Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,114
- 219,226
Hivi ndivyo wachora katuni wanavyoiona Tanzania .
Anaupiga mwingi
hadi unamwagikaAnaupiga mwingi
hayakuwahi kuondoka ila taarifa zao zilifichwa na watawala , unajua kwanini Profesa Assad aling'olewa ?Majizi yamerudi kazini.
Ni kweli haumi maana kazi yake sio kuuma.
... kabisa; amesham-alert mwenye naye kuna majizi yamevunja mlango yanaiba; ni kazi kwake sasa kutoka na bastola kuyaulia mbali majizi. Dog keshamaliza kazi yake; kazi kwake mwenye nyumba.Ni kweli haumi maana kazi yake sio kuuma.
Anayetakiwa kutumia meno ni mwenye mbwa.
Sasa kama amefundishwa kubweka tu, wezi na majambazi hawana makosa hata wakivunja na kumuiba na mwenye nyumba mwenyewe kabisa.
Kazi ya mbwa mara ni mlinzi ukiachilia mbali kwa wale wachache wanaomtambua mbwa kama kitoweo hivyo basi Ukiwa na mbwa ambaye anabweka tu na hana uwezo wa kung’ata hata inapokuwa ni umeingiliwa basi itakubidi wewe mwenyewe mwenye kumfuga uwe macho na uwe tayari na silaha ili atakapobweka uchukue hatua ya kupambana wewe mwenye mbwa
Sema Katiba Mpya , usione aibuTunahitaji Katiba Bora.
Mifumo na taasisi zisimame tuachane na hisia mwenyekiti /Rais.
hayakuwahi kuondoka ila taarifa zao zilifichwa na watawala , unajua kwanini Profesa Assad aling'olewa ?
Ndivyo ilivyo..
Msoga gang kutoka chama gani ?Aling'olewa kwa Sababu alikuwa na bado ni mfuasi wa MSOGA gang!