Natafuta rafiki wa kike popote pale. Asizidi miaka 28. Mkristo mwenye hofu ya MUNGU. Awe aghalau na diploma au zaidi. Awe mwembamba, asiwe mfupi. Mbunifu na mwenye mtizamo chanya wa kimaisha.
Umri wangu ni miaka 30.
Ni mkristo. Ni mrefu rangi yangu maji ya kunde.
Ni pm mengine tutafahamiana...
Kama kichwa kinavyojieleza, eneo langu lipo mita 22.5 toka ulipo mkondo mkubwa wa umeme, limepimwa na halmashauri hivyo nalipia kodi kila mwaka.
Nina mpango wa kuendeleza kiwanja changu lakini nimepata hofu kisije nitokea kinachowatokea waliopo pembezoni mwa Morogoro Road!!
Je umbali huu wa...
Kuna binti mmoja nilikuwa na mahusiano naye, nilimpenda kwa dhati lakn baadaye akakata mawasiliano ghafla, nikakaa kimyaaa pia baada ya mwaka na miezi kadhaa nikamtafuta akaniambia ye ni mzazi analea. Nikawa mpole nikatulia.
Ikapita miezi kumi akanitafuta akiwa mpolee mno na mnyonge...
Heshima zenu wakuu,
Naombeni mnishauri.
Nimepoteza kabisa hisia za kimapenzi, sijisikii kabisa kupenda ninaweza nikaingia katika mahusiano haitachukua muda upendo utapotea ghafla nitajikuta namchukia yule msichana niliye naye, ni miaka miwili sasa nina hilo tatizo, nifanyeje niondokane na...
Mara nyingi sana nimekuwa nikitembelea jukwaa hili. Ninachokuja kukiona ni kuwa thread nyingi ni za kufikirika na hazina uhalisia.
Mimi binafsi nataka nijiingize katika kilimo lakini nashindwa kufanya feasibility study vizuri kwani sijafanikiwa kuwapata wanaofanya kilimo cha kisasa chenye...
Imepita miaka miwili tangu nilipoachana na mpenzi wangu, kiukweli huyu mdada nilimpenda kwa moyo wangu wa dhati, sikuwahi kumsaliti nilimwona kila kitu kwangu, kulingana na hali niliyokuwa nayo sikuweza kutangaza ndoa ila nilimwahidi maisha yakikaa sawa ndio jambo litakalofuata, nyumbani...
Nimefunga safari toka Moro leo asubuhi kuja DSM ili nishangae mabasi yaendayo kasi.
Cha kusikitisha sijabahatika kuyaona! na ni hivi majuzi mradi ulizinduliwa!
Kulikoni mabasi hayo hayapo njiani tena?.
Ni muda sasa huwa siwaelewi wanawake mnataka nn haswa kutoka kwa wapenzi wenu unakuta mwanaume umetulia na hauna michepuko unampenda mpenzi wako kwa moyo wote.
Unajitahidi kumfanyia kila uwezacho mwanamke kila anachohitaji unamtimizia as long kipo chini ya uweza wako.
Mkiwa kitandani...
Wanajamvi naomba mnisaidie hili nimshauri rafiki yangu kwani yupo njia panda.
Rafiki yangu ana elimu yake ni diploma, ni mwajiriwa wa serikali, ana girlfriend mwenye kiwango cha elimu cha digrii, pia kimaisha huyo mpenzi wake yupo vizuri economically kulinganisha na jamaa.
Yaani kwa ufupi...
kuna habari nimeisikia kwa ufupi kutoka magazetini kuwa mtandao wa watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliohusika na uhalifu wa pale stakishari wamekamatwa na pia shehena ya silaha kukamatwa katika nyumba ya ibada..
niombe aliye na taarifa kamili aiweke hapa..
..........................
update...
Mara nyingi na kwa walio wengi (sio watu wote) mapenzi ya kwanza (1st love) huwa yanawaacha na maumivu makali sana ambapo wapo wanaodiriki kunywa sumu ili wafe pindi inapotokea wameachana/wameachwa na wapenzi wao!
kuna kamsemo kuwa 1st love never die. je kuna ukweli wowote juu ya hili...
Wengi wetu wameshakumbana na maumivu makali na wana madonda nafsini mwao pamoja na majeraha yaliyosabishwa na mapenzi. Haya yote hutokea baada ya wewe kutendwa. Umeshawahi kujiuliza kwanini hutokea hayo?
1.Kuruhusu akili/ubongo wako utawaliwe na Huyo mpenzi wako.
Sikatai najua kuna kupenda na...
Mapenzi huwa ni matamu na yananoga sana iwapo utampata akupendaye nawe ukampenda kwa dhati. Ila mapenzi hugeuka na kuwa shubiri mara upande mmoja wa mapenzi unapofanya usaliti. Ni wengi wamepitia vipindi vigumu, wapo ambao wamejiua na wapo waliofanya jaribio la kujiua.
Hakuna kitu kinachouma...
Tunapoelekea katika uchaguzi mkuu watanzania wenzangu ni bora tukakumbushana haya.
Inaniuma sana kwani kipindi cha hapo nyuma tuliwaamini sana wasomi tukajua ni watu makini na wana uwezo wa kutumia elimu yao kutuvusha kutoka hatua moja kwenda nyingine ya juu zaidi lakini haijawa hivyo...
Kwa aliye serious,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.Ni kijana wa kikristo mwenye hofu ya Mungu.Elimu yangu ni shahada ya awali. Ni muajiriwa. Natafuta rafiki wa kike popote napendezwa zaidi kama atakuwa mweupe au maji ya kunde pia mrefu, mwembamba.
Kama upo interested ni-pm
Nina miaka 28, jinsia yangu ni mwanaume, elimu yangu degree, ni muajiriwa.... natafuta mchumba popote, napendelea zaidi mweupe, asiwe kibonge , mcha Mungu, aliyetayari ani pm
Hv mtatufanya watanzania kuwa wajinga mpaka lini?
Nashangaa mnatudanganya wazi wazi kama mchezo wa kuigiza! katka swala la katiba yenu mnayoitengeneza tamkeni hadharani ni katiba ya CCM na si katiba ya JMT.
Warioba alienda kwa wananchi akaleta maoni. nyie mkayapuuzia, wananchi wakalalamika...
naomba Ku declare mimi sio mwanasiasa wala sio mwanachama wa chama chochote!
swali langu la msingi ambalo nahitaji ufafanuzi wa kisheria ni kwamba kwanini maandamano yote ya wapinzani yanaitwa maandamano haramu!?
Je hakuna namna yeyote ambayo sheria inaweza kuliweka sawa jambo hili, ili...
Viongozi wengi wamekosa uzalendo na uadilifu kwa nchi yao. Viongozi wanadiriki hata kuuza nchi yetu kwa wageni lakini pia wanajilimbikizia mali kama vile hawatakufa wataishi milele. Angalia sasa hivi nchi yetu hii inapoelekea. Tupo katika sehemu ngumu mno na tunaelekea kusikujulikana. Hali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.