Ndugu wana habarini, inawezekana body ya Honda CRV third Generation ( Hiyo Red) kuivisha kwenye Honda CRV First Generation ( RD1)( Hiyo White)?
Kwa upande wa dimensions: Height (Kimo) zipo sawa; Length (Urefu) hiyo Red imezidi kwa 9 cm na kwa Width ( Upana) Red imezidi kwa 3cm.
Hawa jamaa naona wameanza usanii fulani,
Mimi ni mteja wa Azam TV na nimekuwa nikilipia kifurushi cha TZS 23,000. Huwa natizama zaidi Channel moja tu INVESTIGATION DISCOVERY. Sasa hapa juzi bei imeshuka kwenda TZS. 20,000.Nimelipa lakini nimeshindwa kuipata hiyo channel, kabla ya kukitekeleza...
Watumiaji wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom eneo la Forest tuna shida sana na huduma zenu.Ni kwa miaka kadhaa sasa tunashindwa kutumia huduma zenu tukiwa ndani ya nyumba zetu. Ili uweze kupiga simu au kutumia data inakupasa kutoka nje ili uweze kufanikiwa. Ukiingia ndani tu sahau matumizi...
Habari wadau. Wasanii Irene Uwoya na Keisha katika kumbukumbu zangu walikuwa wanasubiri kuingia bungeni kupitia viti maalumu. Majina yametoka lakini hakuna majina yao! Ni nini kimejili? Au kuna vigezo havijazingatiwa??? Mwenye kujua atujuze
The Social Security Regulatory Authority (SSRA) has said that 3.6 percent of potential earnings will be deducted from workers' pensions who opt to withdraw before retirement age.
SSRA Director General Irene Isaka said in a statement that workers' pension will be deducted for 0.3 per cent each...
Dar es Salaam. Mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, (jina tunalihifadhi kwa sasa), anatuhumiwa kumbaka shemeji yake mdogo (17).
Taarifa za tukio hilo ziliripotiwa juzi saa 12 jioni katika Kituo cha Polisi Tabata (Tabata Shule), zikimtuhumu mwanamume huyo kwamba alimbaka binti huyo mara...
Blogu ya Wananchi: SINTAH JLO: OKWI SASA YUPO TUNISIA.
SINTAH JLO: OKWI SASA YUPO TUNISIA.
EMANUEL OKWI ATUA SALAMA SALMINI TUNISIA
Emanuel Okwi amefika salama salmini Tunisia,mimi kama Sintah j wake lopez namtakia kila la kheri katika kazi yake huko.
kwa wale wanaofikiri me na yeye ni...
I've fathered 16 children but I'm still a virgin at 36
Trent Arsenault is world's first donorsexual
HE is only 36 but Trent Arsenault is already dad to 16 children – despite being a VIRGIN.
In fact, the computer wiz has never even kissed a woman. But this hasn't stopped him becoming one...
Revealed: Why Chris Eubank gave away his sons to a virtual stranger
He has a look of his pugilist father and packs a mean punch, too. At the Top Rank boxing gym, a few yards off the brightly lit Las Vegas Strip, Chris Eubank junior dances and dives before jabbing his sparring partner under the...
AtdheNet.TV - Watch Free Live Sports TV kong'oli hapo utazame soka live bila chenga. ni internet yako tu ndo itakuangusha otherwise mwendo mdundo.
http://www.atdhenet.tv/
http://www.atdhenet.tv/
http://www.atdhenet.tv/
jamani tangu hawa jamaa watuambie kuwa wanamitambo ya 3.75G mbona muda wote inakuwa edge au gprs? kuna haja gani ya kuendelea kuwatumia wakati inachukua zaidi ya dakika 10 kufungua page moja? nikimaliza hizi 400MB naiweka kabatini sim ya airtel mpaka itapokaa sawa
Vp wazee, bila shaka mpo powa. Kwa wale wapenda soka (na michezo mingine pia na vipindi vingine), kama una internet ya uhakika (kama yangu) unaweza pata soka ( UK Premier League, La Liga, Bundesliga, Serie A,France,Holland ,Champions League etc) kwa kutumia software ya sopcast. Just download...
Jose Chameleone Returns to Catholic Religion for the Good of His Family
National, Exclusive news!!!!
6 days after news broke that Jose Chameleone had converted to Islam, the self proclaimed music heavy weight Dr Jose Chameleone has talked to HiPipo.com and clarified that he has decided to...
Hi wakubwa, ni wapi naweza pata CD za Innocent Galinoma? Nimejaribu kuzitafuta online bila mafanikio. Ningeurahi sana kupata CD za Mfwalingundi hasahasa ile ya awali Kilimanjaro.
I look forward to hearing from you.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.