zema21
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 619
- 251
kuna habari nimeisikia kwa ufupi kutoka magazetini kuwa mtandao wa watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliohusika na uhalifu wa pale stakishari wamekamatwa na pia shehena ya silaha kukamatwa katika nyumba ya ibada..
niombe aliye na taarifa kamili aiweke hapa..
..........................
update
kuna taarifa zinazozidi kuenea kwenye magroup ya whatsApp zikimuonyesha mwanadada mmoja ambaye anahusika na tukio hilo pia kuna video kuna sauti inasikika mwanadada huyo akisisitiza mtu apigwe risasi ya kichwa.. pia taarifa hizo zinasema kilichosaidia wakakamwata ni baada ya simu ya yule jambazi aliyeuwawa kwa risasi kuokotwa hivyo wakafuatilia mawasiliano yake..
niombe aliye na taarifa kamili aiweke hapa..
..........................
update
kuna taarifa zinazozidi kuenea kwenye magroup ya whatsApp zikimuonyesha mwanadada mmoja ambaye anahusika na tukio hilo pia kuna video kuna sauti inasikika mwanadada huyo akisisitiza mtu apigwe risasi ya kichwa.. pia taarifa hizo zinasema kilichosaidia wakakamwata ni baada ya simu ya yule jambazi aliyeuwawa kwa risasi kuokotwa hivyo wakafuatilia mawasiliano yake..