Wakuu,
Nimekutana na changamoto hii kwa mara ya kwanza. Coil za engine tajwa hapo juu zimetolewa katika engine kama hiyo tuite Engine A zikawekwa katka engine nyingine kama hiyo tuite Engine B.
Chakushangaza katika Engine B hazifiti, yaani fupi kiasi kwa hyo hazichomi vizuri, wakati zimetolewa...
Nakumbuka EATV waliwahi kumhoji Nature juu ya KR kuhamia UNYAMANI ...Nature alimsihi KR aangalie namna ya kukwepa kuingia kwenye mkumbo.
Japo Nature alikua yuko tungi lakini alitoa tahadhari ya busara kwa best yake.
Leo..amepost hiyo picha huko Insta.
Lipo Kimazichana (mbele ya Mkuranga), Km 1 kutoka main road.
Lina miembe kadhaa na jengo la vyumba vitatu ambalo halijakamilika.
Bei milioni 40 tu..maongezi yanakaribishwa.
☎ 0628403078
Mtu anapopatwa na maumivu ya mapenzi ama msiba ni kipi hasa humuuma kati ya roho na moyo?Maana utamsikia mtu akisema roho inaniuma sana au moyo unaniuma sana. Mimi nikijaribu kuyafikiria maumivu ya namna hiyo nashindwa kupata jibu sahihi kama kile kiumacho ni kipi kati ya hivyo viwili.
Thread...
Nilibahatika kuusikia wimbo wa Joseline redioni jana. Japo ulikua unaishia ishia.
Bila shaka ni wimbo mpya. Jamaa hakika anajua na amerudi kikweli kweli, ni bonge la pini la RnB.
Bahati mbaya sijajua huo wimbo unaitwaje na wala sijaweza kuupata kwenye mtandao.
Mwenye wimbo mpya wa Joseline...
Nilikutana na uzi unaohusu michapio, katika kupitia nikagundua michapio yote ni ya kimatamshi, nikakumbuka kuna michapio mingine ni ya kivitendo. Labda niiite michapio bubu. Kwa mfano:-
1. Mezani kwako una Desktop na Laptop. Kuna files unataka uzitoe kwenye desktop uzilete kwenye Laptop au...
Kwa mfano una line mbili mpya za simu, moja ya voda na nyingine ya tigo. Ukanunua vocha ya sh.2000 ya voda, ulipoiweka tu ikaliwa. Ukanunua na vocha ya sh.500 ya tigo...ulipoieweka tu nayo ikaliwa. Je! kipi afadhali hapo kati ya kuliwa voda au kuliwa tigo?
Kila nipitapo mtaa huu, nashindana na macho yangu juu ya majengo haya..hili la bandari na haya ya pspf...lipi hasa ni refu? japo pspf towers ni tallest in E.Africa.
Katika pitapita za mitaani nimepata kusikia haya ya kisemwa kwamba Babu - Mkali wa Rap Katuni amekuwa akijishughulisha na kulinda katika sehemu za kuegesha ama kulaza magari usiku huko Temeke.
Mwenye kujua ukweli wa hili ama tofauti na hili basi anitoe kizani tafadhali.
Naomba mnisaidie niweze kukipata Kitabu hiki cha riwaya ya Kiswahili kiitwacho ASALI CHUNGU kilichoandikwa na Prof. Said A. Mohamed.
Niliwahi kuwa nacho lakini nilimwazima mtu na hakunirudishia tangu mwaka 2001.
Nimejitahidi kutafuta huko madukani bila mafanikio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.