๐ช๐๐ญ๐๐ฅ๐ ๐ ๐๐จ๐จ ๐๐ข๐ก๐๐ข๐ญ๐ ๐ ๐๐จ๐ง๐๐ก๐ข ๐๐๐ญ๐ ๐ช๐ ๐ ๐๐ช๐๐ญ๐๐ฅ๐.
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameongoza mkutano kazi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu na Viongozi Waandamizi wa Serikali uliofanyika, Januari 12, 2026, katika Ukumbi wa Kambarage, Hazina, jijini Dodoma.
Katika mkutano huo, viongozi hao wamejadili...