Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Nadhani la bandari ni refu zaidi hasa ukizingatia limeanzia chini zaidi kuliko la PSPF.
ndo kazi yangu mkuu!!jengo lako likowapi nije kulipiga picha?Mijitu mingine bwana!! sas umeshajijibu mwenyewe kwamba japo la PSPF blah blah blah! HALAFU...umekosa mada?? shida zako ushatatua? ama unaenda mjini kushindanisha majengo wakati wenzio wanajenga.
Mijitu mingine bwana!! sas umeshajijibu mwenyewe kwamba japo la PSPF blah blah blah! HALAFU...umekosa mada?? shida zako ushatatua? ama unaenda mjini kushindanisha majengo wakati wenzio wanajenga.
Kila nipitapo mtaa huu, nashindana na macho yangu juu ya majengo haya..hili la bandari na haya ya pspf...lipi hasa ni refu? japo pspf towers ni tallest in E.Africa.
Kila nipitapo mtaa huu, nashindana na macho yangu juu ya majengo haya..hili la bandari na haya ya pspf...lipi hasa ni refu? japo pspf towers ni tallest in E.Africa.
View attachment 181283
mnnnnnnnh kumbe na Darisalama Mabugando yapo?
TPA House upon its completion will look something similar to this render...
labda sikuweka vizuri post yangu, nakubali.Ndio maana serikali iliamua kuweka Div V...la sivyo !!!
Halafu next time walau utumie simu ya Samsung kufotoa picha, hicho kiTECNO ulichonacho kinatoa picha quality mbaya...
Usiniulize nimejuaje!!!
TPA House upon its completion will look something similar to this render...
Mbona halifanani na la hapo juu??
Kwa sababu la hapo juu halijamalizika bado...