Kama mtumiaji wa Kivuko cha Kamanga Ferry, kivuko kinachotoa hudumakati ya jiji la Mwanza na upande wa Sengerema katika ziwa Victoria. Napendakutoa dukuduku zangu juu ya utaratibu mbovu na ambao si wa kiusalama unaotumiwana mmiliki au wafanyakazi wa kampuni hii katika upakiaji wa magari...
People who post explicit pictures of exes online face jail sentence after 'revenge porn' is outlawed in California
Legislation passed to tackle growing problem of 'revenge porn'
Spurned lovers who post graphic images of ex face prison sentences
Those convicted of malicious intent could also...
25th May 2013
A woman shows her house alleged to be burnt by Field Force police during the operation to calm the situation erupted after anti-gas transportation from Mtwara to Dar es Salaam clashed by riot police on Wednesday at Magomeni in Mtwara region. Situation in Mtwara is calm...
Tanzania tumebaki kusikiliza hotuba za viongozi wetu, tutaimarisha reli ya kati na kuunganisha na Rwanda/ Burundi, mara reli toka Tanga hadi Musoma na zaidi reli toka Mtwara hadi Mchuchuma & Liganga
Maneno mengi vitendo zero, sasa jirani zetu Msumbiji wao wanafanya kweli... na hii ndiyo habari...
Kama kuna jambo limekuwa linanitatiza ni pale Mifuko Yetu ya Jamii inapopata kigugumizi inapohitaji kutoa maelezo ya ukokotoaji wa faida itokanayo na michango ya mwanachama.
Au niseme ni pale mwanachama anapotaka kujua kwa miaka yote aliyochagia mfuko, ni kiasi gani cha faida kitaongezeka...
By ARINAITWE Rugyendo
Rwanda's Defence Minister Gen. James Kabareebe has spilled chilling secrets about the conflict in the neighbouring Democratic Republic of Congo- DRC and it's nemesis, the M23 rebel group fighting to topple President Joseph Kabila.
And although Rwanda has been accused of...
By Arinaitwe Rugyendo,
In Kigali:
An angry Kagame makes his point during the press conference
Rwandan President Paul Kagame has lifted a lid on elements in the international community who plotted to overthrow President Joseph Kabila of the Democratic Republic of Congo, last year.
Addressing...
Leo Jumamosi tarehe 16/06/2012 ndiyo siku Mh. Kigwangallah (MB) anafanya maandamano na mkutano ndani ya Jimbo lake la Nzega, na kwa maelezo yake akiungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaomuunga mkono katika hoja yake ya msingi iliyomsukuma kufanya maandamano na mkutano.
Hata hivyo nimeona kimya...
TIMU ya soka ya Taifa Zanzibar, ‘Zanzibar Heroes', inaongoza katika kundi "B" la michuano ya Kombe la Dunia kwa nchi zisizo wanchama wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), (VIVA World Cup), inayoendelea huo Iraqi Kurdistan.
Hii ni baada ya kushinda katika mchezo wa kwanza dhidi ya...
Kutokana na ushindi wa Chadema katika uchaguzi Mdogo wa Arumeru, tutarajie kusikia makamanda wa Polisi wakibadilishwa vituo na hasa wale wenye vyeo vya juu kurudishwa Makao Makuu kukalia dawati na kusoma magazeti.
Na hlii litakuwa jepesi sana kutekelezwa kwani mara baada ya kutangazwa mshindi...
President Obama waved himself into ridicule at the Open Government Partnership Event at the United Nations on September 20, 2011, in New York. During a group photograph of several world leaders, President Obama offered a solitary wave that accidentally covered the face of the president of...
Travel + Leisure just declared Singita Grumeti Reserves in Tanzanias Serengeti National Park to be the best hotel in the world. It received a score of 98.44 out of 100 on a list based on reader surveys. The hotel, which is made up of two lodges and a tent camp, offers unparalleled luxury in the...
Wataalamu,
Naomba msaada wa nini naweza kufanya ili kujua/kugundua kama nimekuwa blocked ku-chat katika yahoo Messenger na mtu ambaye siku zote nimekuwa na-chat nae ila ghafla simwoni online wala kujibu email zangu.
CUF kuweka mambo hadharani leo Friday, 17 December 2010 09:19 Na Waandishi Wetu, jijini
CHAMA Cha Wananchi (CUF) leo kinatarajia kuweka mambo hadharani katika viwanja vya Temeke mwisho ambapo pia Makamu wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalism Seif Sharif Hamad, anatarajiwa...
Nimetokezwa kuwa wakati wananchi wakiwa na kiu ya matokea ya uchaguzi hasa jimbo la MBEYA MJINI, Mh. Lowasa na Makamba wako hapo mjini na polisi wanazidi kupiga mabomu kutawanya watu wenye KIU ya matokeo.
Walioko MBEYA please confirm this rumours!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.