kumdhihaki Apple baada ya Microsoft kutoa simu mpya ya windows unajua ilikuwaje ๐Ÿ˜. Ilikua mnamo mwaka 2010 iliweza kutoa kauli ya ujasiri kwa kufanya mazishi ya iphone baada ya kutolewa kwa simu mpya ya windows 7 phone...
Back
Top Bottom