Kwa wale wapenzi wa soka tu, pitia hapa (inaweza ikakusaidia)

Kaka nashukuru sana kwa maujanja..nilienda kariakoo nikapata kile kin'gamuzi,kuna fundi mmoja kaja kunifanyia maujanja kwa sasa nakamata channel za dstv Akaunti ya VIP za package ya 120000 nadhan,kwa 15000 tu kwa mwezi ila unalipia miezi 4

Pia channel za azam nazikamata kwenye akaunti ya FOREVER
 
Kaka nashukuru sana kwa maujanja..nilienda kariakoo nikapata kile kin'gamuzi,kuna fundi mmoja kaja kunifanyia maujanja kwa sasa nakamata channel za dstv Akaunti ya VIP za package ya 120000 nadhan,kwa 15000 tu kwa mwezi ila unalipia miezi 4

Pia channel za azam nazikamata kwenye akaunti ya FOREVER
Maujanja gani hayo mkuu tuelezee na sisi wengine tukuelewe vizuri umenunua kisimbuzi kipi kaka wengine pia wanahitaji fafanua lakini pia hongera jf kisima cha maarifa
 
Maujanja gani hayo mkuu tuelezee na sisi wengine tukuelewe vizuri umenunua kisimbuzi kipi kaka wengine pia wanahitaji fafanua lakini pia hongera jf kisima cha maarifa
Nawaambia ila hamuamini...shukran kaka kwa kuleta ushahd humu

Sijui mnahisi ni utapeli
 
Back
Top Bottom