Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

zema21

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
619
Reaction score
257
Nina miaka 28, jinsia yangu ni mwanaume, elimu yangu degree, ni muajiriwa.... natafuta mchumba popote, napendelea zaidi mweupe, asiwe kibonge , mcha Mungu, aliyetayari ani pm
 
Haraka ya nini,hata jinsia hujaweka..si kila mtu anakufahamu
 
Nidipu hapa 07000000000 utanipata!

Ww ni sitaki nataka, yaan unataka ila unaona aibu! Kama ingekuwa ni mm niliyeanzisha uzi huu ningekufuata PM, hapana shaka ni mhitaji pia! Acha masihara, watu wanaopoa wake wema kwenye madanguro, sembuse jf !!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom