Search results

  1. broken ages

    Ngorongoro ni mali ya Maasai wa Tanzania na Kenya

    WATANZANIA hatuko tayari kupaza sauti kuwatetea wachache mnaopigania kuiharibu NGORONGORO kwa faida na ubinafsi wenu bila kuyatizama maslahi mapana ya TANZANIA leo na kesho Na badala yake tutawashaurini kuondoka ili maisha yaendelee kwanini mnatetea kuishi porini ambapo kuwepo kwenu...
  2. broken ages

    Ngorongoro uchochezi unatokea wapi?

    kinachoendelea Ngorongoro ni vita vya kiuchumi hivyo Watanzania tunapaswa kufungua macho kwa sababu siamini kama serikali itaonea ama itapenda kuumiza raia wake bila sababu ya msingi. Kwa maana kuna taarifa kwamba serikali iliandaa eneo huko Handeni kwa ajili ya kuwahamishia huko Wamasai kutoka...
  3. broken ages

    Mrisho Gambo ni Kirusi hatari anayetafuna viongozi Arusha

    Achana na Kumwongelea Gambo,achana na majungu ishu hapa siyo Gambo ishu hapa ni pesa ya wananchi imetafunwa na viongozi na jaribu kidogo kuondoa chuki zako binafsi kwa gambo jikite kwenye tatizo.
  4. broken ages

    Mrisho Gambo ni Kirusi hatari anayetafuna viongozi Arusha

    Sioni kama kunayo sababu ama maana kuwatetea ikiwa wewe siyo mmojawapo mfaidika na pesa za umma ambazo watu walioaminiwa na kupewa dhamana ya kuwatumikia wananchi wameamua kujigawia wenyewe na kupeana kwenye akaunti zao binafsi. Wewe mwenyewe mtoa mada jionee haya kwa kuwatetea wahalifu...
  5. broken ages

    Angalia Katuni hii halafu toa maoni yako

    Kazi ya mbwa mara ni mlinzi ukiachilia mbali kwa wale wachache wanaomtambua mbwa kama kitoweo hivyo basi Ukiwa na mbwa ambaye anabweka tu na hana uwezo wa kung’ata hata inapokuwa ni umeingiliwa basi itakubidi wewe mwenyewe mwenye kumfuga uwe macho na uwe tayari na silaha ili atakapobweka uchukue...
  6. broken ages

    Kesi ya Ole Sabaya ni kiashiria cha chuki na udhaifu mkubwa iliyopo ndani CCM tofauti na CHADEMA

    Ukitetea uovu unajiweka kwenye nafasi gani wewe mwenyewe? naamini kwamba kwa anayetetea uovu anayo sababu yake binafsi ikiwemo kwamba ni pamoja na kwamba alikuwa anafaidika yeye mwenyewe binafsi kupitia uovu ambao anajaribu kuutetea Kwa mtu mwenye imani ya kimungu huwezi mtetea mouvu...
  7. broken ages

    Askofu Bagonza: Lissu amekosea kueleza in details alichoongea na Rais, akiendeshwa na mashabiki

    Diplomasia ya Rais mama SSH ni pana mno anaitazama na kuiona leo na kesho ya Tanzania kama taifa Hongera Mama SAMIA.
  8. broken ages

    Ushauri kwa TANESCO Arusha; Hii siyo hujuma?

    Nimeona kitu kinachofanyika ama sijui ni tanesco ama ni jiji ila kwa namna nilivyoona ni uharibifu ni kweli inawezekana kwamba miti hii inazuia ama inaleta madhara kwenye nyaya na njia za umeme na hivyo inapaswa kukatwa ili kupisha nyaya za umeme Hili siwezi kupingana nalo ila ambacho mimi...
  9. broken ages

    NEMC: Huku Mitaani Tunateseka Kelele za Miziki Bar Zimezidi

    mleta mada umekuja na Mada yenye kuhitaji ufumbuzi, hili kwa kweli limekuwa ni kero na sina uhakika kama ni mamlaka ipi yenye kusimamia hili kwa sababu kwenye makazi ya watu ndipo pia kunayo makanisa,baa na grocery na hata wakati mwinhine unaweza kuta kunayo hata maduka yenye kuuza albam za...
  10. broken ages

    Pomoja na Chief Marialle kumpigia chapuo chifu Hangaya Wachaga hawamkubali sana, hawajamkaribisha kwa majani ya isale kama mtangulizi wake

    Kila zama na kitabu chake,sisi tupate kumshukuru Rais SSH kwa kutambua kwamba yeye ni mama wa wote na ndiyo maana ameenda kwa watoto wake wanaoishi kilimanjaro Haya maneno mengine yanayoandikwa ambayo yaikashifu ziara ya rais ni maneno yanayopaswa kupuuzwa na pia inatakiwa ieleweke kwamba...
  11. broken ages

