Uwe unawakumbusha mara kwa mara maana hawakawii kusahau. Halafu ajenda zao ni kama kujisikia kwenda haja maana huja anytime. Lakini vyema ukawakumbusha ni Katiba hii hii ya sasa wasiyoitaka ya mwaka 1977 ndio inawaruhusu kufanya siasa nchini Tanzania.
Umeandika maoni yako halafu unatulazimisha kuamini kua eti ndio ukweli. Umebumba hizo taarifa. Lamsingi Wapinzani tuhamasishe wananchi kujitokeza kupiga kura na kuwachagua kama mnafaa na sio kuwahimiza wananchi kujiandaa na vurugu ambazo zikianza mnapandanndege kwenda nje kula Bata.
Mara nyingi wakati wa Kampeni za uchaguzi, kumekua na kauli mbalimbali zinazotolewa na vyama vya Siasa au wagombea ambazo zinachagia hofu kwa wapiga kura kujitokeza kupiga kura wakati wa Uchaguzi.
Mfano wa kauli za vitisho ni "Jino kwa Jino" "Moto utawaka siku ya Uchaguzi" Je, wewe mdau...
Mimi nadhani lamsingi saana uhamasishe watu kwanza wajitokeze kupiga kura halafu hayo mengine yaachie mawakala wetu ambao wameaminiwa na vyama vyetu vya siasa. Vinginevyo tutatafuta lawama na walinzi wa amani tu. Hakikisha unakadi ya Mpiga kura, na unajitokeza kupiga kura.
Kumbe ni wao wanashitaki. Mimi nilidhani ni Nchi husika zinashitaki na kutaka fidia. Hapo cha msingi ni kuhakikisha mikataba inakua vizuri na isiwe ya muda mrefu na kuhakikisha inazingatiwa kwa umakini. na wakifanikiwa tunawapa vyoo vya Halamashauri zote nchini wasimamie.
Mama ameruhusu mchakato uendelee lakini naona kama hatutaki.
Lakini mwisho wa yote tukianzia ngazi ya familia ni nani mwenye sauti ya mwisho ndani kwako, je ni mtoto, beki tatu, Mama au Baba?
Kwani Tundu Lissu huko Ubeligiji alikua anasomea upigaji ramli? Na kama ndivyo yatupasa kua makini hizi ni Ramli Chonganishi anazofanya na ndio maana Mbowe amemshangaa. Watanzania tusikubali kuchonganishwa na wapiga Ramli (Lamba Lamba).
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imefanya uteuzi wa Madiwani watatu (3) Wanawake wa viti maalum kuziba nafasi zilizoachwa wazi katika Halmashauri tatu za Tanzania bara.
Uteuzi huo umefanyika kwa mujibu wa kifungu cha 86A (1) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292 kikisomwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.