Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,930
- 14,827
Haya wanaume mkuje!
Imagine kuna mrembo unamfukuzia unampenda Sana, ukapata bahati ya Kuongea naye.
Mrembo abakujibu vizuri alafu baadae anakuoga anakwambia, "Haya asante Kaka Kwaheri"
Hapo mwamba unafanyaje?
Imagine kuna mrembo unamfukuzia unampenda Sana, ukapata bahati ya Kuongea naye.
Mrembo abakujibu vizuri alafu baadae anakuoga anakwambia, "Haya asante Kaka Kwaheri"
Hapo mwamba unafanyaje?