wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,225
- 37,606
Aisee inabidi kumfanyia scrutinization ya Maana,hizo Bei za hizo bikes naona hata ukiwa nje huzipati kwa pesa hizo.Dah yule jamaa mimi pia namfatilia vyemaa sana, bei zake hata mimi zinanistaajabisha. Honda PCX anaiuza 3.2 - 3.8M mixer usajil na bima na imetembea km kiduchu sana.
Naangaliaga comments ila sioni wateja wanaoleta feedback
Wasiwasi ndio akili aisee,ngoja tuone na wadau wengine wana-experience gani na huyo msela.