    Kuna Ufisadi wa kutisha Mamlaka ya Maji Arusha (AUWSA)

    Inawezekana kabisa ila wenye akili tunakuona hata bila ya kuambiwa wewe ndiye mmojawapo kati ya wale wanaofaidika na wanaolalamikiwa na huyu unayemtaja kama mchaga….vinginevyo sioni sababu ya wewe kukerwa na malalamiko ga huyu bwana hadi kufikia hatua ya kumkejeli kwa ubia wake na badala yake...
  12. broken ages

    Wafanyabiashara Arusha wafunga maduka kwa muda usiojulikana

    Kwani wamelazimishwa kulipa kodi? Halmashauri ya jiji ni mwenye nyumba kwa maana ya kwamba yeye ndiye anayechukua kodi anayoona kwamba itamlipa am kumrudishia gharama za uwekezaji aliouweka katika kuyajenga maduka hayo na kupande mwingine wafanyabiadhara ni mpangaji ambaye anapaswa kumlipa...
  13. broken ages

    Rais Mtoe Dotto Biteko ili lengo lenu litimie

    Wewe shida yako ni ipi ktk utendaji wa derikali kufanya majukumu yake? Wewe uliyeandika makala hii ndiye mchinganishi,mkabila na unayo maslahi binafsi kwa huyo Dotto hapa unatuonesha na kutudhihirishia kwamba huyo Dotto ni mtu wa magufuli na kumbe basi anafahamu kwamba ni maslahi yapi binafsi...
  14. broken ages

    Machinga: Tatizo lililoletwa na Taifa linalotemegemea mtu na siyo mfumo

    Suala hapa siyo kwamba watu wamesoma na wanazo shahada za vyuo vikuu kwa sababu shahada walizopewa siyo kwa ajili ya kwenda kuweka kibanda barabarani mbele ya mlango wa duka la mtu ambaye alifuata sheria ya nchi na sheria ya mipango mji kwa kufanya taratibu zote za kisheria ktk kufanya biashara...
  15. broken ages

    Kulikoni? Msafara wa Rais Samia kuwa na magari yote haya, pia ulinzi wake umeongezeka maradufu

    Akiishakuwa Rais wala siye anayepanga swala la ulinzi wake ndo maana kunazo wizara na vitengo mbalimbali serikalini Kwa hivyo anapokuwa na ziara kitengo cha ulinzi ndicho huwa kinajipanga ikiwa ni ulinzi wa namna gani unaohitajika kufanyika huko aendako ziarani na hii huwa wao wenyewe ndo huwa...
  16. broken ages

    Kenyatta kaalikwa White House, Tanzania tunakwama wapi ?

    Mimi sioni kama rais kenyatta kukutana na rais Biden ni jambo la kuimiza vichwa vya watanzania ama kufikia mahali pa kujipima na kujiwekee alama ya kwamba sisi tuko chini sana ama tusiotambulika vingine tuwe tumekosa kabisa mambo ya kimsingi ya sisi kujilinganisha na Kenya Nasema hivyo kwa...
  17. broken ages

    Ndugai anawaonea wivu Wanasheria kujiita ‘wasomi’? Bila shaka atawaandalia Muswada

    S siyo swala la kujadiliwa bungeni wabunge wanayo mambo mengi sana na ya msingi ya kujadili wabunge siyo wasanifu wa misamiati na misemo
  18. broken ages

    Ndugai anawaonea wivu Wanasheria kujiita ‘wasomi’? Bila shaka atawaandalia Muswada

    hapa spika hajatendea haki kiti na muda ambao ungetumika kujadili mambo yenye maana kidogo hapa anajishushia heshima na maana ya kuwa spika kwa sababu hata tungesema na kukubaliana kwamba wanasheria wasijiite wasomi sidhani kama dhana hiyo itakuwa ndiyo majibu ya matatizo na shida za wananchi...
  19. broken ages

    #COVID19 Waziri Gwajima aagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19

    Najiuliza je ni kweli kwamba mwwchama wa ccm ambaye atachaguliwa ama kuteuliwa nafasi ya uongozi wa juu wa chama cha mapinduzi hafanyi kiapo cha utii kwa viongozi wao wakuu na hata kwa chama kabla ya kukabidhiwa wadhifa husika? na kama ndiyo je hawa wanaopingana na viongozi wao kwa habari ya...
  20. broken ages

    #COVID19 Ni heri kupambana na changamoto za chanjo kuliko kupambana na changamoto za kuugua COVID-19

    🤝Ni kweli ni vimaudhi vidogo vidogo na ndiyo maana nikaeleza kwamba ikiwa zitatokea changamoto maana hadi tunapoongea haijajitokeza changamoto yeyote yenye kusababishwa na chanjo
Back
Top Bottom