Ilulu
Senior Member
- Mar 22, 2008
- 161
- 31
Leo Jumamosi tarehe 16/06/2012 ndiyo siku Mh. Kigwangallah (MB) anafanya maandamano na mkutano ndani ya Jimbo lake la Nzega, na kwa maelezo yake akiungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaomuunga mkono katika hoja yake ya msingi iliyomsukuma kufanya maandamano na mkutano.
Hata hivyo nimeona kimya kingi, tangu asubuhi nimekuwamo humu jamvini bila updates zozote juu ya shughuli hii.
Kwa yeyeote yule aliyepo eneo la tukio, Isungangwanda, Nzega Ndogo au maeneo hayo, tuhabarisheni ili tuweze kupima matokeo ya tukio ili.
Itakuwa vyema kama tunaweza kupata na picha za mkusanyiko huo. Maandamano ni watu na Mkutano pia ni watu
UPDATES:
Hata hivyo nimeona kimya kingi, tangu asubuhi nimekuwamo humu jamvini bila updates zozote juu ya shughuli hii.
Kwa yeyeote yule aliyepo eneo la tukio, Isungangwanda, Nzega Ndogo au maeneo hayo, tuhabarisheni ili tuweze kupima matokeo ya tukio ili.
Itakuwa vyema kama tunaweza kupata na picha za mkusanyiko huo. Maandamano ni watu na Mkutano pia ni watu
UPDATES:
- Mh. Kigwangallah amefanikiwa kufanya mkutano kama dhamira yake ilivyomsukuma
- Hakukuwa na mshirika hata mmoja kati ya wale aliojinasibu kuwa wangemuunga mkono (wabunge)
- Askari walikuwa wengi, maudhurio ya raia/wapiga kura ni hafifu lakini alipata wasikilizaji
- Kama kawa fuso zilisomba watu
- waandishi wa habari walikuwa, tutarajia mengi toka kwao
- Naambiwa kanguruma vilivyo, najua ni member hapa jamvini na atakuja kutujuvya.