Jamani wana forum kwa yeyote anayejua namna ya kulipia VIP ACCOUNT na FOREVER ACCOUNT ili kuweza kuwa Subscribed na Channel za Canal sport naomba msaada..natumia decoder ya Starsat
Kuna jamaa nilikuwa namtumia lkn kwa sasa hapatikani kwenye simu kwa hyo nipo nipo tu!!
Kaka tu? Mm hd kusalimiwa nilikuwa nasalimiwa na nikamkamata vzr tu..
Sasa baada ya kuwa nae nikamuuluza kwa nn alikuwa ananisalimia akaniambia ilikuwa ni moja ya defence mechanism yake
Kwa hyo alikuwa analipwa dola 3000 takriban milion 6 plus then akafungua biashara ya vinywaji ambayo haifiki laki 5?
Hv ulijifunza kweli LOGIC darasani?
Magarasa?ni wachezaji haohao msimu uliopita walifika UEFA final plus nafas ya 2 ligi kuu...Wachezaji wamechoka..wamecheza kwa kiwango kikubwa kwa muda mrefu sana..tatzo la mashabk tunajua kulaumu tu
Kaka nashukuru sana kwa maujanja..nilienda kariakoo nikapata kile kin'gamuzi,kuna fundi mmoja kaja kunifanyia maujanja kwa sasa nakamata channel za dstv Akaunti ya VIP za package ya 120000 nadhan,kwa 15000 tu kwa mwezi ila unalipia miezi 4
Pia channel za azam nazikamata kwenye akaunti ya FOREVER
Kuna mpangaj mwenzangu ni malaya balaaa..ana demu wake(kashamuoa sa hv) ni wa kishua balaa..demu kwao wana mawe hatari yan...sasa manzi b4 kuoana alikuwa anaishi arusha,na jamaa tulikuwa nae mbeya
Sasa kuna siku manzi wake alikuja bila kumtaarifu ...ghafla manzi huyu hapa...saa 4 usiku...
Wadau naomba niende moja kwa moja kwenye mada
Kuna mtoto wa mama yangu mkubwa amenipigia simu kuwa amepata nafasi kwenye kampuni tajwa hapo juu ambayo inahusika na kutoa msaada kwa watoto yatima Africa na Asia kwa hiyo amejichanga amepungukiwa na kiasi kidogo ambacho anaomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.